Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Mimi ni CCM ila nitampigia kura Tundu Lissu
Sema usema, wadanganye uwadanganyavyo na ongopa uongoavyo lakini Raisi ataendelea kuwa JPM.Rais Magufuli umelikoroga sasa na ulinywe tuu maana hakuna namna.
Ukitumia ubabe kwa watanzania watakupiga kwenye sanduku la kura, sisi tunasema usitumie ubabe. Tukakusihi kutoka mwaka 2016 kwamba ubabe hausaidii, tukawambia usifanye hivyo ukakaidi, sasa utapigwa! Tulikuonya usiende na njia hiyo, ukaona sisi ni vibeberu uchwara, utapigwa! Na mimi nasema wakupige tu kwenye sanduku la kura maana hakuna namna sasa! Enh, ubabe ukiutumia kwenye uongozi utapigwa kwenye kura! Na acha upigwe tu!
Kiukweli njia ya uongozi na mwenendo alioenda nao Rais Magufuli kwa hii miaka mitano ni ya hovyo sana na akirudi kwa wananchi ataona matokeo yake. Mimi binafsi nimejikuta nikifurahia matokeo yake ingawa mwanzoni nilipaaza sauti abadilike. Namshukuru Mungu kwa kuendelea kumjengea ubabe. Sasa anaenda kuvuna!
Sina shaka na kina johnthebaptist aka bwasheeee, Pascal Mayalla na wengine wengi ambao ni wanaccm ILA kura zao hazitaenda kwa Magufuli. Hiyo ni hatua nzuri ya ushindi na bado huko mitaani.
Tukirudi kwa wanachadema sijaona na haitokaa itokee kura ya mwanachadema yeyote kwenda kwa Magufuli!
Upo uongozi wa kimsimamo unaozingatia sheria na ubabe uchwara, watanzania hawako tayari kuchagua "Ubabe uchwara, wamepitia mengi!
8 watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara wengi walifukuzwa kazi kisa vyeti Bandia lakini Bashite akaachwa na vyeti vyake wana hasira kuliko unavyofikiria, miradi yote itaendelea hata kama chauma ya Hashim itaingia ikulu hakuna Serikali haitaki maendeleo ingawa miradi ya Serikali ya CCM mingi imejaa ufisadi mkubwaSema usema, wadanganye uwadanganyavyo na ongopa uongoavyo lakini Raisi ataendelea kuwa JPM.
Hatuko tayati kutomchagua JPM÷
1. Mladi wa SGR usiendelee
2. Mladi mkubwa wa umeme usiendelee
3. Flay over zisijengwe
4. India wakawa wa kwanza kwa mauzo ya Tanzanite Funiani
5. Kenya wakawa wa pili kwa mauzo ya Tanzanite duniani
6. Tanzania tukawa wa tatu kwa mauzo ya Tanzanite Duniani
7. Mabeberu wakatuamulia maamuzi ya nchi yetu.
8. Watumishi wa seeikali wakawanyanyasa wanyonge.
Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!Zipo wapi trilion 1.5 zilizomtoa kafara CAG? Kipo wapi kivuko cha Dsm Bagamoyo? Zipo wapi zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa? CCM ni ile ile huko CCM hakuna malaika wa kumnyoshea mwingine mkono
Wewe huelewi tafsili halisi ya kuongeza mishahara. Ukithibiti mfumko wa bei hakuna athari ya kutoongezeka kwa mshahara. Ukiongeza mshahara na mfumko wa bei ukatokea hiyo siyo tafsili halisi ya kuongeza mshahara.8 watumishi wa umma wana miaka mitano bila nyongeza za mishahara wengi walifukuzwa kazi kisa vyeti Bandia lakini Bashite akaachwa na vyeti vyake wana hasira kuliko unavyofikiria, miradi yote itaendelea hata kama chauma ya Hashim itaingia ikulu hakuna Serikali haitaki maendeleo ingawa miradi ya Serikali ya CCM mingi imejaa ufisadi mkubwa
Kwani ruzuku ya CCM iko wapi?Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!
Tena mmempokea na nyarandu mkasahau story yenu ya Twiga kupanda ndege.
SI bure ndo Mana mnafananishwa na nyumbu kwa kufata mkumbo na akili za usahaulifu(Mental disorder)
CCM ndiyo maana kuna msemo wa CCM unasema zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa huo ndiyo mkumbo wenu, mwambie CAG akague hesabu za ruzuku ya CCM kama hakuna watu watakunywa sumu kwa hofu ya kufungwa jela, hakuna ruzuku inafujwa kama ya ccm barani Afrika kote.Kamuulize mbowe Ruzuku ya chama iko wapi kwanza,au hiyo Ruzuku si pesa yetu wananchi!!!!
Tena mmempokea na nyarandu mkasahau story yenu ya Twiga kupanda ndege.
Mi si CCM usiniulize ya CCM,nimemuuliza mwenzio huyo anayelalamika fedha kutafunwa na kusahau yanayoendelea ndani ya CDMKwani ruzuku ya CCM iko wapi?
Wewe ndiyo umejitoa fahamu hujui malengo ya ccm ni kuwaona watanzania ni wajinga wamelalaHahahaa
Usijitoe ufahamu. Huelewi hata mlengo wa chama chenu wewe
Wazee wa gia za angani na kula ruzuku ya chama huku zana ya ndiyo mzee ikiwa ndo sera yenu.CCM ndiyo maana kuna msemo wa CCM unasema zidumu fikra za mwenyekiti wa CCM Taifa huo ndiyo mkumbo wenu, mwambie CAG akague hesabu za ruzuku ya CCM kama hakuna watu watakunywa sumu kwa hofu ya kufungwa jela, hakuna ruzuku inafujwa kama ya ccm barani Afrika kote.
Zipo wapi trilion 1.5 mpaka CAG akatolewa kafara?Mi si CCM usiniulize ya CCM,nimemuuliza mwenzio huyo anayelalamika fedha kutafunwa na kusahau yanayoendelea ndani ya CDM
Magufuli is not good president but CDM hawaaminiki kabisa!! Wamekaa kisela na kihuni huni sana!! Kwa usalama wa taifa hili CDM hawafai kwa sasa. Na sidhani kama vyombo vya usalama vinaweza kukubali nchi akabidhiwe mtu muhuni kama MboweNitawashangaa sana watumishi wa umma ambao watampigia kura Magufuli wakati watumishi wa umma ndio kundi pekee lililo ongoza kwa kunyanyaswa na kupuuzwa na utawala wa awamu ya 5,kwa muda wa miaka 5 watumishi wa umma wamehesabiwa kama ndio mashetani wa serekali ya Magufuli.
Na nitawashangaa sana wakulima watakaompa Magufuli kura zao,wakati serekali ya Magufuli haijawahi kuwahesabu kuwa nao ni wananchi ambao wana haki ya kufaidi matunda ya serekali yao kwa kuuziwa pembejeo za kilimo kwa bei nafuu na kuuza mazao yao kwa bei ya juu.
Kazi ipi zaidi ya siasa? Mahakamaccm mungu anaiona hata mkiwabambikia kesi kesi lake nane mungu atawalinda, kisaccos chetu kipi? ingekuwa ni saccos mngehangaika kuwabambikia kesi? Kuwapiga risasi? Kumlipa mabilioni cyprian Musiba kutengeneza propaganda za kishamba?wazee wa gia za angani na kula ruzuku ya chama huku zana ya ndiyo mzee ikiwa ndo sera yenu.
Mwaka huu mtatafuta kazi ya kufanya na kisaccos chenu hicho
Gharama za uchaguzi, uendeshaji, ukuzaji wa Chama na vitendea kazi vyote vya shughuli hizo unajua zinatoka wapi?Mi si CCM usiniulize ya CCM,nimemuuliza mwenzio huyo anayelalamika fedha kutafunwa na kusahau yanayoendelea ndani ya CDM