DOKEZO Ukweli mchungu ila vijana wanaokwenda South Africa bora wakabaki hapa

DOKEZO Ukweli mchungu ila vijana wanaokwenda South Africa bora wakabaki hapa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,525
Leo kuna kijana anataka kwenda south Africa kutafuta maisha alinipigia na yupo mkoa fulani siwezi kutaja.

Kwa tafiti zangu za kuzurura na kutembea sana ila kule sasa sio pakutafuta maisha kwa mtu ambaye shule huna, unakwenda kwa kutumia viza za miezi,huna kibari cha kazi.

Waliofaidi ni wale waliokwenda kuanzia 2005 kushuka chini.

Rate ya uhalifu ni kubwa sababu ajira ni za kugombania na mwisho wa siku kama unatoka nyumbani unaweza kucheka kazi kuuza sweet mtaani ukaenda kuifanya kule.

Uhuru ambao kama sio self control kule unaweza kuwa mwizi, muuza sinkaka, mchomoko na mengine.

Vijana wengi wanajipa moyo sana wakifika huko mwisho wa siku kuna mawili final uzeeni bado ujatoboa.

Mauwaji ni ya kugusa kule yani kuna chuki za ajabu.

Kama mnaona south Africa kuna maisha siwapangii mnaojipanga ila mtaenda kufanya kazi ambazo mlikuwa mnashangaa hapa nyumbani.
 
Hilo swala nililifatilia na kuna wana JF wapo SA walielezea

Issue sio SA ila issue ni mentality zao mbovu .


Rate ya vifo ni kuuana wenyewe kwa wenyewe na kuuliwa na wenyeji .


SA , ikiwa upo vzr kichwani ndo uende

Na pia sio SA tu hata hapa Tz ukiwa haufanyi legit hustle , kuuliwa ni jambo rahisi Sana ikiwa hauzingatii code .
 
Sio South Africa tu, sasa hivi dunia nzima ni hivyohivyo kwa mtu asiye na kibali cha kufanya kazi. Ni bora kupambana nyumbani Bongo kuliko kutumia gharama na kuishia kuwa mtumwa bila mafanikio wala matumaini. Inawaweka wahamiaji haramu wengi katika hatari ya kushiriki kwenye makosa ya jinai...
 
Aende nchi ya latvia akaongeze idadi ya wanaume , kule mbususu ni bureeeeeeeeeeeeeeeee




Cha MSINGI astahimili baridi tuuuu
 
South ni jando na aliyepita beach lile ni kidume na popote atatoboa.
 
Hilo swala nililifatilia na kuna wana JF wapo SA walielezea

Issue sio SA ila issue ni mentality zao mbovu .


Rate ya vifo ni kuuana wenyewe kwa wenyewe na kuuliwa na wenyeji .


SA , ikiwa upo vzr kichwani ndo uende

Na pia sio SA tu hata hapa Tz ukiwa haufanyi legit hustle , kuuliwa ni jambo rahisi Sana ikiwa hauzingatii code .
Umekosea hapo ulipolinganisha SA nq Bongo kwenye issue ya uhalifu, katiza katiza cape flats kama hujala risasi za kalio na u smart wako kichwani, wala wale warangi hawana time ya kujua uko smart au ni kapuku, wanakuwasha tu kama panya vile
 
Post kama hizi zinanifanya nichukie anyone associated na CCM na mtu yeyote ambae anaona yanayoendelea ni sawa...

Nchi zote sahizi imekua ngumu kuwa legal immigrant achilia kuwa illegal...

Kuanzia 2035+ ndo tutaona full blown impact ya kuchekea CCM, angalia Nigeria, Kenya na SA inakuonesha namna gani kukiwa na imbalance ta kiuchumi jamii inakua hovyo
 
Tuliyokwenda wakati wa kaburu tulienjoy sana

Ova
 
Kwa madiba zamani bana sio sasa..
Yeye km vipi awatafute kina Nyani Ngabu wampe mchongo wa kulea wazee USA.

Awe mvumilivu mana nasikia vizee vina tabia ya kutemea wahudumu mate usoni 😹😹
 
Hilo swala nililifatilia na kuna wana JF wapo SA walielezea

Issue sio SA ila issue ni mentality zao mbovu .


Rate ya vifo ni kuuana wenyewe kwa wenyewe na kuuliwa na wenyeji .


SA , ikiwa upo vzr kichwani ndo uende

Na pia sio SA tu hata hapa Tz ukiwa haufanyi legit hustle , kuuliwa ni jambo rahisi Sana ikiwa hauzingatii code .


1 Hermetic Principles :
Mentalism: "The All is Mind; the Universe is Mental." Reality originates from a Universal Mind, making consciousness the foundation of existence.
 
Back
Top Bottom