Bunge la Tanzania siyo Ndugai. Na hakuna wakati wowote ambapo Bunge au kamati zake zimeazimia Masele arudi. Ndugai ni aibu ya TaifaNgoja atandikwe BAKORA alafu tuone hiyo sentenso kama ina mashiko maana msingi wa yeye kuwa Makamu wa Rais wa PAP ume-originate from bunge la tanzania!
Kwenye 'U' toa weka 'a' .Ndugai=Ndu-Guy chutama upepo upite
Na mgombea wa nafasi ya Spika, jina lake linapitishwa na kamati kuu ambako Ndugai siyo mjumbeMkubwa ni Spika na ndiyo maana jina la Waziri Mkuu huwa linaletwa kwenye ka mfuko ka Lambo ili athibitishwe na Bunge!
Kuna kitu sijaelewa, yaani mtanzania Job Ndugai ameamua kumhujumu mtanzania mwenzie ili kumtetea mkameruni katika bunge la Afrika?
Ana bifu gani hilo na Masele?
Yaani kwamba amehongwa na mkameruni? Spika wa bunge la Tanzania ana njaa kiasi cha kuhongwa na mtu wa nje ili kumhujumu mbunge mwenzie ili kumtetea mtu wa nje? Mkuu nakuamini haya mambo una uelewa nayo sana, wewe unahisi kuna nini hapa?

Hivi mbona wakati wa spika anna makinda bunge ahkikupitia migogoro inayopitia sasa?! linakwama wapi?
Acha ukabila.2020 Hatutaki Spika wa Kigogo
Hapana nina dhumuni langu la Kuweka "u" badala ya "a" wala sijakosea mkuu wewe msomaji ndio umekosea kuelewa maanaKwenye 'U' toa weka 'a' .
Ndugai=Ndu-Guy chutama upepo upite
AnywaySpika hana dola PM akisema ujue Rais amekubaliana nae sasa Spika alije akaingia mgogoro na wenye mamlaka
Try to learn the difference between distingush and descriminateAcha ukabila.













Try to learn the difference between distingush and descriminate
Maazimio ya bunge yana mipaka yake, mengine yanafanywa na spika kwa kuongozwa na kanuni!Bunge la Tanzania siyo Ndugai. Na hakuna wakati wowote ambapo Bunge au kamati zake zimeazimia Masele arudi. Ndugai ni aibu ya Taifa
Kwani Lisu & Co wanapoamua kuichafua tanzania wana bifu gani na watanzania!