Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

Wewe kichwa chako kibovu sana! Tukiwa wajinga wataendelea kumega mipaka kama akina Iddi Amini alivyodai kwamba Kagera Salient iko Uganda! Sasa hivi nako Warundi wameumega mpaka wetu! Kamuzu Banda naye aliwahi kudai kuwa Wilaya yote ya Kyela iko Malawi! Kwa hiyo wewe kwa akili yako finyu tukae kimya tu ili "kuogopa malumbano na vita?" Open your mind please!
Mimi nimemshangaa sana TANMO eti anasema haina haja kugombea mipaka kwa vile tuna mambo mengi ya kushughulikia, tukiwa na viongozi watano tu wenye kichwa kama chake nafikiri Mwanza, Shinyanga Kagera zote zingekuwa sehemu ya Uganda, Kilimanjaro, Arusha, Mara zingekuwa za Kenya, Kigoma na Rukwa zingekuwa za Burundi, Mbeya yote wangekuwa wamewapa Malawi kwa huruma yao, Dar, Pwani, Mtwara na Tanga zingekuwa za Zanzibar. Labda Dodoma na Tabora tu ndizo zingebaki.
 
Mkuu labda hao kina Idd Amini ndio wajinga, labda binadamu wote ni wajinga.., hivi unajua ni pesa kiasi gani inatumika kwenye majeshi dunia yote?, hivi unajua ni madhara kiasi gani yanatokana na vita, na ni nini hasa huwa sababu ya kugombana zaidi ya tamaa na upuuzi wa mtu mmoja ?Hivi unajua binadamu tungekuwa na busara, upendo na sio ubinafsi na tamaa tungeweza kutumia malighafi za dunia yote tukala na kusaza na kila mtu akawa na maisha mazuri...Najua sometimes jeshi ni la muhimu ili kuweka amani na kuepukana na vichaa, lakini kama binadamu tungekuwa na busara labda kungekuwa na Jeshi kubwa la dunia (United Nations) ambalo lingekuwa kama kiranja wa dunia kwa kumfunza adabu yeyote anaekiuka maadili... au maybe LOVE ndio njia pekee ya kuepuka vitaMaybe dunia nzima na watu wote ni wajinga na tunafight the wrong war between people badala ya kufight against the environment and betternment ya kila mtu hivi hii mipaka ni nani aliyoiweka na kwanini mtu yoyote asiweze kwenda popote pale kutafuta maisha so long wenyeji wa hapo wanamkaribisha.
Tatizo lako unaongelea vitu vya kufikirika ndio maana unadai eti "kungekuwa na ..........! Hizo ndoto zako hazitatimia milele na tangu dunia hii iumbwe imekuwa na migogoro mfululizo! As long as resources za dunia zitaendelea kuwa depleted conflicts zitazidi kuibuka, esp kuhusu mipaka! Just imagine suala ambalo halina ubishi katika mpaka wa TZ/Burundi, jamaa wanazidi kujisogeza tu! Kwa hiyo sio kwamba watu wanataka migogoro ila uhaba wa resources ndio tatizo! Na hiyo UN unayoiamini na yenyewe inaongozwa na watu wenye kuwakilisha maslahi yao binafsi!Kwa ujumla mlinzi wa mipaka yetu ni sisi wenyewe, hakuna mtu atakayetuwezesha kuilinda mipaka hiyo!
 
Naona hata aibu ku argue na mtu kama wewe usiyejua maana ya mipaka ya nchi, taifa na utaifa
siku moja utasema haina maana kugombea mlima kilimanjaro tuwaachie kenya si limlima tu watalipeleka wapi hata ukiwa Moshi mjini unauona, pole sana.
Je na mimi kwenye post yangu No.25...?, Sababu mimi nilivyomuelewa the all notion ya kupigana vita kwa kugombania vitu ni ujinga na ubinafsi na upuuzi wa binadamu ambapo huenda wote tungeweza kushare resources za dunia bila matatizo... (Binadamu ndio adui mkubwa wa dunia, ndio destroyer mkubwa).., After all hii mipaka yote ni man made (MAN THE DESTROYER..)
 
Mkuu labda hao kina Idd Amini ndio wajinga, labda binadamu wote ni wajinga.., hivi unajua ni pesa kiasi gani inatumika kwenye majeshi dunia yote?, hivi unajua ni madhara kiasi gani yanatokana na vita, na ni nini hasa huwa sababu ya kugombana zaidi ya tamaa na upuuzi wa mtu mmoja ?

Hivi unajua binadamu tungekuwa na busara, upendo na sio ubinafsi na tamaa tungeweza kutumia malighafi za dunia yote tukala na kusaza na kila mtu akawa na maisha mazuri...

Najua sometimes jeshi ni la muhimu ili kuweka amani na kuepukana na vichaa, lakini kama binadamu tungekuwa na busara labda kungekuwa na Jeshi kubwa la dunia (United Nations) ambalo lingekuwa kama kiranja wa dunia kwa kumfunza adabu yeyote anaekiuka maadili... au maybe LOVE ndio njia pekee ya kuepuka vita

Maybe dunia nzima na watu wote ni wajinga na tunafight the wrong war between people badala ya kufight against the environment and betternment ya kila mtu hivi hii mipaka ni nani aliyoiweka na kwanini mtu yoyote asiweze kwenda popote pale kutafuta maisha so long wenyeji wa hapo wanamkaribisha.
Maelezo yako yote yanaonyesha tatizo lako ni kuogopa vita tu lets say wamalawi wakupe bure utakubali.
 
Tatizo lako unaongelea vitu vya kufikirika ndio maana unadai eti "kungekuwa na , Hizo ndoto zako hazitatimia milele na tangu dunia hii iumbwe imekuwa na migogoro mfululizo! ..........!
Kufikirika or not does not change the fact of the matter..., wala mimi sioti mkuu ninajua kabisa kwamba duniani conflicts hazitaisha ila ukweli unabaki kuwa kwamba sababu ya tamaa za binadamu wote me included kungekuwa na better way of sharing resources, sababu dunia ina resources za kutosha na huwezi wewe peke yako ukawa nacho ukategemea mtu ambae hana atakuangalia tu.., bali atakuja na kujinyakulia... Therefore mkuu the best alternative sio walionacho kungangania na kulinda, bali ni kuhakikisha ambao hawana nao wanachukua piece of the cake (though I know that will never happen sababu ya ubinafsi)

And Mkuu mark my words.. Vita kubwa itakayokuja Africa ni ya kugombania maji (sidhani kama Egypt na Sudan) watakubali wafe kwa kukosa maji au ukame just because Tanzania wanafanya Irrigation kwa kutumia ziwa Victoria.. Kwahiyo mkuu the better way kuepuka hii potential conflict maybe ni kuangalia environmental impacts au kuanza (rain harvesting), Sababu Mkuu kama ni choice ya kufa kwa ukame hakuna vifaru vitakaomzuia mtu wa Somalia, au Sudan au Egpyt kuja kunywa maji ya ziwa victoria
 
Hako kaziwa NYASA kenyewe hakana faida yoyote ya kiuchumi kwa taifa letu zaidi ya kutujazia nafasi tu. Waache wamalawi walichukue tu, sisi tuna fursa nyingi sana za kiuchumi mfano Ziwa Victoria, Mlima Kilimanjaro, Serengeti n.k. Tusijaribu kushawishi jeshi kuingia vitani, lina kazi nyingi nyingine za kufanya kwa taifa letu.
Kwani kazi kuu ya jeshi ni nini kuzalisha mboga mboga.
 
Maelezo yako yote yanaonyesha tatizo lako ni kuogopa vita tu lets say wamalawi wakupe bure utakubali.
Mkuu you dont get my point kabisa, mimi sisemi kwamba self defense ni ujinga wala sisemi kwamba Wamalawi wapo sawa? Hapana hata mtu akija nyumbani kwako lazima ujitetee na kulinda mali na uzima wako..., Lakini point yangu ni kwamba Ubinafsi na kutokuweza kwa Binadamu kuishi pamoja ndio sababu ya haya matatizo yote hata wadudu sisimizi wanaweza kuishi pamoja na kufight against the common enemy and maybe sisi binadamu tungekuwa better off badala ya kupigana na binadamu mwenzetu tungekuwa tunapigana na mazingira ili tuweze ku-better off maisha yetu
 
Labda wanalindwa na hawa hapa:

Ruhanjo , Ex-TISS Bosi Mr. EM, Waziri Mkulo ............!

Vipi Chief haya mambo unahadidhiwa au umo...mbona unatoa reference ya ex.spy late E.Mzenna ...huyu alishakufa na kusahauliwa zamani....alikuwa chief miaka ya mwanzoni kabisa baada ya uhuru akafuatiwa na kina Marehemu Gama,ndio wakaja hawa kina Hassy Kitine ..marehemu Kombe Imran....ndio unakuja wa enzi za sasa kina Cornel Apson M,...na wa sasa......
Enzi ya Imran na miaka miwili ya mwanzo ya Apson ..kabla ya sheria mpya ya usalama wa Taifa.......wote walikuwa wana operate undercover na ilikuwa mwiko kujulikana na hata uteuzi wa viongozi wao hakuwa for public consumption....hata wakiwa kwenye hafla walikuwa hawatajwi..tofauti na sasa ambako sioo ajabu hata wameaanza kuongea na vyombo vya habari ..wanapigwa picha na kuwekewa captions....
 
Tatizo lako unaongelea vitu vya kufikirika ndio maana unadai eti "kungekuwa na ..........! Hizo ndoto zako hazitatimia milele na tangu dunia hii iumbwe imekuwa na migogoro mfululizo! As long as resources za dunia zitaendelea kuwa depleted conflicts zitazidi kuibuka, esp kuhusu mipaka! Just imagine suala ambalo halina ubishi katika mpaka wa TZ/Burundi, jamaa wanazidi kujisogeza tu! Kwa hiyo sio kwamba watu wanataka migogoro ila uhaba wa resources ndio tatizo! Na hiyo UN unayoiamini na yenyewe inaongozwa na watu wenye kuwakilisha maslahi yao binafsi!Kwa ujumla mlinzi wa mipaka yetu ni sisi wenyewe, hakuna mtu atakayetuwezesha kuilinda mipaka hiyo!


wamalawi wamepania kuchukua lake nyasa
sasa kwa taarifa zao wajue wanacheza na moto
hawatujui watanzania tulivyo wabaya tukichokozwa
ebu tuwaache tuone wanataka nini,kwa vyovyote ipo siku wataivamia kyela,mtaona wenyewe!
 
Mkuu you dont get my point kabisa, mimi sisemi kwamba self defense ni ujinga wala sisemi kwamba Wamalawi wapo sawa? Hapana hata mtu akija nyumbani kwako lazima ujitetee na kulinda mali na uzima wako..., Lakini point yangu ni kwamba Ubinafsi na kutokuweza kwa Binadamu kuishi pamoja ndio sababu ya haya matatizo yote hata wadudu sisimizi wanaweza kuishi pamoja na kufight against the common enemy and maybe sisi binadamu tungekuwa better off badala ya kupigana na binadamu mwenzetu tungekuwa tunapigana na mazingira ili tuweze ku-better off maisha yetu
Unajua unatoa maelezo ya jumla mno kuhusu conflics za dunia ambazo zipo na hazitakwisha hata kama dunia nzima itakuwa na jeshi moja, jaribu ku site mfano wa ziwa Nyasa tunaloliongelea tufanye nini tuache tu wamalawi wali hodhi kwa vile watu wa sehemu hizo wanaishi vizuri. Conflicts zinatofautiana sources zake na hata kuzi solve kunatofautiana.
 
Tuwekee hiyo ramani hapa tuone kama vipi tumjulishe Jakaya awasiliane na Jenerali Devis Mamunyange aandae vijana
 
Unajua unatoa maelezo ya jumla mno kuhusu conflics za dunia ambazo zipo na hazitakwisha hata kama dunia nzima itakuwa na jeshi moja, jaribu ku site mfano wa ziwa Nyasa tunaloliongelea tufanye nini tuache tu wamalawi wali hodhi kwa vile watu wa sehemu hizo wanaishi vizuri.
Hivi suala la "kuishi vizuri" linaingiaje linaingiaje kuhusu mpaka? Kwani Iddi Amini alipoanzisha vita tulikuwa tunaishi na Waganda vibaya? Huu mpaka kati ya Tz vs Malawi umekuwa siku zote katikati ya maji, hakuna haja ya kuendeleza chokochoko zisizo na msingi!
 
Unajua unatoa maelezo ya jumla mno kuhusu conflics za dunia ambazo zipo na hazitakwisha hata kama dunia nzima itakuwa na jeshi moja, jaribu ku site mfano wa ziwa Nyasa tunaloliongelea tufanye nini tuache tu wamalawi wali hodhi kwa vile watu wa sehemu hizo wanaishi vizuri. Conflicts zinatofautiana sources zake na hata kuzi solve kunatofautiana.
Kuhusu suala la Malawi hatuna jinsi wakituvamia lazima tupigane kujilinda sisi na mali yetu wala mimi hilo sibishi, ninachoongela mimi ni kuhusu maisha ya binadamu na kama vita ndio njia nzuri ya kusolve matatizo yetu, na kama binadamu wote ni wajinga badala ya kuungana na kupigana na mazingira tunapigana wenyewe kwa wenyewe.. na hili ni kuanzia enzi za kina Hitler mpaka hapo watakapokuja wajukuu zetu, itakuwa ni same story.

Hivyo basi vichaa kama kina Hitler wapo miaka yote na inabidi tujilinde na hao wapuuzi je sio efficient kama tungekuwa na jeshi moja kubwa la dunia (lika-act kama peace keepers) kuliko hizi pesa nyingi zinazotumika kwenye majeshi, ya kila nchi? (They have got Money for War but they cant Feed the Poor - Tu Pac)..

Tena mkuu hiki kipindi cha Nuclear Age.., ambapo vita vinaweza kupiganwa kwa technology na makombora ya mbali mwisho wa siku kwenye vita hakuna mshindi bali loosers, ni ukweli usiopingika shida nyingi za hii dunia zinaletwa na upumbavu wa mwanadamu
 
Kuhusu suala la Malawi hatuna jinsi wakituvamia lazima tupigane kujilinda sisi na mali yetu wala mimi hilo sibishi, ninachoongela mimi ni kuhusu maisha ya binadamu na kama vita ndio njia nzuri ya kusolve matatizo yetu, na kama binadamu wote ni wajinga badala ya kuungana na kupigana na mazingira tunapigana wenyewe kwa wenyewe.. na hili ni kuanzia enzi za kina Hitler mpaka hapo watakapokuja wajukuu zetu, itakuwa ni same story.

Hivyo basi vichaa kama kina Hitler wapo miaka yote na inabidi tujilinde na hao wapuuzi je sio efficient kama tungekuwa na jeshi moja kubwa la dunia (lika-act kama peace keepers) kuliko hizi pesa nyingi zinazotumika kwenye majeshi, ya kila nchi? (They have got Money for War but they cant Feed the Poor - Tu Pac)..

Tena mkuu hiki kipindi cha Nuclear Age.., ambapo vita vinaweza kupiganwa kwa technology na makombora ya mbali mwisho wa siku kwenye vita hakuna mshindi bali loosers, ni ukweli usiopingika shida nyingi za hii dunia zinaletwa na upumbavu wa mwanadamu
Nchi za NATO zina jeshi lao la kujihami lakini sidhani kama ndio suluhisho.
Sidhani kama kuna mtu anapenda vita, vita haiji in a single night inatokea pale njia za kidiplomasia zinaposhindikana, nafikiri hadi sasa kwa suala hili hizo njia zingine hazijashindikana ila kama zikishindikana hapo ndipo uwezekano wa kutokea vita unapokuja na huwezi kuikimbia vinginevyo urudi tena kwenye mazungumzo au ukubali yaishe kama wengine wanavyo suggest eti kaziwa kenyewe hakazalishi kitu(sizitaki mbichi hizi).
 
Nchi za NATO zina jeshi lao la kujihami lakini sidhani kama ndio suluhisho.
Sidhani kama kuna mtu anapenda vita, vita haiji in a single night inatokea pale njia za kidiplomasia zinaposhindikana, nafikiri hadi sasa kwa suala hili hizo njia zingine hazijashindikana ila kama zikishindikana hapo ndipo uwezekano wa kutokea vita unapokuja na huwezi kuikimbia vinginevyo urudi tena kwenye mazungumzo au ukubali yaishe kama wengine wanavyo suggest eti kaziwa kenyewe hakazalishi kitu(sizitaki mbichi hizi).
Kubali yaishe sio suluhisho, na hawa watu vichaa wakidhani kwamba wewe ni weak wanaweza wakachukua kila kitu, kwahiyo kujilinda na kupigania chako ni muhimu sana..

Issue nyingine NATO; AU na UNITED NATIONS zote hazina meno na zinaendeshwa kisiasa na zinaendeshwa na wachache badili ya kuwa mtetezi wa haki na wanyonge wewe mpaka watu wanauana Rwanda Yogoslavia hawa jamaa walikuwa wapi.., ingebidi wawe kama fimbo ya dunia chokochoko yoyote wawe tayari kuingilia na kuisimamisha...

Vita vingi Africa ni vya tamaa (Congo, Sierra Leone, Angola n.k.) na hivi vya mipaka mfano kipindi iraq ilivyotaka kuichukua Kuwait inabidi mkono wa Dunia uingilie kati (ingawa kipindi kile nadhani America iliingia sababu ya kimaslahi zaidi). Na tukija kwenye suala la resources inabidi watu tuwe pro-active hususan sa hizi haya mambo ya ukame na mazingira sababu nchi jirani pakiwa na ukame na njaa na wewe umebarikiwa na maji ya kumwaga believe me haitakuwa Nyasa pekee huenda hata Sudan akadai ana hisa kwenye lake Victoria... Kwahiyo mkuu sio kwamba nabisha vita visipiganwe lakini point yangu hulka ya binadamu ndio inapelekea matatizo mengine yatafutiwe dawa ngumu.., kwenye kila tatizo kuna uzembe au uchizi wa binadamu fulani uliopelekea huo upuuzi
 
Mimi nimemshangaa sana TANMO eti anasema haina haja kugombea mipaka kwa vile tuna mambo mengi ya kushughulikia, tukiwa na viongozi watano tu wenye kichwa kama chake nafikiri Mwanza, Shinyanga Kagera zote zingekuwa sehemu ya Uganda, Kilimanjaro, Arusha, Mara zingekuwa za Kenya, Kigoma na Rukwa zingekuwa za Burundi, Mbeya yote wangekuwa wamewapa Malawi kwa huruma yao, Dar, Pwani, Mtwara na Tanga zingekuwa za Zanzibar. Labda Dodoma na Tabora tu ndizo zingebaki.
huyu dogo ni kilaza sana
 
kuingia vitani hata kwa ekari moja ni muhimu kabisa hata mimi nitachukua mtutu na kwenda vitani. ile bandari ya mbambabay kule mbinga inafanya nini kama ziwa lile ni la wamalawi? na nasikia membe aliongea kule malawi kuwa ziwa lile ni la wamalawi....membe ameuza nchi wajameni...
 
Back
Top Bottom