teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
Sijui aisee. Ila hii iko poa hainisumbui, kama warranty haijaisha rudisha wakakupe nyingine kiongoziMbona jamaa yke chaji inasumbua au inatatizo
Sijui aisee. Ila hii iko poa hainisumbui, kama warranty haijaisha rudisha wakakupe nyingine kiongoziMbona jamaa yke chaji inasumbua au inatatizo
Inauzwaje hiyo y6 cam l21Najilaumu nimetupa hela mimi ni teja wa Huawei lakini kwenye y 6ii nimegonga ukuta
Ama battery au simu. Wana technician's wa kuangalia tatizo nnWanipe bettery mpya
Mmm mkuu kwani zinachomoka zile battery mbona naona kama ni built-in huawei YIIWanipe bettery mpya
Mlimani city 400,000/-280000+
Hivi uhawei y6 11 ukiitumia haipati motoUnafungua nati
Mbna kwangu kawaids tu mkuuNilizoea Huawei y6 pro sasa nilivyoingia kwenye toleo la Huawei y6 ïï nahisi kama inalamba sana bando kwani nikiwa na MB 1000 nilikuwa natumia siku wakati data zikiwa always on lakini Leo Huawei y6 ïï hata siku haimalizi