MpiganiaUhuru
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 777
- 911
Asalaam Wana-JF,
Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!
Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).
NB:
Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".
Thanks!
Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!
Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).
NB:
Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".
Thanks!