Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

Yani kama ww umeweka avatar ya mwanaume unayempenda ili akukune vzr.et babel!!!
 
kwa siasa za arusha lema is the best, kama ni mbinu za kumng'oa sidhan kama ipo ambayo ccm hawajawahi tumia.
I do not belong to any party but i must admit that lema has has overcome ccm
 
Nahisi kama lema asingekuwa hivyo alivyo ccm wangeshachukua hilo jimbo kitambo, na kama mbinu ya ccm ni kumuweka ndan lema its a grave mistake since they are making him more popular,
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
Weeeeeeeeeeeeeeeee, inaeleka huwajui watu wa AR. uwaambii chochote kwa Lema. kwao wao ni kama vile uji na mgonjwa.
 
Subiri nijielekeze viwanja vya shule ya Msingi Ngarenaro nikampe support Kamanda Lema.
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi

Nasikia Gambo amelazwa hoi baada ya kusikia Lema yupo A town.Kamsaidie kwanza.
 
hivo ndivo zilivo akili za Team Wema
hawachagui viongozi makini ,bali wanachagua ilimradi wakomeshe ccm...
na kuendeleza siasa zisizo na mpango!

huku kwetu kubenea hajaja hadi leo. na kampeni hakupiga
Unataka aje kukutekea maji? Ofisi yake huijui? Kwenye mikutano huwa unaenda? Hata mikutano ya mtaa tu huendi, halafu unataka umuone Kubenea. Unaipenda miwani yake? Hopeless material!
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
 

Attachments

  • tmp_4841-IMG-20170310-WA0068718563932.jpg
    tmp_4841-IMG-20170310-WA0068718563932.jpg
    130.4 KB · Views: 33
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi
17155239_746930108794352_3820752667890927394_n.jpg


https://www.facebook.com/photo.php?fbid=746930222127674&set=pcb.746930258794337&type=3
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi

Kwa maana hiyo mumejipanga kumnyofoa roho yake?
 
Ccm tumejiimarishaa kwelii kwakugawa piki pikii ilaa leoo nashangaa cjuii zilifata nini mahakaman na leoo naona zote zinaelekea ngarenaro
 
Team wema mna jazba...
mpaka unaonge vitu usivovifahamu..
nani kakwambia mikutanoni siendi, kwa taarifa yako naishi karibu na uwanja wa mikutano!

ukweli lazima muambiwe!!!!
stupid a s.s nigga
Nenda kwenye mikutano na utoe hoja zinazokutatiza. Hadithi za viingereza vya basketball peleka Sinza. Sijui umenisifia au umenikandia utajijua. A simple freak as twice as you can be!
 
Tanzania ya sasa imebadilika sana hivyo inahitaji siasa zenye mabadiliko na zenye tija

Mwenendo wa siasa za Lema anazozifanya Jijini Arusha ni ishara mbaya sana na itakuja kumpa wakati mgumu sana uchaguzi ujao

Lema amesahau kuyaubiri maendeleo kwaajili ya jimbo lake zaidi anashinda kupiga kiburi na kejeri dhidi ya mkulu na hii itamshusha sana Lema kwani kayasahau maendeleo na wananchi wanapata shida wanahitaji huduma yake huku yeye kawatelekeza akipambana na mkulu wa nchi!

Siasa za Arusha zimebadilika, Sisiemu wamejiimarisha kumwangusha Lema na kwa hili watafanikiwa kwani lema ameshindwa kwenda na wakati sasa

2020 ndio utakuwa mwisho wa tambo kiburi na kejeri toka kwa mbunge huyu asiyekuwa na maendeleo kwa wananchi

wana arusha hawaletewi maendeleo na mtu Bali wanajiletea wenyewe kwa kujituma,hawakuwahi kujengewa nyumba za kuishi wala kununulia magari,ni wachakarikaji,na usidhani kuna mtu anaweza kumtoa Lema pale arusha,Lema ni kati ya wabunge mashujaa na mwanaume wa kweli
 
Ingekua huko mtera, bahi, kongwa, lindi, wala nisingepoteza muda kuandika hapa, sehemu ambayo hamna hata diwani 1 mnahitaji miaka mingine 20 kupata mbunge.
 
get well soon!!!!!!!
Wema kakubomoa kichwa kabisa!!!!
Low ass puta"

waambie CDM walete hoja za msingi majimboni huku! sio kuacha wafuasi wake wanatupigia kelele Jf!
Aaaa bora kuwa a fine azz hole unayejitambua kuliko weye zubezube ambaye huna lila wala fila!
 
Back
Top Bottom