Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Kinachonishangaza mimi ni kuwa mwl amemfundisha mpk rais lkn anadharulika. Tanzania bwana yote yanawezekana.
Sikiliza nikwambie MWALIMU ni daraja wanafunzi humkanyaga mgongoni ili kuvuka 'mto wa matatizo' na kwenda zao, daraja linabaki palepale kwenye mto wa matatizo. Daraja la mto ruvu halistahili kwenda dar kusafisha macho, linatakiwa tu kupitisha magari na abiria ilhali lenyewe hubakia palepale! Ndo ticheri huyo!?