udogo wa mishahara ya kada nyingine usitumike kupuuza madai ya msingi ya watu wa AFYA.kilio chao sio udogo wa mishahara ya kada nyingine, wameongelea yao. Katika madai yao hawajasema mishahara ya walimu au maafisa ugani ni mikubwa. Wanachodai hela wanayolipwa haiwatoshi/hailingani na kazi pamoja na hatari wanazokutana nazo.hizo taaluma nyingine nao kama wanaona wanalipwa kiduchu watoe madai yao.ila sio sawa kabisa kusema degree ualimu wanalipwa hivi na diploma afya wanalipwa vile, kwa hiyo sio haki kwao kudai nyongeza.kuna ukweli mmoja ambao najua wengi hawatopenda kuubali.WATU WENGI KAMA SIO WOTE WANAOSOMA AU WALIOSOMEA KADA ZA AFYA WALIPENDA/NI NDOTO ZAO KUSOMA TAAALUMA HIZO TANGU WAKIWA WATOTO,SIO LAST OPTION,HAWAENDI HUKO KWA KUKOSA MBADALA,KITU AMBACHO NI TOFAUTI KABISA NA UALIMU NYAKATI HIZI,WATU WANASOMA KWA SABABU HAWANA JINSI,NDIO YENYE QUALIFICATION CRITERIA ZA CHINI,hawana mpango na taalum hiyo,kwa hiyo hata mapambano ya kuboreshewa hali zao wanayafanya kwa usanii,ili madocto wanafanya kweli.