johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Kwa mfano Katiba ndio inaruhusu Watendaji wakuu wa Tume ya Uchaguzi wateuliwe na Rais
Katiba ndio inaruhusu Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Katiba ndio inaruhusu " Wajanja" wapite Bila kupingwa
Sasa hapo utamlaumuje hayati Magufuli kwa matokeo ya 2020?
Trump ambaye ni Rais wa Marekani anasema Katiba ya Nchi Hiyo ndio inaruhusu Wizi wa kura kwenye Uchaguzi hivyo ifutiliwe mbali
Katiba ndio inaruhusu Wakurugenzi wa Halmashauri kuwa Wasimamizi wa Uchaguzi
Katiba ndio inaruhusu " Wajanja" wapite Bila kupingwa
Sasa hapo utamlaumuje hayati Magufuli kwa matokeo ya 2020?
Trump ambaye ni Rais wa Marekani anasema Katiba ya Nchi Hiyo ndio inaruhusu Wizi wa kura kwenye Uchaguzi hivyo ifutiliwe mbali