Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,158
- 1,491
Mwaka 2015 ni mtu kichaa peke yake asiyetambua biashara iliyofanyika kati ya Chadema na Mh Edward Ngoyai Lowassa, aliyekuwa anategemewa kugombea Urais kupitia Chadema alipigwa chini na kijiti kupewa mh Edward Ngoyai Lowassa aliyetoka CCM.
Dkt. Slaa alipoamua kutumia Uhuru wake kikatiba na kuhamia CCM aliitwa majina yote, alitukanwa matusi yote na makamanda wa Chadema.
Leo akina Mdee wako bungeni kwa Mkono wa Chama( Viongozi wanajua) , mabinti hawa wanatukanwa kila aina ya matusi .
Ukisema ukweli akina Lema wanakuombea mpaka kifo as if wao wataishi milele (Wamekuwa Manaibii wa vifoo).
Siasa sio uadui, Fanyeni siasa za ustarabu, enezi sera sio matusi na chuki.
# A law of karma
#Kazi iendelee.
Dkt. Slaa alipoamua kutumia Uhuru wake kikatiba na kuhamia CCM aliitwa majina yote, alitukanwa matusi yote na makamanda wa Chadema.
Leo akina Mdee wako bungeni kwa Mkono wa Chama( Viongozi wanajua) , mabinti hawa wanatukanwa kila aina ya matusi .
Ukisema ukweli akina Lema wanakuombea mpaka kifo as if wao wataishi milele (Wamekuwa Manaibii wa vifoo).
Siasa sio uadui, Fanyeni siasa za ustarabu, enezi sera sio matusi na chuki.
# A law of karma
#Kazi iendelee.