Sababu ya kwanza: DRC kuna shughuli nyingi sana za uchimbaji madini kama shaba na madini mengine. Makampuni makubwa ya kibepari yamefunga mitambo yao ya kupasuwa miamba huko.
Shaba na madini mengine yanayochimbwa huko yanahitaji kusafirishwa hivyo basi wamiliki wa malori wanapeleka malori yao huku kwa maelfu. Maana yake nini malori yakiwa mengi kama hivyo, mahitaji ya mafuta yanakuwa makubwa.
Kwa wafanyabiashara wa mafuta huku DRC ndiyo kwenye soko, wanapeleka shehena kubwa huko kwa hiyo kunakuwa na ushindani wa bei kuvutia wateja kwa hiyo kwa vyovyote vile bei lazima ishuke.
Tanzania Bara hakuna soko la hivyo. Vifaa vinavyohitaji mafuta ni vichache au havili sana. Fikiria mfanyabiashara wa mafuta analeta shehena kwa ajili ya kuhudumia IST na bodaboda.
Haileti maana, shehena itakaa sana ghalani na hiyo ina maanisha ni hasara kwa mfanyabiashara. Kwa hiyo itoshe tukusema kuwa soko la mafuta hapa Tanzania Bara ni dogo na kwa hiyo wafanyabiashara wa bidhaa hiyo wanaona haina maana kuweka shehena zao hapa.
Zanzibar.
Hawa siwaongelei sana ila niseme tu kuwa tusisahau hawa wenzetu wana mafungamano na Oman na wanayo bandari na Bi Royal Tour ni wa kwao kwa hiyo si ajabu kuwa kwao bei iko chini.
Pamoja na yote, mamlaka ziangalie jinsi ya kudhibiti hizi bei zishuke.
#NguvuMoja
Shaba na madini mengine yanayochimbwa huko yanahitaji kusafirishwa hivyo basi wamiliki wa malori wanapeleka malori yao huku kwa maelfu. Maana yake nini malori yakiwa mengi kama hivyo, mahitaji ya mafuta yanakuwa makubwa.
Kwa wafanyabiashara wa mafuta huku DRC ndiyo kwenye soko, wanapeleka shehena kubwa huko kwa hiyo kunakuwa na ushindani wa bei kuvutia wateja kwa hiyo kwa vyovyote vile bei lazima ishuke.
Tanzania Bara hakuna soko la hivyo. Vifaa vinavyohitaji mafuta ni vichache au havili sana. Fikiria mfanyabiashara wa mafuta analeta shehena kwa ajili ya kuhudumia IST na bodaboda.
Haileti maana, shehena itakaa sana ghalani na hiyo ina maanisha ni hasara kwa mfanyabiashara. Kwa hiyo itoshe tukusema kuwa soko la mafuta hapa Tanzania Bara ni dogo na kwa hiyo wafanyabiashara wa bidhaa hiyo wanaona haina maana kuweka shehena zao hapa.
Zanzibar.
Hawa siwaongelei sana ila niseme tu kuwa tusisahau hawa wenzetu wana mafungamano na Oman na wanayo bandari na Bi Royal Tour ni wa kwao kwa hiyo si ajabu kuwa kwao bei iko chini.
Pamoja na yote, mamlaka ziangalie jinsi ya kudhibiti hizi bei zishuke.
#NguvuMoja