Nawashangaa mkiitwa vibamia mnavyoumia kwanini msijikubali??? Mpo kama ke wenye flat screen akisikia chura inavyosifika huyo anaenda kununua vigodoro au madawa nae apate chura
Ukiona maumbile madogo unaenda kuyaongeza na hapo ndo mwanzo wa tatizo zamani mlitucheka na sie kujichubua au kujiongezea makalio kwa kusema tuna akili ndogo saiv hatuchekani
Mshana si kwamba wanaume 25-30 wana vibamia mwanaume akishabalehe ukubwa wa umbile lake inategemea na genes zake kuna wenye 40 na wana vidogo au wastani wenye 23 ana hogo la maana
Kuzaa si mwanzo wa kuwa na bwawa kwani zamani hawakuzaa??? Aina yetu ya maisha kwa sasa inachangia kuleta mabadiliko makubwa katika miili yetu km dildos urembo ulopitiliza nasikia na njia za uzazi wa mpango nazo zinaharibu mfumo wa kiasili ukeni vyakula vya viwandani navyo si salama sana, tabia za kubadilisha wanaume ktk umri mdogo nayo inapanua njia, utoaji mimba tena mara kwa mara inaharibu njia
Kwanza vibamia ni vitamu mno kuliko hiyo migobole nshasema sana humu kuhusu utamu wa bamia( sio vile vyenye unyafuzi maana kuna watu hawanielewi hapa) bamia inayozungumzwa inajulikana sana tu
Kwa wanawake ukitoka leba fanyeni zoezi la kegel mara kwa mara kwa muda mrefu hata km hujazaa lkn unaona njia yako imeshatanuka na kulegea hili zoezi lina siri kubwa ya kurudisha maumbile ya kike uimara wa misuli na mbano wake