Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Wengi tumesoma na tunajiendeleza kielimu ili ku secure nafasi zetu za ajira maofisini.
Elimu zetu zimekuwa ni matumbo joto kwa mabosi tuliowapita kisomo.
Elimu zetu zimetujengea maadui wengi ambao usoni tuwaonapo tunawaona wamejaa tabasamu kumbe mioyoni mwao wamesha tuweka kwenye jeneza.
Elimu hii alituletea Mr. Mkoloni ili tupate kazi za kizungu, kama ukarani na ualimu.
Tangu zama hizo hadi leo wengi tunakuwa tunasoma ili tuajiriwe.
Wasomi wa leo ni waoga sana, wanaogopa kujiajiri, wanaogopa ku take risk.
Kuna haja sasa vyuo vyetu na sisi wenyewe tubadilishe namna yetu ya kufikiri.
Tuifanye elimu yetu ituopatie uwanja mpana wa ajira. Sio tushupalie tu ajira rasmi, ila tuvuke pia mipaka twende kwenye ajira isiyo rasmi.
Tukawekeze na kukuza vipato vyetu binafsi na uchumi wa taifa letu kwa ujumla.
Elimu zetu zimekuwa ni matumbo joto kwa mabosi tuliowapita kisomo.
Elimu zetu zimetujengea maadui wengi ambao usoni tuwaonapo tunawaona wamejaa tabasamu kumbe mioyoni mwao wamesha tuweka kwenye jeneza.
Elimu hii alituletea Mr. Mkoloni ili tupate kazi za kizungu, kama ukarani na ualimu.
Tangu zama hizo hadi leo wengi tunakuwa tunasoma ili tuajiriwe.
Wasomi wa leo ni waoga sana, wanaogopa kujiajiri, wanaogopa ku take risk.
Kuna haja sasa vyuo vyetu na sisi wenyewe tubadilishe namna yetu ya kufikiri.
Tuifanye elimu yetu ituopatie uwanja mpana wa ajira. Sio tushupalie tu ajira rasmi, ila tuvuke pia mipaka twende kwenye ajira isiyo rasmi.
Tukawekeze na kukuza vipato vyetu binafsi na uchumi wa taifa letu kwa ujumla.