Uchaguzi 2020 Ukweli mchungu: Zipo kura za WanaCCM wa JF kwa Lissu, hazipo kura za wanaCHADEMA wa JF kwa Rais Magufuli. Ushindi unaanzia hapa!

Ndege zinaendeshwa kwa hasara gharama za service za Ndege ni kubwa kuliko kile kinachoingizwa na Ndege zenyewe, wajanja wachache wanapiga vibaya kwenye matengenezo ya Ndege subiria kampeni zianze msikie mengi msiyoyajua kwenye Ndege na miradi yote mikubwa iliyojaa ufujaji pesa na 10%za wanaccm
 
Rais Magufuli umelikoroga sasa na ulinywe tuu maana hakuna namna.

Ukitumia ubabe kwa watanzania watakupiga kwenye sanduku la kura, sisi tunasema usitumie ubabe. Tukakusihi kutoka mwaka 2016 kwamba ubabe hausaidii, tukawambia usifanye hivyo ukakaidi, sasa utapigwa! Tulikuonya usiende na njia hiyo, ukaona sisi ni vibeberu uchwara, utapigwa! Na mimi nasema wakupige tu kwenye sanduku la kura maana hakuna namna sasa! Enh, ubabe ukiutumia kwenye uongozi utapigwa kwenye kura! Na acha upigwe tu!

Kiukweli njia ya uongozi na mwenendo alioenda nao Rais Magufuli kwa hii miaka mitano ni ya hovyo sana na akirudi kwa wananchi ataona matokeo yake. Mimi binafsi nimejikuta nikifurahia matokeo yake ingawa mwanzoni nilipaaza sauti abadilike. Namshukuru Mungu kwa kuendelea kumjengea ubabe. Sasa anaenda kuvuna!

Sina shaka na kina johnthebaptist aka bwasheeee, Pascal Mayalla na wengine wengi ambao ni wanaccm ILA kura zao hazitaenda kwa Magufuli. Hiyo ni hatua nzuri ya ushindi na bado huko mitaani.

Tukirudi kwa wanachadema sijaona na haitokaa itokee kura ya mwanachadema yeyote kwenda kwa Magufuli!

Upo uongozi wa kimsimamo unaozingatia sheria na ubabe uchwara, watanzania hawako tayari kuchagua "Ubabe uchwara, wamepitia mengi!
Sema usema, wadanganye uwadanganyavyo na ongopa uongoavyo lakini Raisi ataendelea kuwa JPM.

Hatuko tayati kutomchagua JPM÷
1. Mladi wa SGR usiendelee
2. Mladi mkubwa wa umeme usiendelee
3. Flay over zisijengwe
4. India wakawa wa kwanza kwa mauzo ya Tanzanite Funiani
5. Kenya wakawa wa pili kwa mauzo ya Tanzanite duniani
6. Tanzania tukawa wa tatu kwa mauzo ya Tanzanite Duniani
7. Mabeberu wakatuamulia maamuzi ya nchi yetu.
8. Watumishi wa seeikali wakawanyanyasa wanyonge.
 
Sema usema, wadanganye uwadanganyavyo na ongopa uongoavyo lakini Raisi ataendelea kuwa JPM.

Hatuko tayati kutomchagua JPM÷
1. Mladi wa SGR usiendelee
2. Mladi mkubwa wa umeme usiendelee
3. Flay over zisijengwe
4. India wakawa wa kwanza kwa mauzo ya Tanzanite Funiani
5. Kenya wakawa wa pili kwa mauzo ya Tanzanite duniani
6. Tanzania tukawa wa tatu kwa mauzo ya Tanzanite Duniani
7. Mabeberu wakatuamulia maamuzi ya nchi yetu.
8. Watumishi wa seeikali wakawanyanyasa wanyonge.
8 watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara wengi walifukuzwa kazi kisa vyeti Bandia lakini Bashite akaachwa na vyeti vyake wana hasira kuliko unavyofikiria, miradi yote itaendelea hata kama chauma ya Hashim itaingia ikulu hakuna Serikali haitaki maendeleo ingawa miradi ya Serikali ya CCM mingi imejaa ufisadi mkubwa
 
Zipo wapi trilion 1.5 zilizomtoa kafara CAG? Kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo? Zipo wapi zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa? CCM ni ile ile huko CCM hakuna malaika wa kumnyoshea mwingine mkono
Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!

Tena mmempokea na nyarandu mkasahau story yenu ya Twiga kupanda ndege.
 
8 watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara wengi walifukuzwa kazi kisa vyeti Bandia lakini Bashite akaachwa na vyeti vyake wana hasira kuliko unavyofikiria, miradi yote itaendelea hata kama chauma ya Hashim itaingia ikulu hakuna Serikali haitaki maendeleo ingawa miradi ya Serikali ya CCM mingi imejaa ufisadi mkubwa
Wewe huelewi tafsili halisi ya kuongeza mishahara. Ukithibiti mfumko wa bei hakuna athari ya kutoongezeka kwa mshahara. Ukiongeza mshahara na mfumko wa bei ukatokea hiyo siyo tafsili halisi ya kuongeza mshahara.
 
Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!

Tena mmempokea na nyarandu mkasahau story yenu ya Twiga kupanda ndege.


SI bure ndo Mana mnafananishwa na nyumbu kwa kufata mkumbo na akili za usahaulifu(Mental disorder)
Kwani ruzuku ya CCM iko wapi?
 
Mwenyekiti kajipimaaaa,kaona aache marupurupu ya ubunge wakati anajua Urais so Rahisi mbele ya JPM.


Kamsakizia lissu wa watu apunguze Machungu tu
 
Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!

Tena mmempokea na nyarandu mkasahau story yenu ya Twiga kupanda ndege.
CCM ndiyo maana kuna msemo wa CCM unasema zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa huo ndiyo mkumbo wenu, mwambie CAG akague hesabu za ruzuku ya CCM kama hakuna watu watakunywa sumu kwa hofu ya kufungwa jela, hakuna ruzuku inafujwa kama ya ccm barani Afrika kote.
 
kila nikiwaza endapo kama wapinzani wakishika nchi basi tutawekwa lockdown ya corona hapo ndo nashindwa nifanye maamuzi gani.
 
CCM ndiyo maana kuna msemo wa CCM unasema zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa huo ndiyo mkumbo wenu, mwambie CAG akague hesabu za ruzuku ya CCM kama hakuna watu watakunywa sumu kwa hofu ya kufungwa jela, hakuna ruzuku inafujwa kama ya ccm barani Afrika kote.
Wazee wa gia za angani na kula ruzuku ya chama huku zana ya ndiyo mzee ikiwa ndo sera yenu.
Mwaka huu mtatafuta kazi ya kufanya na kisaccos chenu hicho
 
HIVI BADO MNAVAA BARAKOA NA HAMKUSANYIKI TENA??
YANI NYINYI MNAJUA NI WAIGIZAJI SANA MPAKA WANANCHI HAWAWAAMINI,SA HIVI MNAKUSANYIKA TU KILA KONA.


TUMEWACHOKAAAAAAAAAA,WAONGO NYINYI
MAFISADI NYINYI
WAJASIRIA SIASA NYINYI
WASALITI NYINYI
ROHO MBAYA NYINYI,TENA ZA KUOMBEA WATU WASIFANIKIWE ILI MFURAHI
 
Nitawashangaa sana watumishi wa umma ambao watampigia kura Magufuli wakati watumishi wa umma ndio kundi pekee lililo ongoza kwa kunyanyaswa na kupuuzwa na utawala wa awamu ya 5,kwa muda wa miaka 5 watumishi wa umma wamehesabiwa kama ndio mashetani wa serekali ya Magufuli.

Na nitawashangaa sana wakulima watakaompa Magufuli kura zao,wakati serekali ya Magufuli haijawahi kuwahesabu kuwa nao ni wananchi ambao wana haki ya kufaidi matunda ya serekali yao kwa kuuziwa pembejeo za kilimo kwa bei nafuu na kuuza mazao yao kwa bei ya juu.
Magufuli is not good president but CDM hawaaminiki kabisa!! Wamekaa kisela na kihuni huni sana!! Kwa usalama wa taifa hili CDM hawafai kwa sasa. Na sidhani kama vyombo vya usalama vinaweza kukubali nchi akabidhiwe mtu muhuni kama Mbowe
 
wazee wa gia za angani na kula ruzuku ya chama huku zana ya ndiyo mzee ikiwa ndo sera yenu.
Mwaka huu mtatafuta kazi ya kufanya na kisaccos chenu hicho
Kazi ipi zaidi ya siasa? Mahakamaccm mungu anaiona hata mkiwabambikia kesi kesi lake nane mungu atawalinda, kisaccos chetu kipi? ingekuwa ni saccos mngehangaika kuwabambikia kesi? Kuwapiga risasi? Kumlipa mabilioni cyprian Musiba kutengeneza propaganda za kishamba?
 
Mi si CCM usiniulize ya CCM,nimemuuliza mwenzio huyo anayelalamika fedha kutafunwa na kusahau yanayoendelea ndani ya CDM
Gharama za uchaguzi, uendeshaji, ukuzaji wa Chama na vitendea kazi vyote vya shughuli hizo unajua zinatoka wapi?

Mishahara ya watumishi wa Chama inatoka wapi?

Ni busara sana kutafakari kabla ya kuandika.
 
Back
Top Bottom