Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Ukweli kuhusu ndege za Serikali

Nenda Airport kajithibitishie ndio uje hapa. Hizi issue huwezi kuandika ukiwa umejibanza Kyela huko.
Zinaweza kuwa hazipo airport na zimeruka na abiria wachache hivyo mapato yakawa chini ya gharama za Safari!! Unanielewa lakini?
 
Kwani lazima kuiga hata visivyofaa kwakuwa nchi zote za uchumi wa kati zina mashirika ya ndenge,Hiyo akili pumba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kufahamu kwamba mtu Hana akili haiitaji maarifa mengi kugundua, angalia tu jinsi anavyotoa mawazo yake basi unagundua mapema kabisa

Unakiwanda tayari, na malighafi za kiwanda chako yanapatikana Buhigwe huko, Je utakuwa unatembea Kwa miguu kufuata malighafi au itakubidi utafute njia ya usafurishaji Bora?
 
Nasikia lile kabrasha la mapato na matumizi ya ATCL, jamaa analichunga kama mboni ya jicho lake. Eti hataki watu wajue hali ya shirika kibiashara


Lazima mahesabu ya ATCL yachungwe kwani wasipo fanya hivyo ni lazima wataumbuka!
 
Nenda Airport kajithibitishie ndio uje hapa. Hizi issue huwezi kuandika ukiwa umejibanza Kyela huko.

Mtakuja umiza watu bure kumbe hawahusiki; huyo unaemsema wa Kyela ni wako mimi niko Mwandiga.
 
Zinaweza kuwa hazipo airport na zimeruka na abiria wachache hivyo mapato yakawa chini ya gharama za Safari!! Unanielewa lakini?
Mimi ninaandika kwa kuthibitisha kwa macho sio kufuata mkumbo.
 
Mimi ninaandika kwa kuthibitisha kwa macho sio kufuata mkumbo.
Sawa unathibitisha kwa macho. Wacha hizo ndege nyingine, unaweza kutuambia DREAMLINER kokote kama ilikwenda ilikuwa na ujazo wa abiria wangapi?
 
Sawa unathibitisha kwa macho. Wacha hizo ndege nyingine, unaweza kutuambia DREAMLINER kokote kama ilikwenda ilikuwa na ujazo wa abiria wangapi?
Kwanini unachagua lipi niache..Unataka nini kifichike?! Kuwa Q400 zinajaa! Dreamliner zilikuwa zinaenda Mumbai na zinajaa..Effects za pandemic Corona ni global. Acha siasa nyingi.
 
Kwanini unachagua lipi niache..Unataka nini kifichike?! Kuwa Q400 zinajaa! Dreamliner zilikuwa zinaenda Mumbai na zinajaa..Effects za pandemic Corona ni global. Acha siasa nyingi.
Kumbe unajua kuwa adverse effects za pandemic ni global Sasa unabisha nini tunavyo Shauri kuwa hizo order za ndege nyingine zi we cancelled ili kunusuru nchi yetu?
Hata kama adverse effects za covid-19 ni global, the impact of the adverse conditions is different depending on each country’s economic strength.
 
Kwanini unachagua lipi niache..Unataka nini kifichike?! Kuwa Q400 zinajaa! Dreamliner zilikuwa zinaenda Mumbai na zinajaa..Effects za pandemic Corona ni global. Acha siasa nyingi.
Wakati mwingine unaweza kuwa unabishana na hawa vijana wa kiume wanaovaa jeans za kubana na kusuka mitindo ya nywele ya ajabu.
 
Kumbe unajua kuwa adverse effects za pandemic ni global Sasa unabisha nini tunavyo Shauri kuwa hizo order za ndege nyingine zi we cancelled ili kunusuru nchi yetu?
Hata kama adverse effects za covid-19 ni global, the impact of the adverse conditions is different depending on each country’s economic strength.
Ugonjwa ukiondoka maisha yataendelea kama kawaida. Hao wenye mashirika makubwa ya ndege na wao wataziingiza angani.

Corona sio mwisho wa maisha ya mwanadamu, ni changamoto tu za muda. Shirika la ndege lipo katika mikono salama sana, wanaoliendesha ni wazoefu, ondoa shaka.
 
Ugonjwa ukiondoka maisha yataendelea kama kawaida. Hao wenye mashirika makubwa ya ndege na wao wataziingiza angani.

Corona sio mwisho wa maisha ya mwanadamu, ni changamoto tu za muda. Shirika la ndege lipo katika mikono salama sana, wanaoliendesha ni wazoefu, ondoa shaka.
Tumia akili Mungu aliyokupa na usiishi kwa matumaini eti covid -19 ni ya kupita!! Wewe na wakina Chakubanga mnaweka maisha ya waTanzania rehani kwa kuona fedha za watalii ni bora kuliko maisha ya watu! Mtalaaniwa hata hizo fedha zisije kwani serikali zao hazitawaruhusu watu wake waje kwenye nchi iliyozagaa corona virus!!
 
Wapinzani mnapokosa mambo ya msingi ya kujadili mnakuwa vituko sana. kwa hiyo unalinganisha makampuni ya Bakhresa ambayo yanatafuta faida kubwa na taasisi za serikali ambazo ni kwa ajili ya kutoa huduma?
Kwahiyo hizi ndege ni kwa ajili ya kutoa huduma???? We ndo pimbi kweli.
 
Tumia akili Mungu aliyokupa na usiishi kwa matumaini eti covid -19 ni ya kupita!! Wewe na wakina Chakubanga mnaweka maisha ya waTanzania rehani kwa kuona fedha za watalii ni bora kuliko maisha ya watu! Mtalaaniwa hata hizo fedha zisije kwani serikali zao hazitawaruhusu watu wake waje kwenye nchi iliyozagaa corona virus!!
Mkuu Ndinani acha kuwa mwoga, chloroquine inatiba corona, na virusi huyo hana uwezo wa kuishi mahali penye joto lenye kuzidi 25, kuanzia June mpaka August sehemu ya juu ya dunia itakuwa na joto kali, huyu virus atapotea jumla. Anatamba muda huu kwa sababu sehemu nyingi za dunia joto lipo chini.

Kuwekeza kwenye ndege ni kuwekeza kwenye utalii, na pesa ya utalii ndio hiyo inayojenga zahanati, vituo vya afya na kusomesha wanafunzi kuanzia la kwanza mpaka kidato cha sita.Ondoa wasiwasi hakuna suala la laana kwani uwekezaji kwenye ndege unayo tija kwa maisha ya watu wa kila rika.
 
Kumbe unajua kuwa adverse effects za pandemic ni global Sasa unabisha nini tunavyo Shauri kuwa hizo order za ndege nyingine zi we cancelled ili kunusuru nchi yetu?
Hata kama adverse effects za covid-19 ni global, the impact of the adverse conditions is different depending on each country’s economic strength.
Ushauri ni bure, we shauri tu. Sio lazima ufuatwe. Kila ushauri ukifuatwa mwisho mtashauri hata barabara zisijengwe kwasababu kuna Corona. Corona will eventually pass, hio ni fact hata kama mimi na wewe ikituondoa.
 
Nashangaa sana wazawa kuponda jitihada za serikali ya awamu ya 5 kununua ndege. Mbona awamu ya 1,2 na 3 kama sikosei shirika la ndege lilikuwepo??

Kwa uelewa wangu mdogo wa biashara aiku zote mwanzo huwa mgumu. Ndio maana wanaofanikiwa kwnye biashara ni wale wenye roho ngumu na uthubutu.

Sikutarajia kabisa shirika letu la ndege kufufuliwa bada ya mwaka 1 faida ikaja..

Kuendesha kampuni ya ndege siyo biashara rahisi kama kuuza machungwa.

Mwisho: Taifa lolote linaloendelea ili likue na kujiitangaza lazima liwe na shirika lake la ndege ili kujinadi kibiashara..

Nawaza kwa sauti tu..

Sent using Samsung S6 Edge
 
Back
Top Bottom