Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

umevuta bangi nini? carina alikosolowe kwa sababu ya uraia wake. yaelekea hujui chochote. wewe nenda kalewe pombe tu yatosha.
We ni punguani na abinuwas kama jina lako,pspf hakuwepo muislamu na akamkabithi Adam au akili zako za sembe anadhani wote tunavuta sembe na ufirauni
 
Endelea kudhani, Na wa Kisarawe ana maanisha nini? [Dr. amejaza hadi wapemba kwenye ofisi zetu, kisa mke wake ana asili ya Pemba. Zunguka ofisi zote za mikoa ni nadra kuwakosa wapemba. Hapa ujazungumzia watu wa Kisarawe]. Between Line hayo maneno Unadhani yanamaanisha nini? Ubaguzi ubaguzi tu
Ni ukweli kajaza ndg za mkewe na huyo DHRA nae kajaza ndg zake ni manyangau wale mbona sie huko pemba hatutakiwi idiot
 
Ni ukweli kajaza ndg za mkewe na huyo DHRA nae kajaza ndg zake ni manyangau wale mbona sie huko pemba hatutakiwi idiot
Idiot yourself celinawetu , nakumbuka uzi wako na furaha yako iliodumu masaa matano, what went wrong celinawetu , celina wako alikurupuka? By the way Ukitaka kuajiriwa pemba peleka tu application yako ktk kampuni yoyote unayoijua iliopo pemba. Fishing expedition
 
Idiot yourself celinawetu , nakumbuka uzi wako na furaha yako iliodumu masaa matano, what went wrong celinawetu , celina wako alikurupuka? By the way Ukitaka kuajiriwa pemba peleka tu application yako ktk kampuni yoyote unayoijua iliopo pemba. Fishing expedition

Mchezo ulichezwa na dau na sefue wakamdanganya mhagama nae kaingia mkenge kumtangaza Carina kumbe jpm anajua mambo yote anayofanya dau ili alinde,lakini gazeti LA jambo Leo liliwaumbua alokuwa inamtetea dau,kilichobaki ni safari ya lupango
 
TTCL nako kama msikiti.
Malcom X Newspaper.JPG
 
Idiot yourself celinawetu , nakumbuka uzi wako na furaha yako iliodumu masaa matano, what went wrong celinawetu , celina wako alikurupuka? By the way Ukitaka kuajiriwa pemba peleka tu application yako ktk kampuni yoyote unayoijua iliopo pemba. Fishing expedition
20160311_043732.jpg
20160311_043732.jpg
 
hakuna aliyeongelea Kubong'oa hapa....Tunaongelea Mentality
mentality mnayo nyie mnaoona hata kuswali wa Dr. Dau ni tatizo. kama ni wakirsto wafanyakazi wa NSSF wamejaa kila kuna ya nchi hii. nani hajui hilo? au nitajie japo mkoa mmoja wenye wafanyakazi wengi waislam kwenye ofisi za NSSF kuliko wakirsto japokuwa sisi ni wengi kama taifa? mbona nyie mnabeba mpaka mabibilia kwenye ofisi za umma wala sisi hatuongelei hayo? mbona mlikuwa mkitumia mpaka pesa za umma kwenye sherehe zenu za kidini na sisi hatukuliongelea? nani alikuwa haoni wakati wa kirsmas na pasaka mapambo ya kidini yakiwa yamejaa kila aina ya ofisi za umma tena kwa garama zetu sote? ulishawahi kuyaona mapambo ya maulidi au Idd kwenye ofisi za umma? tena kwa garama za umma? kwa staili naamini ipo siku yaja.
 
mentality mnayo nyie mnaoona hata kuswali wa Dr. Dau ni tatizo. kama ni wakirsto wafanyakazi wa NSSF wamejaa kila kuna ya nchi hii. nani hajui hilo? au nitajie japo mkoa mmoja weenye wafanyakazi wengi waislam kwenye ofisi za NSSF kuliko wakirsto japo sisi ni wengi kama taifa? mbona nyie mnabeba mpaka mabibilia kwenye ofisi za umma wala sisi hatuongelei hayo? mbona mlikuwa mkitumia mpaka pesa za umma kwenye sherehe zenu za kidini na sisi hatukuliongelea? nani alikuwa haoni wakati wa kirsmas na pasaka mapambo ya kidini yakiwa yamejaa kila aina ya ofisi za umma tena kwa garama zetu sote? ulishawahi kuyaona mapambo ya maulidi au Idd kwenye ofisi za umma? tena kwa garama za umma? kwa staili naamini ipo siku yaja.


Chama cha CCM ni chama cha kikristo...hama
 
We ni punguani na abinuwas kama jina lako,pspf hakuwepo muislamu na akamkabithi Adam au akili zako za sembe anadhani wote tunavuta sembe na ufirauni
ewe punguwani, nenda kasome tena nilichokoment ndo uje tena kuchangia. yaelekea akili zako ni bora ya za nzi.
 
Chama cha CCM ni chama cha kikristo...hama
naona unasepa mada kiaina fulani. nimekuelewa. nchi yetu sote hii. sisi hatuna shida kabisa na nyie kufanya ibada zenu, na iwe hivyo kwenu pia.
by the way, nani kakuambia kuwa mimi ni ccm?
kwa heri.
 
Nilitembelea Ofisi za NSSF Kinondoni hivi majuzi (mkabala na Mlimani City), nilishtuka. Japo ni jambo gumu kulijadili, hili la udini lipo. Very noticeable. Sikosoi jitihada za Dr. Dau kutoa kipaumbele kwa watu wake (ambao aliamini waliachwa nyuma kwa kipindi kirefu), lakini alijisahau. Alijua wazi kuwa anachokifanya kitaleta malalamiko na hivyo kuwafanya wale aliowapa fursa kuwa kwenye wakati mgumu kwa kuwa jamii inawaona kana kwamba wamependelewa, hata kama wana sifa.
 
Mdini mkubwa wewe na sisi tukianza kiweka nafac za uteuz wa magufuli utakaa hapa bwege ww



Taasisi nyingi za serikali zina udini...Mbona taasisi nyingine ukiangalia ni WAKRISTO tuu hatusemi au ni hiyo NSSF tuu ndio kinawauma....BIMA, TRA, TANESCO n.k. Acheni kuchonga Fikirini kabla ya kuropoka. Udini wenu pelekeni hukoo...kila sehemu kuna udini wa aina yake..
 
Mwenye data ya mashirika mengine atuwekee hapa tufanye comparison shirika lipi hasa kuna udini! KUNA MTU ASHAWAHI KUZI- UPLOAD HUMU

BIMA ktk watu 200 waislamu 19 tuu na hao 19 ni vibaraka tuu sio zile level kuu
 
utakuwa mjinga wewe kama sio mpumbavu. hivi unajua waajiriwa wa dini mbalimbali waliopo kwenye hayo mashirika yote? au umekuja kuhara tu humu. funga hilo bakuli lako.
usipanic bro
 
Acha porojo toa facts, umeshindwa hata kitaja % ya waislam na wakristo! Kitu ambacho mfanyakazi yoyote anaweza, tutaelewa vp hayo mengime kama sio porojo zilezile
 
Mkuu Nepotism ni kitu kibaya popote pale, Lakini usisahau kuwa hakuna kigezo mahali popote kiachosema kuwa utaajiriwa kama mkristo au muislamu au kabila fulani!! Huo ni upendeleo unaofanywa na baadhi ya watu katika kuakikisha kuwa kundi fulani linaweka watu wenye maslahi nao. Lakini usisahau kuwa hakuna sehemu yoyote nimetetea huo ujinga. Nimejaribu kuainisha ukubwa wa tatizo na changamoto wanazopata wateuliwa katika kukidhi haja za waliowateua.

Nashukuru kuwa kwa hapo nimekuelewa au tumeelewana. Tusimtetea yeyote kwa kutumia vigezo hivyo dhaifu.
 
Mbona usemi ktk wakuu wa mikoa 26 waliochaguliwa juzi waislamu wangapi na wakristu wangapi? Acheni kushindana na mambo yaliyowazi,angalieni historia ya haya mambo, udini hakuna ila unakuzwa mwacheni dau afanye mambo yake mengine kwani aliyoyafanya pale kila mtu kayaona
Viva dau keep it up!
 
Back
Top Bottom