Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?

Kwa hiyo serikali inatoa 'huduma' ya usafiri wa anga au inatengeneza faida?
 
Kwa hiyo biashara ya ndege haina faida?

..unaweza kupata faida.

..lakini unatakiwa u-invest fedha nyingi sana.

..unatakiwa uwe na ndege nyingi za kuweza kuwa na " hub " ya kusambaza abiria maeneo mbalimbali.

..Rwanda, Kenya, Uganda, South Africa, wote wanaendesha mashirika yao kwa hasara.
 
Unavyoongea ni kama unafurahia matatizo ya corona yanavyotokea ili uweze kuikejeli serikali!!. Hapa mkuu Kiranga umejishusha mno!!.

Unasahau kwamba sio Tanzania pekee yenye kufanya hii biashara. Rwanda wanazo ndege zllizonunuliwa kwa cash na nchi nyingi tu zina ndege nyingi zilizonunuliwa kwa cash.

Mashirila makubwa yana ndege zipo grounded sembuse za kwetu!!..hakuna mwanadamu mwenye kuweza kutabiri majanga yatatokea lini na wapi lakini majanga sio kigezo cha watu kuogopa kufanya investments kubwa.
Mtu akikuambia usivuke barabara bila kuangakia kulia na kushoto kabla, ukavuka bila kuangalia hivyo, ukagongwa na gari, akikuambia nilikuambia usivuke bila kuangalia kulia na kushoto kabla hapo maana yake amefurahia umegongwa?

Mbona unaunganisha vitu viwili ambavyo havina uhusiano wa moja kwa moja?

Kusema kwamba serikali imejiingiza katika very risky business bila mipango mizuri si kufurahia serikali kujiingiza hivyo.

Mimi nasikitika sana, ndiyo maana naandika hivi, tusirudie kujimwambafy kwenye mambo yaliyowashinda watu waliyoyaanzisha.

Wewe unafikiri serikali ya Marekani huko ndege zilipoanzia na wanapojua biashara hii kwa miaka mingi zaidi yetu ni wajinga walivyoamua kutokuwa na shirika la ndege la serikali?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
Fanculo wewe, ndege ni huduma? Bibi yako anaweza kupanda bure?
 
Je, zina faida gani economically?

Hizi hela ni zaidi ya mtaji wa viwanda vya Bakhresa. Angalia impact ya viwanda vya Bhakresa na ndege za Magufuli in terms of mzunguko wa hela, ajira na services. Watalii hawawezi wakaacha kupanda ndege za makampuni makubwa yenye muda mrefu kwenye biashara pamoja na usalama wa uhakika waje wapande ndege za Magufuli.

By the way, hata hayo makampuni makubwa yanapata hasara na biashara ya ndege si biashara ya kutegemea kujenga uchumi. Je, Bunge limepitisha manunuzi ya ndege saba?

Hivi unaachaje kuwekeza kwenye kilimo, madini, elimu, gesi,maji, umeme then unaenda kuwekeza kwenye ndege kwa taifa changa kama hili ambalo watoto hawana madawati na hospitali mama wajawazito wanalala chini?

Hapo hatujagusa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu. Huu uongozi umechafua sana picha ya taifa hili; this is one of the worst leaderships. By the way, kila chenye mwanzo kina mwisho, walikuwepo wakina Mobutu, wapo wapi now? Tusibiri muda wake utafika tu.

View attachment 1250571
Nawahakikishia huyu jamaa hayuko sawa kwenye ubongo.
Nahisi kuna fyuzi imechomoka baada ya zile risasa🤣🤣🤣 siyo bule.

Yani yeye hajui niwatarii wangapi wameletwa na hizo ndege, wamelipa kiasi gani pesa za kigeni kupitia utarii!

Makampuni na mahoteli yakitarii yameingiza pesa kiasi gani!

Yani jamaa hajui yte hayo.
Hopeless
 
Mtu akikuambia usivuke barabara bila kuangakia kulia na kushoto kabla, ukavuka bila kuangalia hivyo, ukagongwa na gari, akikuambia nilikuambia usivuke bila kuangalia kulia na kushoto kabla hapo maana yake amefurahia umegongwa?

Mbona unaunganisha vitu viwili ambavyo havina uhusiano wa moja kwa moja?

Kusema kwamba serikali imejiingiza katika very risky business bila mipango mizuri si kufurahia serikali kujiingiza hivyo.

Mimi nasikitika sana, ndiyo maana naandika hivi, tusirudie kujimwambafy kwenye mambo yaliyowashinda watu waliyoyaanzisha.

Wewe unafikiri serikali ya Marekani huko ndege zilipoanzia na wanapojua biashara hii kwa miaka mingi zaidi yetu ni wajinga walivyoamua kutokuwa na shirika la ndege la serikali?

Sent from my typewriter using Tapatalk
Nina uhakika unawachukulia poa wote wanaoongoza sekta hii ya anga, unaongozwa na kukariri maisha kimazoea.

Hakuna aliyeingia kichwakichwa, ondokana na hizi mentality za miaka zote za kitanzania za kuona kuna watu wapo sehemu nyeti na hawajui wanalofanya.

Mashirika yote ya ndege katika kipindi cha corona yanapitia kipindi kigumu, cha ajabu mkuu umeamua kufanya yale yale ya uswahili wetu, kumsimanga mgonjwa wakati wa ugonjwa wake, kumbuka kuwa akipona atarudia katika uzima wa afya yake.
 
Shindwa kabisa

Wewe lazima ni mmoja katika genge linalohujumu uchumi wa nchi!! Hizo ndege mpya zikija zitatia hasara shirika kwani hakuna
Wateja wa kuzipanda!! Ndege hazitakiwi kukaa ardhini zinatakiwa kuwa angani!!
 
Nina uhakika unawachukulia poa wote wanaoongoza sekta hii ya anga, unaongozwa na kukariri maisha kimazoea.

Hakuna aliyeingia kichwakichwa, ondokana na hizi mentality za miaka zote za kitanzania za kuona kuna watu wapo sehemu nyeti na hawajui wanalofanya.

Mashirika yote ya ndege katika kipindi cha corona yanapitia kipindi kigumu, cha ajabu mkuu umeamua kufanya yale yale ya uswahili wetu, kumsimanga mgonjwa wakati wa ugonjwa wake, kumbuka kuwa akipona atarudia katika uzima wa afya yake.
Kwa hiyo unabisha? Unasema shirika la ndege halitapata hasara?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Huyu pimbi ndiye aliyekuwa anatukana serikari !kwamba, haina hata ndege moja
Unapo angalia mapato ya ndege pekee nijisi gani anavyozihirisha hata risasi zilizo mkoswa koswa kumuua yawezekana zimemuasiri Afya ya hakiri anahitaji vipimo.

Kama cyo basi apimwe korona!!
Maana kama ATCL imeingiza 30Bilions basi angejiuliza watarii wangapi hizo ndege zimeleta na wameingiza pesa kiasi gani za kigeni kupitia utarii.

Lakini pia makampuni ya watarii na vijana wetu wameingiza pesa kiasi gani! Tumeuza bidhaa za shilingi ngapi kwa watarii waliokuja na ndege hizo.

Nikuombe tundu lisu! Km hujapima hakiri basi kapime! Maana kila cku unakuja na hoja za ajabu ajabu kiasi kwamba tunahisi huko mbereni utaheuka.
'Watarii', 'utarii' na 'huko mbereni' ndio nini hasa unakusudia kusema? Maana sio typing error kwani umerudiarudia.
Ukijijua wewe ni mjinga ficha ujinga wako usiuweke hadharani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo miaka yote wapinza mlikuwa mnalakamika nini kuhusu nchi kuwa na ndege zake? Tulikuwa na Moja, sasa wangeongeza tunalalamika nini jamani? Au ndio siasa za maji taka hizo.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unabisha? Unasema shirika la ndege halitapata hasara?

Sent from my typewriter using Tapatalk
Hasara wanapata wamiliki wa mashirika makubwa kuliko leru na bado yapo sokoni sembuse sisi.
Unakuwa na mawazo hasi mpaka unasahau ukweli kwamba mwaka huu unaweza kupata hasara na miaka miwili ijayo ukapata faida!.

Kama Bill Gates angekuwa mwoga wa hasara microsoft ingekufa miaka ile ya 1970 baada tu ya kuanzishwa.

Kama walioanzisha facebook wangekuwa waoga wa hasara ingekufa baada ya misukosuko ya mwaka juzi.

Ukiogopa hasara ya muda mfupi siku zote utabakia kuwa lofa tu.
 
Hasara wanapata wamiliki wa mashirika makubwa kuliko leru na bado yapo sokoni sembuse sisi.
Unakuwa na mawazo hasi mpaka unasahau ukweli kwamba mwaka huu unaweza kupata hasara na miaka miwili ijayo ukapata faida!.

Kama Bill Gates angekuwa mwoga wa hasara microsoft ingekufa miaka ile ya 1970 baada tu ya kuanzishwa.

Kama walioanzisha facebook wangekuwa waoga wa hasara ingekufa baada ya misukosuko ya mwaka juzi.

Ukiogopa hasara ya muda mfupi siku zote utabakia kuwa lofa tu.
Mkuu, uko poa Sana, unajua ukitaka uwe mkuu ni lazima usijaribu kuepuka mfumo wa maisha ulivyo

Elimu inatufundisha kukwepa magumu na changamoto, lakini maisha, yanatufundisha kukabiliana na kila kitu ndipo tutoboze, ulimwengu huu unawahitaji majasiri na sio waoga kama hao, Magu Chapa kazi, kwani haufanyi ili unufaike wewe, Bali vizazi vya mama Tanzania
 
..unaweza kupata faida.

..lakini unatakiwa u-invest fedha nyingi sana.

..unatakiwa uwe na ndege nyingi za kuweza kuwa na " hub " ya kusambaza abiria maeneo mbalimbali.

..Rwanda, Kenya, Uganda, South Africa, wote wanaendesha mashirika yao kwa hasara.
Mkuu, hakuna mwisho kabla ya mwanzo, Anza na mwanzo wako ndipo uwe na mwisho

Utakuwa ni muujiza, ujikute tu uko kileleni bila ya kupanda mlima Kwanza,

Mfumo wa maisha ukiukwepa unakufa masikini hata kama umesoma namna gani,

Maisha hutufundisha kukabiliana na changamoto zote, Ila elimu hutufundisha kukwepa changamoto, kuwa na jicho la mwewe, shauri yako
 
Pablo Blanco,

Hivi wanasiasa wetu ni watu wa namna gani?

Kwenye manifest ya CHADEMA kuelekea uchaguzi 2015 walizungumzia azma ya serikali itakayoundwa na CHADEMA kufufua shirika la ATC kwa kununua ndege mpya.

Leo hii wakubwa hao hao wanabeza utekelezaji wa suala hilo hilo na Rais Magufuli halafu ni hao hao pia walipinga sana serikali kuzuia makenikia na wakitahadharisha kuwa TZ inawekushtakiwa na mashirika hayo ya kimataifa na mwishowe itabidi mlipa kodi ndiyo abebe mzigo huo. Leo matokeo yake wote tumeyaona. Sasa tumuamini nani? Wale ambao kila kitu wanaponda au wale ambao hutekeleza kwa vitendo?

Nadhani ifike wakati wanasiasa watafakari hayo wanayotuambia kwani inafika wakati wanajidhalilisha ni bora watafute mada nyingine za kutudanganya.
Kufufua shirika la ndege sio lazima ununue madege yote hayo tena bila utaratibu wa manunuzi ya kinchi.

Nyie mkubali mlibaka manifest ya CHADEMA 2015 bila kujua mikakati iliyokuwa imepangwa ili kufufua shirika hilo hata kama walikuwa wanataka kununua ndege zisingekuwa madege yote hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasara wanapata wamiliki wa mashirika makubwa kuliko leru na bado yapo sokoni sembuse sisi.
Unakuwa na mawazo hasi mpaka unasahau ukweli kwamba mwaka huu unaweza kupata hasara na miaka miwili ijayo ukapata faida!.

Kama Bill Gates angekuwa mwoga wa hasara microsoft ingekufa miaka ile ya 1970 baada tu ya kuanzishwa.

Kama walioanzisha facebook wangekuwa waoga wa hasara ingekufa baada ya misukosuko ya mwaka juzi.

Ukiogopa hasara ya muda mfupi siku zote utabakia kuwa lofa tu.
Hujajibu swali nililokuuliza na swali ulilojibu sijakuuliza.

Unaelewa maana ya methali ya Kiswahili inayosema "Usiige tembo kunya, utapasuka msamba"?

Facebook walioanzisha waliparamia biashara wasiyoiweza?

Unafananisha Shirika la Ndege Tanzania na Facebook?

Sent from my typewriter using Tapatalk
 
Hujajibu swali nililokuuliza na swali ulilojibu sijakuuliza.

Unaelewa maana ya methali ya Kiswahili inayosema "Usiige tembo kunya, utapasuka msamba"?

Facebook walioanzisha waliparamia biashara wasiyoiweza?

Unafananisha Shirika la Ndege Tanzania na Facebook?

Sent from my typewriter using Tapatalk
Na usipoanza kumuiga tembo kunya Kwa kuchana msamba Kidogokidogo kwa kujizoeza viungo vyako Kwanza, utafikaje kule kuona kawaida kunya kwake?
 
Back
Top Bottom