Mpita Njia
Platinum Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,189
Hili ndilo la kujadailiukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
Hili ndilo la kujadailiukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
Vp mishahara ya sector zingine kama engineering and technology, law, humanities e.t.c
ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
Sector and Other sectors as of 2011/2012
TGHS B1 - 472,000/=
TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
TGHS D1 - 792,200/=
TGTS B1 - 244,400/=
TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
TGTS D1 - 469,200/=
TGS B1 - 221,600/=
TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
Asalaam Wana-JF,
Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!
Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).
NB:
Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".
Thanks!
NB:
Sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".
Thanks!
Ujanjaujanja unahusika kwa karibu. Formulae ni simple 'they pretend to pay you, you pretend to work'
Madaktari oyeeeh!
Tunashukuru kwa kuleta ukweli huu maana yule aliyeleta zile taarifa za mwanzo alidanganya kupita kiasi
Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
Sector and Other sectors as of 2011/2012
TGHS B1 - 472,000/=
TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
TGHS D1 - 792,200/=
TGTS B1 - 244,400/=
TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
TGTS D1 - 469,200/=
TGS B1 - 221,600/=
TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
Kwa upande wa sector ya afya, salary scale hizi hasa kwa degree ni kwa nursing, pharmacy, haematology na shahada nyingine za miaka minne. Kwa dakatari anayeanza kazi scale yake ni TGHS E1 ambayo ni laki tisa ushee kama sijakosea, hivyo mtoa mada scale ya daktari hapo haipo,
Therefore ?
Mtu safi hafichi wala hajifichi. Watanzania tumechoshwa na Confidentialities. Watumishi wa serikali kuanzia raisi hadi msafishaji choo, wote wanalipwa kwa pesa za walipa kodi na vyanzo vyengine kutoka rasilimali zetu, iweje leo mlipa kodi afichwe kujua/kuona mishahara anayowalipa? Nikiingia kwenye website yoyote ya nchi makini, masuala ya mishahara na marupurupu yamewekwa hadharani kiasi kwamba hata mimi nisiyekuwa raia wa nchi hiyo ninayaona, Tanzania kulikoni na SIRI hizi zisizokwishwa?NB:
Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".Thanks!