Ukweli kuhusu Dkt. Slaa kuondoka CHADEMA

ila hivyo viti vya upinzani vilichukuliwa kutoka ccm. so upinzani walipiga hatua kubwa serikali za mitaa na ccm walipoteza. huo ndio ukweli
Kupoteza viti haina sababu yoyote ikiwa ushindi bado ni wa CCM. hata ligi kuu timu inatyochukua taji kupoteza baadhi ya mechi lakini wakichukua kikombe huwezi kusema wamechukua kikombe lakini sisi tuliwafunga!.. Haya ndio yale yale ya Kizenji - Kufungwa twafungwa lakini chenga twawala!...

Kifupi:-
1. CCM ilipata ushindi wa vijiji 7290, Chadema 1248, CUF 946 UDP 4, NLD 2. Hivyo ushindi wa CCM kijumla ni zaidi ya Asilimia 80.

2. Nafasi ya wenyeviti wa serikali hizo CCM walipata 2116, Chadema 753, CUF 235, ACT 9, NCCR -Mageuzi 8, TLP,UMD,UDP NRA wote 1 kila mmoja. Hizi ndio tunaweza sema CCM wamepata Asilimia 60 na kitu.

Hivyo, ni sawa na kusema kuwa chama kimeshindwa UMeya kwa Asilimia 65 wakati huo pia wana Madiwani Asilimia 80 ni ushindi mkubwa sana jamani. UKAWA mkubali msikubali hawakupata ushindi kama ilivyotegemewa. Au rais Asilimia 65 lakini ubunge Asilimia 80 huu ni ushindi mkubwa sana kwa chama..
 
Wananchi gani waloipokea habari hii kama sio nyie watu wa mitandao, JF na Chadema?.. Mlisema haya haya mlipounda UKAWA mkapigwa bao la wazi kabisa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa CCM wakapata zaidi ya asilimia 80, bado mkadai namba zenu bora zaidi ya mwaka 2009. Kuna siri ama kitu kilichopokelewa kama UKAWA wakati wa Serikali za Mitaa mbona hamkushinda?

Mwaka 2009 ccm ilishinda kwenye serikali za mitaa kwa asilimia 98,mwaka uliofuata 2010 uchaguzi mkuu ccm ilishinda kwa asilimia 61,maanake vyama vya upinzani vilishinda asilimia 39 vikiwa na aslimia 2 tu ya serikali za mitaa,mwaka 2014 vyama vya upinzani vilishinda kwa asilimia 36 kwenye serikali za mitaa
pamoja na hila zote za ma ccm,sasa kwa mtiririko huo unaweza kutabiri matokeo ya 2015?mbona unajaribu kuzuia mafuriko kwa vidole?
 
Back
Top Bottom