Ukweli kuhusu Pyramids

Hahahaha...hapa nimekuelewa unajua kuna mdau mmoja alisema imeanza kujengwa juu..sasa nikawa sipati picha vizur juu kivipi! ila umenipa maarifa sasa
 
Kwani waimisri wao wanasemaje?
Kuna bosi wangu mmoja alikua mmisri nae hajui licha ya kutoka hapo hapo mji wa GIZA!! Nao hawajui..labda mafarao wangekuwepo labda wangetupa elimu hiyo
 
hata mimi sijamuelewa kwa hiyo walianza kupauwa badala ya msingi je hayo mawe ya juu force ya GRAVITATIONAL ilikuwa, usingizini?
kuna mmisri mmoja kanambia jamaa walikata gravitational force!! kwamba waliojenga hizo walikua wanahesabu kali!! Alafu mkuu unajua egypt ni wataalamu wa hesabu tangu kale
 
Vipi kuhusu exploring ya wazungu Africa ambayo imetokea hivi karibuni tu miaka mingi baadae baada ya Yesu kuzaliwa, Je walipataje hyo civilization kiasi cha kumzidi muafrica aliefundishwa hyo civilization? Historia inaonesha mrumi alianza kujitambua kitambo sana nae alikuwa na annunaki. Halafu kwann nisiamini bible yenye nguvu zaidi na uvumbuzi wa mambo mengi zaidi yaliyojificha ya dunia nikaabudu wamali na maandishi yao. Ukipata nafasi soma bible hata agano jipya tu ujue binadamu wa kweli alikuwaje na true civilized person ni nani? Jesus as person ndiye truly civilised person to ever lived in the world.
 
Kwamba waliyeyusha mawe na kujenga kama tujengavyo lenta!?
Hicho unachokisema wewe ndio kigumu zaidi ya kubeba hizo tons za tofali.
Pyramids mawe yake yamepangwa tu, sio labda kuna cement iliotumika ets.
 
Gravitation force
Ndio hyo hyo..hakuna sayar isiyokua nayo...any space body lazima iwe na hyo force...znatofautina nguvu tuu..nyingne ni 9.8,....nyingne ni 6.2 ....nyingne ni 98.6 et etc....bila hyo force hakuna sayar hapo
 
aisee wewe jamaa nimegundua unaendeshwa na hisia za kidini kuliko uhalisia
Halafu nimegundua hata history ya human civilization inakupiga chenga umekalia ubishi wa kindezi yaani warumi wa juzi hapo umafananinisha na ancient civilization ya kale kama Assyrian,misri,kush,Aztec na Babylon?

Nadhani rudi shule tena mbna bure tu mzee baba kuliko kukalia ujinga ulionao kubisha vitu vilivyo wazi,yaani watu kama wewe ni wale mmekalili elimu hamna hata kujiongeza!

Shame!
 
Kwamba waliyeyusha mawe na kujenga kama tujengavyo lenta!?
Hicho unachokisema wewe ndio kigumu zaidi ya kubeba hizo tons za tofali.
Pyramids mawe yake yamepangwa tu, sio labda kuna cement iliotumika ets.
Sio kuyeyusha na kuyabeba mkuu,

Maana yangu nikuwa materials ya kujengea ikitokana na kuponda miamba au mawe malaini ili kupata chokaa au unga laini (kama cement) was kujengea,

Hata majengo ya pale kilwa kisiwani au bagamoyo yalijengwa kwa mtindo huo, we unadhani Yale majengo ya zamani ya kirumi au miji ya babeli ya kale walipata wapi cement yakujengea kama sio kuponda miamba laini au kuchoma mawe aina ya chokaa?!

Any way, hoja hapa sio kupata materials Bali walijenga vipi hayo mapyramids, kama sio kuyajenga kwa kupandisha materials ya ujenzi juu kwa juu, walibebaje hayo matofali ya tani 2500?!

Ulitakiwa kupinga hoja kwa hoja, kama hoja hii ya kupeleka materials na kujenga juu kwa juu huiafiki, basi ungeleta hoja yako wewe yenye mashiko, mantiki na logic ili uweze kutushawishi tukuamini kwamba wewe ndio uko sahihi.
 
Halafu shida binadamu tunaishi kwa mazoea sana hivi Sayansi kwasababu tunasoma darasani basi haya mambo ni ya kawaida. Hv kweli kujenga hizo pyramid na kupeleka vyombo mwezini kuna tofautiana maajabu hapo?
Kujenga International Space Station maajabu ×10000 kushinda hizo Pyramid ila kKinachozungumziwa ni Timeline kwamba katika kipindi hiko technology hiyo waliitoa wapi ingekuwa imejengwa sasahivi ingekuwa ushuzi tu.

umeelewa mantiki
 
Hayo majina ya kigirki yanafuata nini hapo hayo makaburi Yana umri mkubwa kuliko mungu wewote wa kiarabu au kiyahudi
 
its a deep history!
 
Mawazo yako ndiyo matunda ya historia iliyochakachuliwa na maandiko ya kwenye vitabu vya imani.

Jiulize kabla ya imani za kigeni kuja kwetu, inamaana Babu zetu walikuwa wanaruhusu kuua, kuiba, kusema uongo na dhambi zingine zingine? Sio kweli, Babu zetu walikuwa well civilized sema wanaotaka kukutawala kifikra lazima waharibu historia yako nzuri na kukuhadaa na historia mbaya.

Nyie ndio bado mnaamini mlima kilimanjaro umegunduliwa na wazungu.
 
Ndiyo umegunduliwa na wazungu unachobisha nini sasa? Kwani kuna mtu kasema wametengeneza wazungu? Kwani we ukisikia mtu kagundua chimbo la nguo kariakoo anakuwa nd mwenye hilo chimbo? Bila mzungu inaezekana hata huo mlima klm usingekuja kuusikia sasa mi nauona na sijawahi fika mkoa wa klm den mzungu kagundua ndiyo. Yani kauli yako inashangaza sana hata waliogundua kuwa kuna sayari ya mars haimaanishi wameumba wao au waliogundua simu ulizoshika haimaanishi material wameumba wao. Turudi kwenye dini hapo mababu zetu walikuwa wachawi Je sifa ya mchawi ni nini kama sio moja wapo kuua? Halafu na bible imeeleza wazi kuhusu hao mababu kuwa wataponywa kwa kuwa hawakuyajua maandiko ila sio sisi tuliooneshwa na ishara zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…