Ni imara sanaa maana ninashida nayo sasa wanadai watu wengi kuwa now power bank nyingi ni fakeIpo 70000 yenye ampere 40000 with solar panels
Matumizi yako tu kiongoziNilizoea Huawei y6 pro sasa nilivyoingia kwenye toleo la Huawei y6 ïï nahisi kama inalamba sana bando kwani nikiwa na MB 1000 nilikuwa natumia siku wakati data zikiwa always on lakini Leo Huawei y6 ïï hata siku haimalizi
tafuta powerbank za xiaomi 40,000 hadi 80,000 kwa mah 5200, 10,000 na 16,000,Jamani msaada wa powerbank imara
hujabadilisha mtandao au zamani ulikuwa na 3g sasa hivi 4g etc, kuna baadhi ya mitandao kama youtube jinsi speed yako ya internet inavyokuwa kubwa ndio jinsi wanavyokuletea vitu vya quality kubwa na ndio jinsi bando linavyoisha upesi,Nilizoea Huawei y6 pro sasa nilivyoingia kwenye toleo la Huawei y6 ïï nahisi kama inalamba sana bando kwani nikiwa na MB 1000 nilikuwa natumia siku wakati data zikiwa always on lakini Leo Huawei y6 ïï hata siku haimalizi
Vp kuhusu kukaa na chaji pia na speed kwenye internet plus ubora wa camera.Nilizoea Huawei y6 pro sasa nilivyoingia kwenye toleo la Huawei y6 ïï nahisi kama inalamba sana bando kwani nikiwa na MB 1000 nilikuwa natumia siku wakati data zikiwa always on lakini Leo Huawei y6 ïï hata siku haimalizi
Mmh mbona wanaisifia xna kuhusu kutunza chaji,unataka kusema hata masaa 6 haifikishiUtunzaji wa chaji kwenye y6 ii ni Bashite ila y6 pro chaji inatunza sana
Matumizi ni standardhujabadilisha mtandao au zamani ulikuwa na 3g sasa hivi 4g etc, kuna baadhi ya mitandao kama youtube jinsi speed yako ya internet inavyokuwa kubwa ndio jinsi wanavyokuletea vitu vya quality kubwa na ndio jinsi bando linavyoisha upesi,
pia inawezekana matumizi yameongezeka.
jaribu kwenda data usage halafu uangalie simu yako inakula vipi mb na ni app gani inatumia sana hizo mb
Masaa 6 kama uko update haifiki labda kupiga na kupokea Tuonane kama ni umeme wa kununua baada miezi 3 utakuwa umetoa hela ya simu nyingine also yo can't manageMmh mbona wanaisifia xna kuhusu kutunza chaji,unataka kusema hata masaa 6 haifikishi
Kumbe bora hata uhawei p9 lite inakaa chaji.Masaa 6 kama uko update haifiki labda kupiga na kupokea Tuonane kama ni umeme wa kununua baada miezi 3 utakuwa umetoa hela ya simu nyingine also yo can't manage
Lkn nendi si iko pouwaNajilaumu nimetupa hela mimi ni teja wa Huawei lakini kwenye y 6ii nimegonga ukuta
Pole. Yangu inakaa siku nzima hata nikiwasha data+ muziki radio nk..Tatizo ni chaji tu mambo mengine yote poa
Yako aina gani?Pole. Yangu inakaa siku nzima hata nikiwasha data+ muziki radio nk..
Huawei y6 IIYako aina gani?
Mbona jamaa yke chaji inasumbua au inatatizoHuawei y6 II