Eeeeeeeh bwana, nilishawahi kuligusia hili kwenye uzi wa dada yetu mmoja aliyekuwa analalama kama punda 'eti wanaume wa siku hizi hawafikishi wanawake kileleni'. Mkuu
mshana jr, hili la watoto wa kike kuingiliwa mapema haliishii tu kwenye kutanuka via, na hata hisia pia.
Ukimpata binti ambaye hajajiharibu kwa kuigawa organ yake kama pipi ya birthday, hata wewe mkunaji utaona tofauti. Haiwezekani na hainiingii akilini, wewe mtoto wa kike, hunijui sikujui, tunaingia chumbani ungali unajua naenda kukufanya nini halafu nikukute MKAVUUUU kama nguru. Wanawake wameharibika kisaikolojia na kimaumbile. Dkk 25 bado hujamwagika...hiyo sasa si gwaride.
Kwa advataiz tu unamtongoza anakuangalia 'macho kodo' na wala hammalizi dkk 20 kishakubali. Mnaingia ndani yuko mkavu kama mpingo na mawazo yake yako 50% kitandani, 50% mfukoni kwako...akikojoa huyo labda kojo la bia za ofa. Sugu alizonazo mwilini na akilini hazijawahi kumuacha mwali na hamu. Akitoka hapo mbio mtandaoni kushusha lawama.