TarimoJr
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 224
- 130
Mkuu Mabwawa Nayo Yana Mikondo Ya Maji?.Duu mbona hii ya leo nimeiweka vizuri sana? Nilichoandika ni kuweka mitazamo yote kukidhi mahitaji ya kila mmoja wetu
Anyway ni ngumu kuacha kunywa pombe kama ulishazoea kunywa
Mi Nilishashuhudia Mtu Aliyepotelea Bwawani Kwa Siku Mbili, Watu Wanapiga Mbizi Siku Zote Hizi Lakini Hapatikani. Siku Ya Tatu Akapatikana Lakini Taarifa Ya Hospitali Ilisema Hakuna Maji Aliyokunywa Ingawa Alizama Bwawani. Hili Sijui Unalizungumziaje?