Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Salaam wadau.
Naomba kujuzwa na yeyote kuhusiana na hizi Chipset za MediaTek, haswa ubora wake na kwa nini bidhaa zilizo na Chipset hii zinadharaulika, je ni kweli MediaTek ni hovyo au ni maoni tu ya mkumbo? Mfano simu za Tecno,Itel na Infinix ni mbovu na kiwango chake ni cha chini sababu ya MediaTek au kuna sababu nyingine?
Mtaalam Chief-Mkwawa tunaomba mchango wako tafadhali.
Naomba kujuzwa na yeyote kuhusiana na hizi Chipset za MediaTek, haswa ubora wake na kwa nini bidhaa zilizo na Chipset hii zinadharaulika, je ni kweli MediaTek ni hovyo au ni maoni tu ya mkumbo? Mfano simu za Tecno,Itel na Infinix ni mbovu na kiwango chake ni cha chini sababu ya MediaTek au kuna sababu nyingine?
Mtaalam Chief-Mkwawa tunaomba mchango wako tafadhali.