Ukweli kuhusu MediaTek

Chief, Redmi note 12 kwa 550K ni value for money? Vp camera yake kwa ubora wa picha? Na workability yake
Sio mkuu, Tigo walikua wanaiuza kama 430K hivi. Pia ni simu nzuri ya kawaida, camera pia ni Ya kawaida ila ukiweka Gcam quality inakua nzuri kidogo.
 
Sio mkuu, Tigo walikua wanaiuza kama 430K hivi. Pia ni simu nzuri ya kawaida, camera pia ni Ya kawaida ila ukiweka Gcam quality inakua nzuri kidogo.
Ahsante sana mkuu, kwa bajeti hiyo unashauri simu gani
 
Ahsante sana mkuu, kwa bajeti hiyo unashauri simu gani
Hio redmi 12 kwa 430k sio mbaya mkuu.

Kwa around 500-600K labda simu za kuagiza nje kama redmi note 12 turbo ndio itakua much better,

Kwa hapa kwetu step up baada ya hio labda Samsung A34 ambayo bei zake ni around 600k.
 
Hio redmi 12 kwa 430k sio mbaya mkuu.

Kwa around 500-600K labda simu za kuagiza nje kama redmi note 12 turbo ndio itakua much better,

Kwa hapa kwetu step up baada ya hio labda Samsung A34 ambayo bei zake ni around 600k.
Ahdante sana mkuu
 
Vp xperia 1 mark two?
Xperia 1 ni kubwa zaidi ya 5 II kimuonekano, ila battery ni lile lile so haikai na chaji compare na 5II, ukitoa chaji mambo mengine kama Camera, Display, wireless charging itakua vizuri zaidi. Angalia mwenyewe priority zako.

Sema naona Online watu wana mod wanatoa hio wireless charging na kufit battery kubwa la 5000mah kutoka Xperia mpya, lina fit, una calibrate na simu inakaa na chaji zaidi.
 
Xperia 1 ni kubwa zaidi ya 5 II kimuonekano, ila battery ni lile lile so haikai na chaji compare na 5II, ukitoa chaji mambo mengine kama Camera, Display, wireless charging itakua vizuri zaidi. Angalia mwenyewe priority zako.

Sema naona Online watu wana mod wanatoa hio wireless charging na kufit battery kubwa la 5000mah kutoka Xperia mpya, lina fit, una calibrate na simu inakaa na chaji zaidi.
Sema naona Garena watu wana sema hizi simu zinamatatizo ya greenline
 
Sema naona Garena watu wana sema hizi simu zinamatatizo ya greenline
Ndio mkuu, ila ni karibia oled zote za kipindi hiki, Kuanzia iphone za mwanzo kama X, hizi Xperia, Samsung Around S10 na S20 etc.

Pia hizi sababu ya Oled kioo kikipasuka gharama ni kubwa kushinda bei utakayonunulia hio simu.

So risk za kununua Xperia ni kama Wanavyoita watu iphone za Makumbusho, Samsung za Zahor matelefon etc. Una risk kupata kitu kibovu ili kama kikiwa kizima upate Camera, Display na perfomance ya maana.

Cha muhimu mkuu ni warranty hata ya miezi kadhaa tu, kama mwenye duka yupo tayari kuwa responsible incase simu mbovu unanunua tu.

Otherwise kama unaogopa risk unarudi kwenye simu mpya kama Hizi redmi na Galaxy A series.
 
Ndio mkuu, ila ni karibia oled zote za kipindi hiki, Kuanzia iphone za mwanzo kama X, hizi Xperia, Samsung Around S10 na S20 etc.

Pia hizi sababu ya Oled kioo kikipasuka gharama ni kubwa kushinda bei utakayonunulia hio simu.

So risk za kununua Xperia ni kama Wanavyoita watu iphone za Makumbusho, Samsung za Zahor matelefon etc. Una risk kupata kitu kibovu ili kama kikiwa kizima upate Camera, Display na perfomance ya maana.

Cha muhimu mkuu ni warranty hata ya miezi kadhaa tu, kama mwenye duka yupo tayari kuwa responsible incase simu mbovu unanunua tu.

Otherwise kama unaogopa risk unarudi kwenye simu mpya kama Hizi redmi na Galaxy A series.
A series nzur nikuanzia A34, A15, au A24 sema ni garama sanaa lakin below apo samsung wanapiga watu tu,
Labta redmi kidogo, pixels hapana nazo labda kuanzia 6 ivi
 
A series nzur nikuanzia A34, A15, au A24 sema ni garama sanaa lakin below apo samsung wanapiga watu tu,
Labta redmi kidogo, pixels hapana nazo labda kuanzia 6 ivi
Pixel zinaingia kundi la refurbished, nazo zina matatizo kama refurbished nyengine hasa sudden death ya motherboard.

Hata A14 5G ilikua nzuri, kifupi Samsung inabidi uwe makini kwenye midrange zao, na hata redmi nao wanafuata mkumbo huo huo tofauti na zamani.
 
Pixel zinaingia kundi la refurbished, nazo zina matatizo kama refurbished nyengine hasa sudden death ya motherboard.

Hata A14 5G ilikua nzuri, kifupi Samsung inabidi uwe makini kwenye midrange zao, na hata redmi nao wanafuata mkumbo huo huo tofauti na zamani.
Naona kama mambo wanayaribu wenyewe tu,,
 
Back
Top Bottom