Ukweli kuhusu kile kinachoitwa ongezeko la vibamia

Ukweli kuhusu kile kinachoitwa ongezeko la vibamia

Kwa wanawake ukitoka leba fanyeni zoezi la kegel mara kwa mara kwa muda mrefu hata km hujazaa lkn unaona njia yako imeshatanuka na kulegea hili zoezi lina siri kubwa ya kurudisha maumbile ya kike uimara wa misuli na mbano wake
kapeace
 
Yaani mwanamke hela tu msidanganyike


Hamna jingine ona kwa mfalme Suleiman walibanana kisa mshiko


We tafuta hela watakufuata wenyewe

Warefu kwa wafupi wembamba kwa wanene weupe kwa weus Tait na mabwawa wenye matako na makalio wenye hips na slim wanaonyonya na wapiga denda


Kitu hela


Hakuna cha ndefu wala bamia
 
Yaani mwanamke hela tu msidanganyike


Hamna jingine ona kwa mfalme Suleiman walibanana kisa mshiko


We tafuta hela watakufuata wenyewe

Warefu kwa wafupi wembamba kwa wanene weupe kwa weus Tait na mabwawa wenye matako na makalio wenye hips na slim wanaonyonya na wapiga denda


Kitu hela


Hakuna cha ndefu wala bamia
Hapana kuna utundu na ufundi wa kitandani pia...
 
Hayo maobogolo yao wanajustfy eti vibamia. Nyooo. myapanue wenyewe mtusngizie sisi.
 
Nakuunga mkono mkono ndugu Mshana. Sababu ulizotoa hapo ni kweli tupu na kuongezea kwenye ishu ya nguvu za kiume pia tatizo sio kubwa kama vyombo vya habar na mitandao inataka tuamini pamoja na mabango ya waganga wa kienyeji. Shida ni kwamba vijana wengi wa kiume kwanza hatujui maumbile yetu yanaukubwa gani na yanatakiwa kuwa na ukubwa gan hivyo kujikuta wengi hawajiamin kipnd wakikutana na mwanamke hivyo kupelekea uume kushindwa kusimama au kusimama kwa muda mchache.
Uume wa kawaida ni nchi 4 hadi 6 zaid ya 6 ni oversize na nchi 2 kuenda chin mdogo na 3 sio kawaida sio ndogo,hivyo basi size ya nchi 3,4,5 na 6 znauwezo wa kumridhisha mwanamke yoyote endapo i. uume huu utasimama kwa muda usiopungua dakika 20 had 45 ii. Mwanamke huyu ameandaliwa vya kutosha yaani aingiliwe akiwa tayari iii. Factors nyingine ziwe constant mfano usafi wa mwili wa mwanamke na mwanaume,mazingira tukio linapofanyika.
Hivyo kabla haujakubali na kujiona ww ni kubamia au mandingo kwanza pima urefu na mzunguko,upimaji ni rahisi na unafanyika kwa rula ya kawaida
2. Msongo wa mawazo kutoka na mchaka mchaka wa maisha,ugomvi wa kifamilia hasa wanandoa kwani msongo wa mawazo huchangia 30% hadi 50% ya magonjwa yasiyoambukizwa mfano kisukari,presha,upungufu wa nguvu za kiume,kukosa hamu ya tendao la ndoa.
3. Kula vibaya,kula vyakula kufurahisha mdomo na sio kwa kuzingatia virutubisho muhimu mwilin na mahitaji yake mwilni. Mfano kula sana chipsi,mayai,vyakula vya kusindikwa au vya kopo, kuto kula vyakula asil kama mihogo,ugal wa dona,asali,tangawizi,vitunguu swaumu.
4. Kuangalia sana picha za ngono bila kujua kwamba 80% had 90% ya unachokiona kwenye picha na video za ngono ni maigizo na uongo. Kuanzia maumbile,sauti na vingne vingi. Kazi kubwa inafanyiaka au inafanywa na editors so unaweza ona mtu anamashine ambayo kiuhalisia sio kweli na anapiga mzgo masaa matatu lakin ujue wanaungasha hivyo vipande ionekane ni shoo ya bila kupumzka. Hii pia inafanya na akina dada kuamin mwanaume wa kweli lazma awe na mguu kama wa mandingo.
 
Somo murua sana! Lakini ningependa kujua hilo zoezi la kegel ndio likoje?
Ni rahis sana na unaweza kufanya sehem yoyote. Kama ww ni mwanaume ntakueleza kirahis coz na jua kivitendo. Hiv ukiwa unakojoa mkojo wa kawaida tu huu jaribu kubana usitoke. Sasa basi huo mshipa unaotumia kubana mkojo usitoke ndio unakuwa unaibana ila kwa set yaani unaubana kwa kuhesabu moja hadi 10 hii ni seti moja then unaendelea moja hadi kumi seti ya pili hivyo hivyo. Pia unajaribu na kucontrol pumzi pia. Baada ya muda ukizoea hapo ukiwa kwenye tendo kipnd cha kukojoa mshipa huo utazuia usimalize harahara hadi pale utakapo amua wewe umalize shoo muda gani.

Pia tengeneza mchanganyiko huu. Asali mbichi halisi,tangawiz,kitunguu swaumu kimoja,karafuu changanya na iweke kwa sku tano kisha tumia kijko kimoja kila siku asubuh kabla ya kula kitu.
 
HILI JAMBO NILILIONA MAPEMA SANA MKUU.VIBAMIA SIO VINGI MTAANI ILA MAUMBILE YA HAWA WENZETU YAMEKUWA MAKUBWA MNOO NDO MANA VIBAMIA VINAONGEZEKA.
Na wao kuficha aibu wanajificha kwenye kivuli cha vibamia kumbe wao ndo tatizo
yamekuwa jaba
 
Back
Top Bottom