Ukweli kuhusu kile kinachoitwa Chunusi

Nakumbuka utoton tuliambiwa ukiona mwenzako kavutwa na chunusi jikate sehem ya mwili na dam idondoshee kwenye maji
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Vibwengo.
 

Mkuu huyo alinasa kwenye matope - na matope ni hatari unanasa miguu na mikono.
 
Nakumbuka utoton tuliambiwa ukiona mwenzako kavutwa na chunusi jikate sehem ya mwili na dam idondoshee kwenye maji
Hii kweli.

Wewe Mtu umenikumbusha
 
Kote salama na kote si salama Inategemea na mkondo
Hii inajustify my reasons kwanini nayaogopa maji. Nikiendaga beach mm huwa naangalia tuuuuuuuu na kuwashangaa wadada! Kifo cha maji kibaya. Hii inanikumbusha mwaka juzi kijana mmoja kahitimu pale Ardhi University aliposomea kozi ya General Architecture miaka mitano, kusherehekea mahafali yake akaamua kwenda kuogelea pande za Mbalamwezi Beach. Na huo ndo ukawa mwisho wa yule ndugu. RIP
 
Inawezekana hilo bwawa lilikuwa na matope mengi chini sasa huyo ndugu alinaswa na hayo matope, muda aliokuwa amepotea inawezekani ni muda aliokuwa unatumia kujinasua kwenye hilo tope hivyo hadi mauti kumkuta, mara nyingi mtu akishakufa kwenye maji huelea juu hivyo alionekana akiwa marehemu
 
Mshana ushaomba kazi Kwenye kile chuo cha SA courses za Witchcraft?? Hope u will make a hell of a Lecturer....
 
Nakumbuka ata yule Bosi wa viwanja vya uwanja wa ndege alifariki akiwa anaogelea
 
ktk ubora wako mshana unajua meng sana. mzee mshana kuna kreta ipo mkoa wa mbeya wilaya rugwe kata ya isongole ktk kjij cha mchangan, inaitwa kreta ngozi au lake ngozi iko juu ya mlima. vjana weng wamepotea pale, kuna wanafunz watatu walipotelea mle, naamin kupotea kwa kuna uhusiana na ulichokieleza. 2liingia weng lakn wa3 hawakutoka iliuzunsha sana
 
hakukuwa na tope kwenye hilo bwawa kweli ?
 
Kweli
 
Naomba direction vizuri nitafanya mpango nifike huko
 
Naunga mkono hoja namba tatu strong current hatari sana,kuna maeneo baharini meli hazipiti kukiwa na strong current noma sana hy kitu.
 
Naunga mkono hoja namba tatu strong current hatari sana,kuna maeneo baharini meli hazipiti kukiwa na strong current noma sana hy kitu.
[emoji109] [emoji115] [emoji115] [emoji817] [emoji781] [emoji779]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…