Salaam shalom!!
Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,
Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.
Mifumo yote ya kiuongozi, kiutawala, kiuchumi, kisiasa ni copy and paste Toka Ulimwengu usioonekana.
Kitabu kiitwacho BIBLIA, NENO la Mungu, ni kitabu chenye codes nyingi sana za kijasusi kati ya falme kuu mbili , Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru.
Tupitie cases ZIFUATAZO;
CASE NO 1.
( Mwanzo 14:18-20).(Hebrews 7:1...)
Ibrahim anampa ZAKA mtu aitwaye MELKIZEDEK, Huyu anaitwa Mfalme wa Salem, na Ufalme wa huyu MELKIZEDEK ni mfalme asiekuwa na mwisho, Hana baba Wala mama, pia ni kuhani.
Hiyo ni code muhimu kujua kuwa huyo alikuwa Si mtu au binadamu wa kawaida.
CASE NO 2.
(Isaya 14:13), (Mwanzo 3:4-5),(Mithali 16:18),( Zaburi 9:20),(Ezekiel 28:1-19).
Anaibuka mtu na kutawala Nchi iitwayo TIRO, Ameandikwa alikuwa na HEKIMA kumzidi Danieli, wakati maandiko yatuambia Daniel alikuwa anaweza Hadi kutuambia Jana uliota nini Kwa uwezo wa Mungu, Mfalme wa TIRO,alitumia HEKIMA zake Kupata utajiri mkubwa,alikuwa kerubi aliyeasi mbingu,Ukisoma vizuri sifa za mtu huyo, mfalme huyo, utagundua kuwa , hakuwa mtu au binadamu wa kawaida Bali alitoka SAYARI Ingine kabisa.
Na hapa Wafalme wengi wa Dunia huvamiwa na kujikuta wanampa huyo Shetani kukalia KITI bila kujua Kwa kujiinua na kutaka kujitukuza na kusifiwa. Ujasusi ukaendelea!!
CASE NO 3.
( Mwanzo 18:15-32).
Watu watatu wanamjia Ibrahim na kuongea naye,
Walipokwisha kula na kuondoka kuelekea Sodoma na Gomora, Cha kushangaza, walifika Sodoma na Gomora watu wawili, mtu wa tatu, haijulikani alipotelea wapi,
Hiyo itoshe tutupa kufahamu kuwa watu wale hawakuwa wa kawaida wa Ulimwengu huu.
CASE NO 4.
( Genesis chapter 1&2).
Uumbaji wa Mtu pia ni Siri kubwa, Kuna uwezekano pia mwanadamu, mtu asili yake Si katika Dunia hii,
Neno la Mungu lasema, na tuumbe mtu Kwa Mfano wetu, Kwa sura yetu.
Hilo pekee litupe kujua kuwa sisi pia Si wa kawaida.
CASE NO 5.
( Mathayo 17:1-13).
Elia anatwaliwa akiwa hai kwenda Mbinguni Kwa kutumia gari la farasi liwakalo moto.
Yohana mbatizaji anakatwa KICHWA, baadae Yesu anawaambia wanafunzi wake kuwa, ikiwa mnapenda kuamini, aminini kuwa Elia ndiye Yohana mbatizaji aliyekatwa KICHWA. Ujasusi ukaendelea, watu midomo wazi.
CASE NO 6.
( Mathew chapter 1&2).
Kuzaliwa Kwa Yesu. Maandiko yanataja Yesu katika uzao wa kifalme wa Daudi, na vizazi vinamtaja Yusuph mume wa Maria kama ndiye aliyemzaa Yesu, hapo hapo kumbe WANADAMU wameshapigwa tukio la kijasusi, kumbe Yusuph Si baba wa Damu na nyama wa Yesu, kumbe Yesu ni mtu Kutoka Mbinguni kabisa,
Hadi anapaa Mbinguni, ndipo watu wakaja kujua kuwa kumbe Mungu mwenyewe ndiye alikuja katika mwili wa mwanadamu.
CASE NO 7.
(Job: 1,2,3......)
Toto Tundu ( shetani) linajipitisha Kwa Mungu, Mungu analiuliza, je umemwona mtumishi wangu Ayoub?
Shetani asema, wapi, anakutii sababu umempa Kila kitu, utajiri, Mali ,watoto na umemzungushia ulinzi, ukiviondoa hivyo atakuasi,
Mungu anatoa Ruhusa Ayubu ajaribiwe bila hatankumshirikisha Ayubu, ghafula moto unashuka Toka Mbinguni , unashushwa na shetani na kutekeleza Mali za ayubu, majanga mfululizo yanamfuata.
Ndipo WANADAMU tujue hapa duniani, tunafanyiwa Ujasusi tena wakati mwingi Baba yetu Mungu anaruhusu tupitie magumu Ili aone kama tutaendelea kumtumaini.
CASE NO 8.
Mfalme Daudi a apata wazo kichwani mwake, anawaza ghafula kuwahesabu Wana wa Israel anaowaongoza, na anaita watu na kuwaagiza waanze KAZI ya sensa, Mungu anamkasirikia Daudi na kumwambia, haya Mawazo Wala Si yangu, Wala hayakutoka kichwani mwako, Bali ni Shetani ndiye aliyeleta wazo Hilo nawe umemtii.
Ndipo hapo tujue kuwa hata Mawazo yetu tusiyaamini, tuyapime, yaezakuwa ni Ujasusi wa kifikra tunafanyiwa.
Swali no 1.
Je Ujasusi huu ni Hadi lini?
Swali no 2.
Je, Unajitambua wewe u nani wewe na asili yako?
Swali no 3. Umeshawahi kufanyiwa tukio la kijasusi Kutoka watu wa SAYARI zingine iwe Nuru au Giza?
Karibuni 🙏
Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,
Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.
Mifumo yote ya kiuongozi, kiutawala, kiuchumi, kisiasa ni copy and paste Toka Ulimwengu usioonekana.
Kitabu kiitwacho BIBLIA, NENO la Mungu, ni kitabu chenye codes nyingi sana za kijasusi kati ya falme kuu mbili , Ufalme wa Giza na Ufalme wa Nuru.
Tupitie cases ZIFUATAZO;
CASE NO 1.
( Mwanzo 14:18-20).(Hebrews 7:1...)
Ibrahim anampa ZAKA mtu aitwaye MELKIZEDEK, Huyu anaitwa Mfalme wa Salem, na Ufalme wa huyu MELKIZEDEK ni mfalme asiekuwa na mwisho, Hana baba Wala mama, pia ni kuhani.
Hiyo ni code muhimu kujua kuwa huyo alikuwa Si mtu au binadamu wa kawaida.
CASE NO 2.
(Isaya 14:13), (Mwanzo 3:4-5),(Mithali 16:18),( Zaburi 9:20),(Ezekiel 28:1-19).
Anaibuka mtu na kutawala Nchi iitwayo TIRO, Ameandikwa alikuwa na HEKIMA kumzidi Danieli, wakati maandiko yatuambia Daniel alikuwa anaweza Hadi kutuambia Jana uliota nini Kwa uwezo wa Mungu, Mfalme wa TIRO,alitumia HEKIMA zake Kupata utajiri mkubwa,alikuwa kerubi aliyeasi mbingu,Ukisoma vizuri sifa za mtu huyo, mfalme huyo, utagundua kuwa , hakuwa mtu au binadamu wa kawaida Bali alitoka SAYARI Ingine kabisa.
Na hapa Wafalme wengi wa Dunia huvamiwa na kujikuta wanampa huyo Shetani kukalia KITI bila kujua Kwa kujiinua na kutaka kujitukuza na kusifiwa. Ujasusi ukaendelea!!
CASE NO 3.
( Mwanzo 18:15-32).
Watu watatu wanamjia Ibrahim na kuongea naye,
Walipokwisha kula na kuondoka kuelekea Sodoma na Gomora, Cha kushangaza, walifika Sodoma na Gomora watu wawili, mtu wa tatu, haijulikani alipotelea wapi,
Hiyo itoshe tutupa kufahamu kuwa watu wale hawakuwa wa kawaida wa Ulimwengu huu.
CASE NO 4.
( Genesis chapter 1&2).
Uumbaji wa Mtu pia ni Siri kubwa, Kuna uwezekano pia mwanadamu, mtu asili yake Si katika Dunia hii,
Neno la Mungu lasema, na tuumbe mtu Kwa Mfano wetu, Kwa sura yetu.
Hilo pekee litupe kujua kuwa sisi pia Si wa kawaida.
CASE NO 5.
( Mathayo 17:1-13).
Elia anatwaliwa akiwa hai kwenda Mbinguni Kwa kutumia gari la farasi liwakalo moto.
Yohana mbatizaji anakatwa KICHWA, baadae Yesu anawaambia wanafunzi wake kuwa, ikiwa mnapenda kuamini, aminini kuwa Elia ndiye Yohana mbatizaji aliyekatwa KICHWA. Ujasusi ukaendelea, watu midomo wazi.
CASE NO 6.
( Mathew chapter 1&2).
Kuzaliwa Kwa Yesu. Maandiko yanataja Yesu katika uzao wa kifalme wa Daudi, na vizazi vinamtaja Yusuph mume wa Maria kama ndiye aliyemzaa Yesu, hapo hapo kumbe WANADAMU wameshapigwa tukio la kijasusi, kumbe Yusuph Si baba wa Damu na nyama wa Yesu, kumbe Yesu ni mtu Kutoka Mbinguni kabisa,
Hadi anapaa Mbinguni, ndipo watu wakaja kujua kuwa kumbe Mungu mwenyewe ndiye alikuja katika mwili wa mwanadamu.
CASE NO 7.
(Job: 1,2,3......)
Toto Tundu ( shetani) linajipitisha Kwa Mungu, Mungu analiuliza, je umemwona mtumishi wangu Ayoub?
Shetani asema, wapi, anakutii sababu umempa Kila kitu, utajiri, Mali ,watoto na umemzungushia ulinzi, ukiviondoa hivyo atakuasi,
Mungu anatoa Ruhusa Ayubu ajaribiwe bila hatankumshirikisha Ayubu, ghafula moto unashuka Toka Mbinguni , unashushwa na shetani na kutekeleza Mali za ayubu, majanga mfululizo yanamfuata.
Ndipo WANADAMU tujue hapa duniani, tunafanyiwa Ujasusi tena wakati mwingi Baba yetu Mungu anaruhusu tupitie magumu Ili aone kama tutaendelea kumtumaini.
CASE NO 8.
Mfalme Daudi a apata wazo kichwani mwake, anawaza ghafula kuwahesabu Wana wa Israel anaowaongoza, na anaita watu na kuwaagiza waanze KAZI ya sensa, Mungu anamkasirikia Daudi na kumwambia, haya Mawazo Wala Si yangu, Wala hayakutoka kichwani mwako, Bali ni Shetani ndiye aliyeleta wazo Hilo nawe umemtii.
Ndipo hapo tujue kuwa hata Mawazo yetu tusiyaamini, tuyapime, yaezakuwa ni Ujasusi wa kifikra tunafanyiwa.
Swali no 1.
Je Ujasusi huu ni Hadi lini?
Swali no 2.
Je, Unajitambua wewe u nani wewe na asili yako?
Swali no 3. Umeshawahi kufanyiwa tukio la kijasusi Kutoka watu wa SAYARI zingine iwe Nuru au Giza?
Karibuni 🙏