Duke Tachez
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 5,461
- 4,165
ntarudi
Zaidi ya miaka 7 na bado haijachuja😄The King of Msata at his best.
Halafu hizi rip currents hata uwe mwogeleaji kumzidi Michael Phelps ukinasa umenasa aisee. Halafu watu wanabaki wanashangaa mwogeleaji mzuri yule hawezi kuzama lazima atakuwa amechukuliwa kichawi kumbe masikini umeburuzwa na kuwa squeezed na presha kali ya maji kama kimwanasesere tu. Na ukipanick na kujaribu kushindana na mkondo wenyewe ndo kabisa huponi.
Uchawi ndiyo upo lakini tukifikia mahali tukiona tukio tunatafuta kwanza sababu za kisayansi kabla ya kukimbilia ushirikina tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana. Siyo kila kitu ni ushirikina!
Kumbe wengine mlishaliona hili siku nyingi?Mshana thijui nikufananishe na Msanii gan Mana Hauchuji athee
Nguo uliziacha?Watoto wakishua wote hawaijua dunia na mazingara yake.ukiona mtu aamini uchawi basi ajarongwa,ajatembea,na wala hajawai kukaa mbali na baba na mama.nilishawa wai kukutana na KUNDI LA WATU,km 500.nikiwa natoka disco miaka hiyo.mbaya zaidi nilikua mwenyewe.rakini kwa sababu nilikua najua kua hawa ni wachawi nami nikajibarisha kua mchawi zaidi yao..!!NILIVUA NGUO zote alafu nikapita katikati yao.baada ya kuwapita kugeuka nyuma hakuna mtu.apo sasa ujasiri wote,kwisha aaah mbio kelele...mpaka home.sirudi kwenda disco tena.