Ukweli kuhusu ufalme wa Babeli

kaka hii historia yako ni ya wapi?
Ati Africa ilikuwa haifahamiki?
Unawajua waethiopia?wahabesh- hawa walikuwa na jeshi moja matata sana na liliiteka middle east yote hadi Israeli kote huko walitembeza kichapo
Mkuu hilo jeshi lilikua linaitwaje??
Nitajie nchi na baadhi ya vita ilizopigana pia niambie lilikua chini ya mfalme nani
Na inasemekana(inasemekana) kuwa lile sanduku la agano.. Moses alilopewa lenye amri kumi za Mungu.
Wahabesh walikuja nalo na lilipotelea Ethiopia.
Mkuu naomba ujazie nyama kidogo hapa..
Jinsi walivyolitwaa hili sanduku la agano aksante..
 
Mkuu hilo jeshi lilikua linaitwaje??
Nitajie nchi na baadhi ya vita ilizopigana pia niambie lilikua chini ya mfalme naniMkuu naomba ujazie nyama kidogo hapa..
Jinsi walivyolitwaa hili sanduku la agano aksante..
Ngoja nikumegee kidogo.


Kuna kingdom ilikuwa inaitwa aksum.
Sema tu nipo bussy ila itakuketea nondo zaidi


. The Kebra Nagast contains a narrative of how the Queen of Sheba/Queen Makeda of Ethiopia met King Solomon and traces Ethiopia's to Menelik I, her son by King Solomon of Israel.

Mfalme solomoni alioa ethiopia.

Ninachotaka kuthibitisha ni yule jamaa aliyesema kuwa Africa haikuwa kwenye ramani
 
CC.
izzo Malcom Lumumba MSEZA MKULU Eiyer Stefano Mtangoo @GDume

Tatizo hawa watu hua ukiwatag wanachungulia tu hawachangii
Hahahaaa!
JF ya sasa watu wanachangia kulingana na walivyosikia, wanavyowaza na wanavyojisikia. Sasa topic kama hizi ukitia maguu unapoteza muda ku argue against opinions. Bora nikacheze na wanangu tu!

Ndio maana nawaachia wazee wa stori, chumvi na kachumbari waendelee kutufunga kamba
 
Hahahaaa!
JF ya sasa watu wanachangia kulingana na walivyosikia, wanavyowaza na wanavyojisikia. Sasa topic kama hizi ukitia maguu unapoteza muda ku argue against opinions. Bora nikacheze na wanangu tu!

Ndio maana nawaachia wazee wa stori, chumvi na kachumbari waendelee kutufunga kamba
Funguka mkuu utupe elimu... adimu hii kuipata huku mtaani
 
Hata sijakuelewa

mkuu mweusi alikuaga mtoto wa nuhu aliemchungulia baba ake
Ndio nkajibu Ham hakumchungulia baba yake ila mtoto wa ham aliyeitwa Canaan ndio alimchungulia Nuhu.... Ndio akaenda kumuita Baba yake yaani Ham naye aje kuona Nuhu alivyokuwa uchi na ndio maana Nuhu akamlaani Canaan na sio Ham sijui tunaelewana hapo

.... ndie baba wa weusi wote

Ndio nmeuliza mrembo wapi imeandikwa Ham alikuwa mweusi.... Swali tu tusaidiane

Ahsante
 
Mkuu hua nasoma ule uzi uliokua unabishana na kiranga hadi nikapiga salute upo vzr..

Mkuu lkn msichoke kutuelimisha sisi ndo mabadiliko yenyewe hayo..
Hahahaaa!
JF ya sasa watu wanachangia kulingana na walivyosikia, wanavyowaza na wanavyojisikia. Sasa topic kama hizi ukitia maguu unapoteza muda ku argue against opinions. Bora nikacheze na wanangu tu!

Ndio maana nawaachia wazee wa stori, chumvi na kachumbari waendelee kutufunga kamba
 
Kuna mti flani unaitwa mmavmav sidhani kama ulikuwepo hapo bustanini vinginevyo malkia asingepumzika humo, maana harufu yake hata choo cha soko pana afadhali.

Mkuu ndugu yangu umenikumbusha mmavimavi nimecheka kwa sauti kubwa sana, kwa mana matukio niliofanya nao shuleni yanatosha,
 
Ndio nkajibu Ham hakumchungulia baba yake ila mtoto wa ham aliyeitwa Canaan ndio alimchungulia Nuhu.... Ndio akaenda kumuita Baba yake yaani Ham naye aje kuona Nuhu alivyokuwa uchi na ndio maana Nuhu akamlaani Canaan na sio Ham sijui tunaelewana hapo



Ndio nmeuliza mrembo wapi imeandikwa Ham alikuwa mweusi.... Swali tu tusaidiane

Ahsante
Hapo nmeelewa...
kwahiyo canaan ndio aliepewa laana ya weusi...
kizazi cha zamani bwana ,asa mtu utaendaje kumchungulia baba ako akiwa uchi
 
Hapo nmeelewa...
kwahiyo canaan ndio aliepewa laana ya weusi...
kizazi cha zamani bwana ,asa mtu utaendaje kumchungulia baba ako akiwa uchi
Hahahhahaa wazungu wahuni tu hakulaaniwa mweusi yoyote maana Ham alikuwa na watoto wengi tu sasa kwanini akilaaniwa Canaan ndio waseme weusi wote ilihali katika watoto wake 4 ni mmoja tu alilaaniwa

Kuhusu kumchungulia huenda alimuona mdingi ana ki-le mutuz akashindwa jizuia kucheka :D:D:D:D:D:D
 
Huu mti nakumbuka kulikua na mtihani wa mock wa shule ya msingi
sasa kuna mwalimu kaja kutusimamia mnoko kishenzi mtihani wa kwanza kakaba hadi penati no chabo no kuibia

mtihani wa pili kuna mtu kaja na mbegu zake kazivunjia pale mbele ya darasa yule mwalimu akaingia baada ya kugundua akasema "HAPA HATA MUWEKE MAVI SITOKI MBUZI NYIE"

nilicheka mpaka hapa nacheka tu
Hahaha imebidi nicheke pia
 
Ndio nkajibu Ham hakumchungulia baba yake ila mtoto wa ham aliyeitwa Canaan ndio alimchungulia Nuhu.... Ndio akaenda kumuita Baba yake yaani Ham naye aje kuona Nuhu alivyokuwa uchi na ndio maana Nuhu akamlaani Canaan na sio Ham sijui tunaelewana hapo



Ndio nmeuliza mrembo wapi imeandikwa Ham alikuwa mweusi.... Swali tu tusaidiane

Ahsante
Ngoja nikasome bible tena
 
Ngoja nikasome bible tena
Mkuu kwenye bible haijaandikwa ila nimesoma tu vitabu vingine vya historia vya wayahudi.... Kwenye biblia pia Nuhu alimlaani canaan sio Ham ikimaanisha kuna ukweli flani kuhusu vitabu nilivyosoma maana kma Ham alimchungulia kwanini laana iende kwa Canaan na sio watoto wengine wa Ham yaani cush puth na mizraim??
 
nilisoma kitabu kimoja kinaitwa the great voyages, kinaelezea voyages za zamani tangu enzi za akina marcopo, vasco dagama, chripher columbus, na wengine wengi.

kabla ya hawa jamaa kuanza harakati za exploration baharini wazungu walikua na uelewa mdogo sana katika dunia na mabara kama afrika, amerika na sehemu kubwa ya dunia walikua hawaijui kabisa, kwaiyo kipindi icho dunia waliokua wakiijua ilikua sehemu ndogo sana na sehemu ya bahari waliokua wanaijua ilikua ndogo sana.

walikua wanajua bahari ni kama ziwa kwamba huwezi ukazunguka ukarudi palepale yani utaenda lakini kuna mwisho, sasa kama kipindi icho cha miaka ya 1400's upeo wao uliishia apo jiulize kipindi cha habari za vitabu vya dini wanapozungumzia dunia upeo wao ulikuaje.

point ni kwamba dunia waliokua wanaijua ilikua ni sehemu ambayo wao wanaitambua wala walikua hawaijui kwa mapana kama ilivyo sasa walikua hawajui kama kuna afrika, amerika, bahari ya hindi na sehemu zingine ambazo hawajawai kufika.
 
Duuuh, kitu chochote ambacho kilitokea kabla wewe hujazaliwa ni hadithi tu, hakiaminiki, na unakijua kupitia kumbukumbu zilizo katika maandishi. Kwa mfano, mimi kwa kuwa sikuwepo wakati wa vita ya kwanza ya dunia, nitakuwa sahihi nikisema ni hadithi tu, kisa sikuwepo wakati huo? Tafakari.
Kwahiyo hata huyo baba yako huamini kama ni baba yako coz wakati mimba inatungwa hukuwepo piaa...
 
Back
Top Bottom