Ukweli kuhusu ishu ya Stephen Masele

Ukweli kuhusu ishu ya Stephen Masele

Basi kama mkudugayi anaolewa context ya zile sms basi kuna shida kubwa mjengoni. Au ndo drug resistance?
Aaaah! Sawa nimepata connection kuwa kumbe zile meseji za President toka kwa Mhe. Masele zilikuwa zinatumwa kwa Rais wa Bunge la Africa - huenda Job anafikiri kuwa Masele alikuwa nazituma kwa JPM kumbe sivyo!

Masele simama hapo hapo
 
Waziri Mkuu na Spika Ndugai nani Mkubwa kwenye Issue za Wabunge na za Kibunge?

Serikali kuu imeanza kutoa miongozo ya Kibunge kwa Wabunge baada ya kuona Dish la Spika Lina Yumba
Huyo jamaa kamsingizia PM kwa mujibu wa Speaker hakuna mawasiliano yeyote aloyafanya na waziri mkuu hivyo sio kweli kwamba PM kamruhusu kutokurejea nyumbani, hayo yalisemwa tena mbele ya PM.
 
Ndugai inafaa ateuliwe KUWA Jaji Mkuu.
Anapenda sana kufanya kazi ya Uhakimu.
Ya kuhukumu hukumu WATU.
HATA bila ya kutafakari KWA Kina.
Kumdhohifisha Masele ni Kuidhohofisha nchi ya Tanzania katika nyanja za KIMATAIFA
 
Miaka buku hakuna nafasi anafaa, arudi kongwa
Ndugai inafaa ateuliwe KUWA Jaji Mkuu.
Anapenda sana kufanya kazi ya Uhakimu.
Ya kuhukumu hukumu WATU.
HATA bila ya kutafakari KWA Kina.
Kumdhohifisha Masele ni Kuidhohofisha nchi ya Tanzania katika nyanja za KIMATAIFA
 
Ngoja tuone mwisho wake, mana soon utasikia ndu ana bifu na mwingine
 
Ndugai kanyea Kambi we unasema Bandari ya Bagamoyo ni Bora kuliko stegler gorge.Upande wa Pili wamemchoka Huyo PM ni maelekezo ya Mzee Baba.Masele ataendelea kumnyoosha kwa mwogozo kutoka whitehouse Karibu na wavuvi.

hiii itakua mara igihumbii sana
 
Back
Top Bottom