Ukweli kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi

kama serikali imelitoa hilo ziwa kwa wamalawi pasipo kuhusisha maoni ya watanzania, basi serikali inalo la kujibu. Huwezi kuwaambia wananchi waliokaa pale miaka nenda rudi eti, hayo maji usiyaguse ni ya wamalawi hayo. Hili suala ni lazima serikali ilitolee kauli haliwezi kuwa kimya kimya milele!
usijeshangaa watu washakula 10% maana nchi hii shamba la bibi
 
Nimejalibu kuchunguza ramani ya mtandaoni ya Google ( Google map) inaonyesha sehemu yote ya Maji ya ziwa Nyasa iko Malawi!!

081e7220074b33d625d9bae49e4d53af.jpg


Naombeni kujua uhalari wa Tanzania kumiliki sehemu ya ziwa Nyasa uko wapi!?!?

12c12fe82c536bb355825727e62adf7b.jpg
 
Kwa kweli nchi yetu ina mzaha na raslimali.Sisi wananchi kwa kutumia uwakilishi wetu bungeni ni kwa nini tusihoji hili suala?

Inatia kinyaa kuona raslimali tunakalia huku wenzetu hao wakiona uchungu na kutamani hata kile ambacho si chao kama hao Wamalawi.Ni kwa nini na sisi tusiwe na uchungu na nchi yetu?

MUngu ibariki Tanzania
Amen Ra
 
Wewe mpumbavu kabisa hata kiswahili chako ni cha kinyasa.
Nakuelewa hasira yako mimi pia ningetamani kumjibu hivyo bali hekima na busara ni muhimu sana.
Wanacho gombania wamalawi ni kitu kisicho wezekana hata kidogo! Ni heri wakae chini wajipange na sisi ili tuweze kufaidika wote katika hiyo rasilimali tuliyopewa na Mola!
 
Back
Top Bottom