Wazalendo na wakuu mlioko juu kabisa

Wazalendo na wakuu mlioko juu kabisa

Guru Dev

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2025
Posts
487
Reaction score
678
Nchi ikiwa imegawanyika..na raia wengi hawapendi mambo yanavyokwenda..na.wanakandamizwa..je? Haiwezi kua mwanya mzuri kwa maadui wa nje kupitia Humohumo kupitia kwa wananchi kuja kuingia nchi yetu kiulainiii kabisa huku wakipata sapoti ya wananchi??

Wa Tanzania hatuna mambo mengi..wala hawandamani kudai wapewe hela au bei za vyakula kua juu...wala hawana wivu mbaya na maendeleo ya watu..
ILA

UKANDAMIZAJI NDIO UMEFIKISHA HAPA

..Huko juu hivi hakuna watu kabisa wa kukaa kamati iliyotimia ili yafanyike mambo ya renconsiliation ili watu mioyo ipone..tujifunze kwenye october 29..kwamba yule joka aliyeyalala kwa waoga ameamka tena amechafukwa haswa..

Mbinu zibadilishwe za ku deal na hizi mambo..

MZEE KIKWETE KWANINI MBINU ZAKO ZA UONGOZI USISHAURI ZAMIKATUMIKA HAPA???

MAana baada ya magufuli kua madarani na life kua tight..ikaonekana bora utawala wa kikwete upande wa uchumi..lakini uwajibikaji ukawa bora upande wa magufuli...

Lakini UTEKAJI kwa Kikwete ni kama haukuepo..mbali na kuwepo scandal za epa. Escrow..lakini ilionekana sii big deal kwakua amani ipo na mkate wa kila siku upo

Hivyo Wakuu msifikiri kwamba watz wanahitaji mambo mengi

Fanyeni namna kabla wakina kainerugaba na kagame hawajasema ziwa victoria..ziwa tanganyika na bahari ya hindi ni yao ila tu walikuaga wamesahau
 
Kwa jinsi nilivyo desperate na kuondoa huu utawala wa kishetani, hao maadui waje tu na nitawaunga mkono.
Hao ndio wabaya zaidi..ila itaonekana ndio option bora kwa muda mfupi....ila kwa muda mrefu ni mateso
 
nchi ikiwa imegawanyika..na raia wengi hawapendi mambo yanavyokwenda..na.wanakandamizwa..je? Haiwezi kua mwanya mzuri kwa maadui wa nje kupitia Humohumo kupitia kwa wananchi kuja kuingia nchi yetu kiulainiii kabisa huku wakipata sapoti ya wananchi??

Wa Tanzania hatuna mambo mengi..wala hawandamani kudai wapewe hela au bei za vyakula kua juu...wala hawana wivu mbaya na maendeleo ya watu..
ILA
UKANDAMIZAJI NDIO UMEFIKISHA HAPA

..HUKO JUU HIVI HAKUNA WATU KABISA WA KUKAA KAMATI ILIYOTIMIA ILI YAFANYIKE MAMBO YA RENCONSILIATION ILI WATU MIOYO IPONE..TUJIFUNZE KWENYE OCTOBER 29..KWAMBA YULE JOKA ALIYEYALALA KWA WAOGA AMEAMKA TENA AMECHAFUKWA HASWA..
MBINU ZIBADILISHWE ZA KU DEAL NA HIZI MAMBO..

MZEE KIKWETE KWANINI MBINU ZAKO ZA UONGOZI USISHAURI ZAMIKATUMIKA HAPA???

MAana baada ya magufuli kua madarani na life kua tight..ikaonekana bora utawala wa kikwete upande wa uchumi..lakini uwajibikaji ukawa bora upande wa magufuli...

Lakini UTEKAJI kwa kikwete ni kama haukuepo..mbali na kuwepo scandal za epa. Escrow..lakini ilionekana sii big deal kwakua amani ipo na mkate wa kila siku upo

HIvyo Wakuu msifikiri kwamba watz wanahitaji mambo mengi

FANYENI NAMNA KABLA WAKINA KAINERUGABA NA KAGAME HAWAJASEMA ZIWA VICTORIA..ZIWA TANGANYIKA NA BAHARI YA HINDI NI YAO ILA TU WALIKUAGA WAMESAHAU
Kikwete ndiye kashauri kilichotokea kitokee.

Atamalizaje tatizo wakati yeye ndiye tatizo?

Huelewi wapi?
 
nchi ikiwa imegawanyika..na raia wengi hawapendi mambo yanavyokwenda..na.wanakandamizwa..je? Haiwezi kua mwanya mzuri kwa maadui wa nje kupitia Humohumo kupitia kwa wananchi kuja kuingia nchi yetu kiulainiii kabisa huku wakipata sapoti ya wananchi??

Wa Tanzania hatuna mambo mengi..wala hawandamani kudai wapewe hela au bei za vyakula kua juu...wala hawana wivu mbaya na maendeleo ya watu..
ILA
UKANDAMIZAJI NDIO UMEFIKISHA HAPA

..HUKO JUU HIVI HAKUNA WATU KABISA WA KUKAA KAMATI ILIYOTIMIA ILI YAFANYIKE MAMBO YA RENCONSILIATION ILI WATU MIOYO IPONE..TUJIFUNZE KWENYE OCTOBER 29..KWAMBA YULE JOKA ALIYEYALALA KWA WAOGA AMEAMKA TENA AMECHAFUKWA HASWA..
MBINU ZIBADILISHWE ZA KU DEAL NA HIZI MAMBO..

MZEE KIKWETE KWANINI MBINU ZAKO ZA UONGOZI USISHAURI ZAMIKATUMIKA HAPA???

MAana baada ya magufuli kua madarani na life kua tight..ikaonekana bora utawala wa kikwete upande wa uchumi..lakini uwajibikaji ukawa bora upande wa magufuli...

Lakini UTEKAJI kwa kikwete ni kama haukuepo..mbali na kuwepo scandal za epa. Escrow..lakini ilionekana sii big deal kwakua amani ipo na mkate wa kila siku upo

HIvyo Wakuu msifikiri kwamba watz wanahitaji mambo mengi

FANYENI NAMNA KABLA WAKINA KAINERUGABA NA KAGAME HAWAJASEMA ZIWA VICTORIA..ZIWA TANGANYIKA NA BAHARI YA HINDI NI YAO ILA TU WALIKUAGA WAMESAHAU
Nchi ikigawanyika, ukishambuliwa huwezi kuwa na nguvu.
 
Itakuwa hamjui vizuri mzee wa msoga.
Simjui vizuri vipi?

Unategemea vipi Kikwete awe sehemu ya kumaliza tatizo alilolianzisha yeye mwenyewe?

Kwa nini unafikiri Kikwete anaweza kuwa sehemu ya kumaliza tatizo badala ya kuelewa kuwa Kikwete ni sehemu kubwa ya tatizo?

Albert Einstein alisema kuwa

"We cannot solve our problems with the same kind of thinking we used when we created them".

Hatuwezi kulimaliza tatizo kwa fikra zilezile zilizotumika kulitengeneza.

Unaelewa maana yake hapa?

Hizo fikra za kusema "kuna mzee mmoja ana busara atatumalizia matatizo yetu" ndiyo zimempa mtu mmoja nguvu kubwa sana akaharibu nchi.

Sasa kwa nini unatumia fikra hizo hizo zilizotufikisha hapa kumaliza hili tatizo?
 
Kikwete ndiye kashauri kilichotokea kitokee.

Atamalizaje tatizo wakati yeye ndiye tatizo?

Huelewi wapi?
Kikwete na Shetani moja shauri la samia linaitwa

Haji Omar Kheir

Hilo zee ni FIRAJI, KATILI, UAJI tangu likiwa Zanzibar.

Nadhani ndio.maana hata vikosi vya wauaji vilitoka Zanzibar.
 
Simjui vizuri vipi?

Unategemea vipi Kikwete awe sehemu ya kumaliza tatizo alilolianzisha yeye mwenyewe?

Kwa nini unafikiri Kikwete anaweza kuwa sehemu ya kumaliza tatizo badala ya kuelewa kuwa Kikwete ni sehemu kubwa ya tatizo?

Albert Einstein alisema kuwa

"We cannot solve our problems with the same kind of thinking we used when we created them".

Hatuwezi kulimaliza tatizo kwa fikra zilezile zilizotumika kulitengeneza.

Unaelewa maana yake hapa?

Hizo fikra za kusema "kuna mzee mmoja ana busara atatumalizia matatizo yetu" ndiyo zimempa mtu mmoja nguvu kubwa sana akaharibu nchi.

Sasa kwa nini unatumia fikra hizo hizo zilizotufikisha hapa kumaliza hili tatizo?
Soma kwa umakini coment yangu, sikumaanisha wewe humjui mzee wa msoga nimemaanisha huyo jamaa uliyemjibu hapo juu.
 
Back
Top Bottom