Ukweli kuhusu wanawake tunaowahonga

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,948
Reaction score
9,405
Juzi niliangalia Video ya mdada anayefanya u sugar baby Akihojiwa, anasema yeye anadate na wanaume wenye pesa Nyingi, ili apewe pesa itakayomfanya aishi maisha ya juu.

Anasema aki-interact na wanaume wanaomuhonga, kiuhalisia hafurahii kabisa anapoongea nao na anapokua nao kwenye date, ila anachofanya ni maigizo kuwa anawapenda na anawafurahia hao wanaume ili apate hela, anaigiza kufurahia uwepo wa mwanaume ila kiuhalisia rohoni anakereka.

Nikasema mmh kazi ipo, jiulize mdada anaetaka umuhonge uli ukutane nae, rohoni anajisikiaje.
 
Maana yake pale Kaz yake n kutoa mbususu na kupata chake🤑
haijalish kafurahia🤣 au hajafurahia😩.
starehe hizi dah😃
 
Tatizo hapo sijaona wa hivyo ndio tunawakomoa nikijua kanipendea mkwanja aisee gor 4 up to 7 nimkomeshe yani
 
Wala haina shida kama pesa unayotoa inaendana na huduma unayopata.

Kwani wanadhani sisi hatujua wanatuigizia, tunajua ni vile tu lazma biashara ifanyike baina yetu.
 
Muhimu mbususu, kama nachakata wala sina shida
 
Sasa kwani yeye akikereka wee inakujusu nini cha msingi sii wewe kumgegeda na kumtupilia mbali huku ukitafuta mbususu mpya
 
Japo Raha na starehe ya mwanaume kut**mba mwanamke ni ile hali ya kumuoa ke anavyoifeel m*oo wakati wa kukitwa, lakini Kuna wakati inafika unaona bora nimemkojolea tu maisha yanasonga mbele hakiyanani!
Ha ha ha wakati mwingine hata bao lenyewe linagoma kukojoleka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…