Ukweli kuhusu tukio la walimu waliompiga mwanafunzi Mbeya

Ukweli kuhusu tukio la walimu waliompiga mwanafunzi Mbeya

Haya mleta mada, log in kwa I'D yako ya kawaida uanze ku-comment lakini fahamu tu kwamba hakuna mtakachoeleza ambacho kitahalalisha ule unyama!!
 
Kasim majaliwa wazir wetu mkuu naye si alishawahi kuwachapa viboko walim mbele ya wanafunz kisa wanafunz walifel akiwa mkuu wa wilaya
 
mbona wazazi wenu waliwapiga na kuwakanyaga video zao zipo kwenye akili zenu hawajafukuzwa Tanzania
 
Naona braza anajiita mtetezi wa wanyonge... Wanyonge wanaokunja ngumi na kumchangia mtoto wa form three... You see, baya ni baya hata likiwa limelipiza baya.
Unaweza kumpa kazi ya u house boy huyo mtoto?
 
Mimi nasema hao waalimu wasijibu mapigo kama walivyojibu basi watoto wa shule ile woooote wangeshakuwa ma Scorpion.

Nawapa hongera za dhati hao walimu (potelea mbali hata kama napingana na wewe) maana mimi ni mzazi, nami nililelewa na wazazi kwa ushirikiano mkubwa na jamii.
 
Hakuna neno au tukio lolote linaloweza kuhalalisha unyama aliofanyiwa Yule Kijana japo nae anaonekana ni Nunda Mkorofi. Hata Kama angemtia Dole Mwalimu nini konde bado haikuwa sahihi kushambuliwa ( ile sio kuadhibiwa).
Story ya kusema alivunja TV ni ya Uongo kwa kuwa kwa Mujibu wa Nipashe ya Leo Baba Mzazi wa Yule Kijana anasema Nyumbani kwake bado hajafanikiwa kuweka Umeme sasa hiyo TV alikuwa anatumia Mkaa au Power bank?

Pamoja na Yote hayo adhabu ya kuwafukuza Chuo wale Vjana ni kubwa mno kwao na familia zao na Taifa kwa Jumla, ingeangaliwa namna ya kuwaadhibu hao Walimu wa Field sio kuwakomoa Kama wao walivyomkomoa Yule Mwanafunzi

Utazaa mwanao halafu akutie kidole mbele ya wadogo zake na watoto wa majirani halfu uchekelee na umuache aende zake huku ukimsifu kuwa kweli dogo nunda
 
Hii inanikumbusha movie ya National Security ya mtaalamu Martin Lawrence "bambo bee"
 
Utazaa mwanao halafu akutie kidole mbele ya wadogo zake na watoto wa majirani halfu uchekelee na umuache aende zake huku ukimsifu kuwa kweli dogo nunda

Kwani ukinuna na kumdunda ndo kitakuwa hakikuingia?
'Akili mate' wako kafumania Mkewe a anapewa 'mseto' akalawiti Mgoni na kusambaza Picha sasa hivi yupo Gerezan kala Mvua za Milele na hicho kidude alichopigania kinaliwa na Wachimba Mitaro watakavyo!
 
Kasim majaliwa wazir wetu mkuu naye si alishawahi kuwachapa viboko walim mbele ya wanafunz kisa wanafunz walifel akiwa mkuu wa wilaya
Naona unamchanganya na Albert Mnaly ndie alichapa walimu Bakora wakati akiwa Mkuu wa Wilaya ya Bukoba!
 
Inatosha sasa..... hata mtoto angekuwa amekula nyama ya mtu au amevunja kidole cha mwalimu... ile haikuwa sawa.... haikuwa self defense.... hawakuwa kwenye hatari.... vipi wangekuwa polisi? Wakipewa bunduki na sheria zinazo walinda kama polisi? Hapana hawa walimu walikosea.... kukosea ni ubinadamu wakati mwingine, waombe msamaha angalau ila tusijustify walicho fanya hapana.....
 
Mkuu umesema alimjibu yule mwalimu vbaya je ni jibu gani hilo alilojibiwa?
Pili,kwenye hilo darasa kulikua na walimu wangapi kwasababu umesema walimu wengine walimchukua uyo mwanafunzi na kumpeleka ofisini.
Tatu,kama kweli uyo mwanafunzi ni mkorofi na ni tabia yake kupiga walimu kwanini mwalimu wa nidhamu au mwalimu mkuu ajamchululia hatua kipindi chote kabla ya hao walimu wa mafunzo kuja?

Taarifa yako ina maswali mengi kuliko majibu ya ulichotaka kutuaminisha

upuuzi kama huu unazidisha hasira ya wanaoujua ukweli halisi wa hao wavuta bangi wenu mnaowaita watoto wa shule, all in all namlaumu siku zote huyo LIMBUKENI wa smartphone ambaye naamini hata yeye alipo nafsi inamsuta (hasa akizingatia hali halis ya nidhamu ya wanafunzi wa pale anaifahamu). Hao walimu tarajali wao sio wapuuzi kiasi hicho,, Mwalimu kudhalilishwa na mwanafunzi mbele ya wanafunzi kunapandisha hasira hata kama mnajifanya hamlioni hilo
 
mbalizi 1 primary school mkoani Mbeya zamani kulikuwa na ka ofis kaniatwa gologota ukiingia huko utajuta kuzaliwa na wanafunz walikuwa wanasoma kama kawaida na vipigo vinaendelea bila viboko taifa litaangamia ngoz nyeus muda wate ni mtu wa kisukumwa tu ILA SIO KUPIGA VIBAO CHAPA VIBOKO.
 
Wazazi wajiandae kulea watoto peke yao, sasa mtoto wako akichelewa shule, asipofanya test, akipata marks chache, akikutwa anavuta bangi au chochote kibaya hataulizwa mzazi utayajua haya kwenye mtihani wa mwisho
 
Hakuna neno au tukio lolote linaloweza kuhalalisha unyama aliofanyiwa Yule Kijana japo nae anaonekana ni Nunda Mkorofi. Hata Kama angemtia Dole Mwalimu nini konde bado haikuwa sahihi kushambuliwa ( ile sio kuadhibiwa).
Story ya kusema alivunja TV ni ya Uongo kwa kuwa kwa Mujibu wa Nipashe ya Leo Baba Mzazi wa Yule Kijana anasema Nyumbani kwake bado hajafanikiwa kuweka Umeme sasa hiyo TV alikuwa anatumia Mkaa au Power bank?

Pamoja na Yote hayo adhabu ya kuwafukuza Chuo wale Vjana ni kubwa mno kwao na familia zao na Taifa kwa Jumla, ingeangaliwa namna ya kuwaadhibu hao Walimu wa Field sio kuwakomoa Kama wao walivyomkomoa Yule Mwanafunzi
yan makofi tu mnaita unyama.hata kama hakupiga ngumi,yani hata angejaribu kunisukuma tu angekula zaid ya yale,mnaleta ujinga ujinga hapa
 
Kwani ukinuna na kumdunda ndo kitakuwa hakikuingia?
'Akili mate' wako kafumania Mkewe a anapewa 'mseto' akalawiti Mgoni na kusambaza Picha sasa hivi yupo Gerezan kala Mvua za Milele na hicho kidude alichopigania kinaliwa na Wachimba Mitaro watakavyo!
hongera, naona utamuita arudie tena.......nyie ndio mnatuletea watoto wenye balaa mashuleni
 
ngoja waaje ..niliwaambia yule dogo hajapigwa kaaabisa hawa wadada wa daslama wanaleta unafki tu
Acha ujinga wewe. Dogo kapiga mwalimu wa kwanza ngumi ya mdomo, kawapiga walimu wawili akawashinda then ndio ikabidi wachangie wote wanne sijui watano! Ni mjinga ndio ataamini hio stori. Walimu wenyewe vijana wametoka field sio watu wazima,vijana na nguvu zao mwanafunzi mmoja anawashinda.

Kama huyo mwanafunzi kafanya hayo wanayosema na ushahidi wanao wangeshamfukuza shule. Yeye ni nani afanye uharamia wote huo wasimchukulie hatua?
 
Yani watu wametunga habari za uongo ili kuficha maovu ya hap walimu.
Adhabu ya kuwafukuza chuo ni ndogo sana,wanatakiwa kufungwa kifungo cha zaidi ya miaka mi3.
kwa kosa gani na kifungu gani cha sheria,wale hawafungwi
 
Back
Top Bottom