Ukweli kuhusu kile kinachoitwa Chunusi

Ukweli kuhusu kile kinachoitwa Chunusi

Watoto wakishua wote hawaijua dunia na mazingara yake.ukiona mtu aamini uchawi basi ajarongwa,ajatembea,na wala hajawai kukaa mbali na baba na mama.nilishawa wai kukutana na KUNDI LA WATU,km 500.nikiwa natoka disco miaka hiyo.mbaya zaidi nilikua mwenyewe.rakini kwa sababu nilikua najua kua hawa ni wachawi nami nikajibarisha kua mchawi zaidi yao..!!NILIVUA NGUO zote alafu nikapita katikati yao.baada ya kuwapita kugeuka nyuma hakuna mtu.apo sasa ujasiri wote,kwisha aaah mbio kelele...mpaka home.sirudi kwenda disco tena.
 
Eeehee Baba Wewe utaacha Uchawi lini Baba angu
NATAMANI Mshana Jr angekuwa mfipa tu kama mimi maana hata aeleze vipi lazima aitwe mshirikina tu kama sisi wafipa.Ukweli mnamuonea mno.Ni sawa na sasa inavyoaminika kuwa wafipa wote ni walozi ili mradi tu kuitwa mfipa.
Kwa sasa hata makabila mengine waoshio ufipani wakirudi kwao wanaogopwa sana.
Jamani mwacheni mshana apumue.
 
NATAMANI Mshana Jr angekuwa mfipa tu kama mimi maana hata aeleze vipi lazima aitwe mshirikina tu kama sisi wafipa.Ukweli mnamuonea mno.Ni sawa na sasa inavyoaminika kuwa wafipa wote ni walozi ili mradi tu kuitwa mfipa.
Kwa sasa hata makabila mengine waoshio ufipani wakirudi kwao wanaogopwa sana.
Jamani mwacheni mshana apumue.
 
Kuna siku nilitaka kuanzisha special thread kwa ajili ya dawa za asili na tamaduni za asili na uchawi nikajiuliza mara mbilimbili na huu ufipa wangu usumbuwanga huu nikaona heri kuacha tu.
Mwisho nikajiuliza kama mshana asiye mfipa yanamkuta haya sasa kwangu itakuweje ukizingatia leo watu wanakumbukumbu ya comedy ya ngombe na mwewe basi nikaenda kukojoa nkarudi kulala.
Jamani wafipa ndo kabila safi kuliko yote Tanzania ukiishi na mfipa utafurahi daima hatuna tabia yoyote mbaya kama tunavyochafuliwa huko.
 
Kuna siku nilitaka kuanzisha special thread kwa ajili ya dawa za asili na tamaduni za asili na uchawi nikajiuliza mara mbilimbili na huu ufipa wangu usumbuwanga huu nikaona heri kuacha tu.
Mwisho nikajiuliza kama mshana asiye mfipa yanamkuta haya sasa kwangu itakuweje ukizingatia leo watu wanakumbukumbu ya comedy ya ngombe na mwewe basi nikaenda kukojoa nkarudi kulala.
Jamani wafipa ndo kabila safi kuliko yote Tanzania ukiishi na mfipa utafurahi daima hatuna tabia yoyote mbaya kama tunavyochafuliwa huko.
 
Kuna siku nilitaka kuanzisha special thread kwa ajili ya dawa za asili na tamaduni za asili na uchawi nikajiuliza mara mbilimbili na huu ufipa wangu usumbuwanga huu nikaona heri kuacha tu.
Mwisho nikajiuliza kama mshana asiye mfipa yanamkuta haya sasa kwangu itakuweje ukizingatia leo watu wanakumbukumbu ya comedy ya ngombe na mwewe basi nikaenda kukojoa nkarudi kulala.
Jamani wafipa ndo kabila safi kuliko yote Tanzania ukiishi na mfipa utafurahi daima hatuna tabia yoyote mbaya kama tunavyochafuliwa huko.
Niliwahi kuanzisha moja huna haja ya kuogopa.. Ukiogopa watu utashindwa kufanya mengi... Naitwa mchawi wa JF ila ukiwauliza nimeroga wangapi hawana majibu
 
Write your reply...
sinaga mchezo na maji asee
sijawahi kupanda hata mtumbwi achilia mbali kuogelea kweoye vi swimming pool!

sinaga mchezo na maji
 
Write your reply...
sinaga mchezo na maji asee
sijawahi kupanda hata mtumbwi achilia mbali kuogelea kweoye vi swimming pool!

sinaga mchezo na maji
Siku ukipata nafasi njoo twende Mafia kwa jahazi
 
mafia kaka??
bora nitandikwe risasi 32 za kichwa
 
We call it 'Poseidon '
No real pics only drawn images View attachment 1124718
badassposeidon2_8128.jpeg
 
Mvuvi maarufu na mtaalamu wa mambo ya bahari na mito, bwana Hmood Nassor Hamdoun anaeleza dhana moja ndegefu inaoaminika na wengi hasa wa mwambao mwa pwani kwamba baharini kuna jini liitwalo Chunusi.

Akitumia picha tanzu bwana Hmood anasema, katika picha anaitwa chunusi ila kwa jina lingine anaitwa "electric eel". Anafanana na kambale. Anatoa umeme wa aina ya tuli (static electricity) hadi vilt 850v.

Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.

Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.

La Voice ni muafrica wa kwanza kugundua kuwa chunusi sio jini bali ni electric eel.

___________________
Kupanua ufahamu wako zaidi, endelea kufunua kurasa za kitabu pendwa cha Taifa cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mvuvi maarufu na mtaalamu wa mambo ya bahari na mito, bwana Hmood Nassor Hamdoun anaeleza dhana moja ndegefu inaoaminika na wengi hasa wa mwambao mwa pwani kwamba baharini kuna jini liitwalo Chunusi.

Akitumia picha tanzu bwana Hmood anasema, katika picha anaitwa chunusi ila kwa jina lingine anaitwa "electric eel". Anafanana na kambale. Anatoa umeme wa aina ya tuli (static electricity) hadi vilt 850v.

Kiwango hicho cha umeme kinatosha vizuri kuua binaadamu na damu kuganda ndio maana utasikia wanasema jini chunusi ananyonya damu.

Ni vigumu kumvua kutokana na maumbile yake na umeme autoao. Wengi hawajawahi kumuona ndiyo maana inabaki kuwa tu ni jini wa kwenye maji.

La Voice ni muafrica wa kwanza kugundua kuwa chunusi sio jini bali ni electric eel.

___________________
Kupanua ufahamu wako zaidi, endelea kufunua kurasa za kitabu pendwa cha Taifa cha Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi.



Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Kwanza Niombe radhi kwa kuahidi mara nyingi kuweka hii post lakini bila kufanya hivyo!

Tunazungumzia chunusi mnyama, shetani, jini au kizuka. Sio chunusi zile za usoni zinazotokana kwa sehemu kubwa kuibana au kuwa domozege! Hapa ni chunusi mtoa roho, majini.

Tumekulia kwenye hizo habari, tumepoteza ndugu jamaa na hata marafiki huko kwenye mito maziwa na hata baharini sababu ikitajwa kuwa ni chunusi.

Ukweli huu hapa
1. Chunusi wa kishirikina - Hapa ni kiumbe jini ndio kinaua kimazingara na binadamu kutafsiri kuwa ni chunusi (nimeshindwa kwa hakika kupata uhalisia na chanzo cha chunusi kuhusishwa na maji)

View attachment 413290

2. Wanyama wa majini(kwenye maji). Wapo wanyama wasiojulikana sana waishio kina kirefu cha maji ambao nao kwa namna moja au nyingine wamesababisha mauaji na kudhaniwa kuwa ni chunusi - hapa hakuna chembe ya ushirikina.

View attachment 413289

3. Chunusi kutokana na mkondo wa maji (strong current) Haya ndio yanaweza kuwa maelezo sahihi zaidi kuhusu chunusi.

Mara nyingi chini ya uso wa maji hupita mikondo ya maji inayoenda kasi sana na inayopita kina kirefu cha maji. Mikondo hii iko ya aina mbili;

  • Mikondo ya maji inayoonekana juu ya uso wa maji
  • Mikondo ya maji isiyoonekana juu ya uso wa maji.

Hii sasa ndio hatari sana kwa kuwa ukiangalia utaona maji yametulia kabisa lakini kumbe huko chini yake ni habari nyingine

View attachment 413300
View attachment 413301

Wenzetu ambao sio wavivu wa kufikiri waliamua kufanya utafiti wa kwanini kuna baadhi ya maeneo yanaua sana (dhana ya chunusi) na hiki ndicho walichogundua na kuweka tahadhari kwa wasiojua.
View attachment 413302

Sisi tumekuzwa na hulka moja mbaya sana ya kupuuzia mambo hata kama kuna chunusi wa kichawi lakini ufafanuzi wa jinsi hii ungehitajika!

Kumbuka bado tuko kwenye msiba wa ndugu zetu watatu waliopoteza maisha kwa kudhaniwa ni mumiani wanyonya damu. Tungekuwa na matangazo kwenye vyombo vya habari yanayotoa elimu na ufafanuzi kuhusu mambo kama haya wale ndugu pengine wangesalimika.

Kwenye dhana nzima ya chunusi inasemekana kuna chunusi wa aina mbili;

A. Chunusi anayeua na kuondoka na maiti (uhalisia ni mkondo mkali wa maji)

B. Chunusi anayeua na kuacha maiti akinyonya damu tuu (uhalisia ni kifo kinachotokana na viumbe wa majini)

Hizi za mwisho ni picha zinazodhaniwa ni za chunusi ambao wamewindwa na kuuawa na sasa nyama yao iko sokoni (sio Tanzania).

View attachment 413304
Mshana kwetu kuna aina tofauti sana ya Chunusi tunaita (Nduwa) watu wa Marangu, Kilema, Kirua na Mamba wanafahamu. Ni viumbe ajabu wenye nguvu za ajabu. Wanafuga mifugo, wanakarakana na wengine wanatoa ishara kila saa sita
 
Back
Top Bottom