Ukweli kuhusu baadhi ya mabinti wa kilokole

kanali mstaafu

JF-Expert Member
May 17, 2015
4,319
4,089
Awali ya yote naomba kuweka katika kumbukumbu za jukwaa hili kuwa, mosi, uchambuzi huu haujalenga kubeza, kukejeli ama kudhalilisha imani za watu. Pili uchambuzi huu hauwahusu mabinti wote wa kilokole bali na baadhi ya wengi wao na si wote wapo hivi.

Pia nikiri kuwa, madhehebu ya dini zote yakiwemo ya walokole yana misingi na mafundisho mazuri hoja nitakazotoa zimetokana na mimi kuwa na mahusiano na binti wa dhehebu mojawapo kati ya haya madhehebu ya wanaojiita walokole na kupitia kuwa na huyu binti nilipata interaction ya kufahamiana nao wengi kwani ilibidi niingie kwenye makundi yao ya WhatsApp, nihudhurie events zao, nipate mialiko ya binafsi kuwa nawatembelea mmoja mmoja na pia nilipata wasaa wa kujenga nao urafiki wa karibu ambapo kuna vitu ambavyo wanavipenda na wanavifanya kwa siri watu wa nje hamtavijua kwa kuogopa kuchafua makanisa yao ila wao kwa wao wanafnya na wanajuana.

Findings;

1. Asilimia kubwa ya mabinti walioingia kwa utashi wao huku familia zao zipo madhehebu mengine ni wahanga wa matatizo kama kutokuolewa, ugumu wa maisha na u-single mother

2. Kwaya na mikesha ni kichaka cha maovu kwani mle kwenye kwaya kuna couple kila mtu na wake ila kama wewe mpenzi wako yupo huko na wewe husali huko hutajua.

3. Wana umoja katika kutunziana siri sana.

4. Wengi wao wanawinda kuolewa kwani katika jamii imezoeleka kuwa mabinti wacha Mungu wanafaa kwa kuoa. Wengi hujivisha ulokole ili wapate kuolewa. Ndio maana kule kuna ndoa nyingi sana; haupiti mwezi bila ndoa.

5. Wana uasili wa ubishi na kulazimisha anachotaka yeye ndo kiwe ukimpinga mtaishia kugombana au kuachana.

6. Kauli ya mchungaji ni sheria hata akipigiwa simu usiku na mchungaji ataenda na ukimzuia mmeachana.

7. Kutokana na mfumo wao wa kuabudu sauti zao ni kavu na wanaongea kama cherehani mkiwa mnajadili kitu anaongea kama anakukemea.

8. Wengi wao hawadumu katika mahusiano hasa pale anapokuwa na mtu ambaye sio mlokole.

9. Si wasikivu na wenye heshima na mara zote hujiona wako sahihi katika kila wanachokiwaza.

10. Waalimu wa kwaya hutafuna sana wanakwaya kipindi wakiwa wageni.

11. Wana mafundisho yao ambayo wanakaa na mama mchungaji. Huko kuna sumu nilizisikia kutoka kwa binti mmoja alipoamua kuniibia hizo siri. Kwakweli yana ukakasi kuyataja hapa.

Mwisho kabisa napenda tu kuweka sawa hili suala. Dini zote zina misingi na mafundisho mazuri inapotokea waamini wake wanaitumia misingi hiyo vibaya wanatengeneza vitabia ambavyo lazima jamii itavi-associate na dini/dhehebu husika.
 
Aisee hapa ninapokaa kuna kibinti kinafanya kazi za ndani kwa ndugu yake alafu ni msabato (wote wasabato) yani kafika wiki moja kaenda kanisani mara tano jmosi kusali kutoka kawaida ni sa tano lakin yeye atarudi sa tisa au kumi anajiamini sana hana swaga za kutongozwa yani ukimuangalia anaonekana haitaji masuala ya uasherati sasa huu uzi umenifumbua macho kumbe kiu akatia juu kwa juu bora niwe nasali nimejifungia ndani maana isije ikaonesha wote wazinzi
 
Mkuu kwenya namba 3 unasema "Wana umoja wa kutunziana siri"

Kisha kwenye namba 11 unasema " Binti mmoja aliniibia siri"
Hapo kama sijaelewa!
Pia kama wewe umeibiwa siri basi si ajabu kuna wenzako kama wewe nao pia waliibiwa siri na kuambiwa,so hapo hakuna cha umoja wa kutunziana siri kabisa!
 
Aisee ...hapa nnapokaa kuna kibinti kinafanya kazi za ndani kwa ndugu yake alafu ni msabato ..(wote wasabato)...yani kafika wiki moja kaenda kanisani Mara tano jmosi kusali kutoka kawaida ni sa tano lakin yeye atarudi sa Tisa au kumi.....anajiamini sana hana swaga za kutongozwa yani ukimuangalia anaonekana haitaji masuala ya uasherati....sasa huu Uzi umenifumbua macho .kumbe kiu akatia juu kwa juu....bora niwe nasali nimejifungia ndani maana icje ikaonesha wote wazinzi
Sio mabint wote wako ivo mkuu
Labda ungekuwa na ushahid ila kama umehisi tuu usijejichumia dhambi ya kumuhis mtu visivyo
Wapo wanaosali ivo na ni waaminifu kwa Mungu wao
By the way wasabato ibada zao inaisha saa sita na wakirud mchana n had saa kumi na mbili jion kufunga sabato
 
Mkishaachwa ndio mnaanza kuja huku na kuanza kusema negative juu ya hao Mabinti,
Angalizo kwa Mabinti wa kilokole kwasababu ya kutompa Mungu heshima na kufanya ujinga wenu,leo ndio mnasemwa huku.na mnaonekana hamfahi.
Haya All the best and Jesus is coming again sooooooon
 
Aisee ...hapa nnapokaa kuna kibinti kinafanya kazi za ndani kwa ndugu yake alafu ni msabato ..(wote wasabato)...yani kafika wiki moja kaenda kanisani Mara tano jmosi kusali kutoka kawaida ni sa tano lakin yeye atarudi sa Tisa au kumi.....anajiamini sana hana swaga za kutongozwa yani ukimuangalia anaonekana haitaji masuala ya uasherati....sasa huu Uzi umenifumbua macho .kumbe kiu akatia juu kwa juu....bora niwe nasali nimejifungia ndani maana icje ikaonesha wote wazinzi
Ndio hivyo mkuu
 
Mkuu kwenya namba 3 unasema "Wana umoja wa kutunziana siri"

Kisha kwenye namba 11 unasema " Binti mmoja aliniibia siri"
Hapo kama sijaelewa!
Pia kama wewe umeibiwa siri basi si ajabu kuna wenzako kama wewe nao pia waliibiwa siri na kuambiwa,so hapo hakuna cha umoja wa kutunziana siri kabisa!
Siri utazijua ukichangamana nao.
 
Aisee ...hapa nnapokaa kuna kibinti kinafanya kazi za ndani kwa ndugu yake alafu ni msabato ..(wote wasabato)...yani kafika wiki moja kaenda kanisani Mara tano jmosi kusali kutoka kawaida ni sa tano lakin yeye atarudi sa Tisa au kumi.....anajiamini sana hana swaga za kutongozwa yani ukimuangalia anaonekana haitaji masuala ya uasherati....sasa huu Uzi umenifumbua macho .kumbe kiu akatia juu kwa juu....bora niwe nasali nimejifungia ndani maana icje ikaonesha wote wazinzi
Wasabato sio walokole
 
Huo ubishi ni hadi kwa wanaume. Wao huamini kila kitu wapo sahihi na sisi "wa shetani" hatujui kitu. Kuna siku tumetembea zaidi ya km22 za ziada kwa sababu walibisha njia sahihi ambayo mimi na rafiki yangu tuliwaonesha. Maadam gari ilikuwa yao sie tukauchuna tu ikizingatiwa wao ndio walikuwa wanadhamini kila kitu tuendako pamoja na kutulipa.
 
Tusidanganyane hapa. Ni mabinti wa imani gani ni wagumu? Mimi ni Mkristo lakini nimeshatusua waislamu, wakatoliki na hao unaowaita walokole (kwa ujumla wao). Ukishamuelewa mwanamke na ukajua gia ya kuingilia gari lazima lipande mlima kilimanjaro.

Unapotongoza muislamu lazima ujue kwa imani yake uingieje,
Unapotongoza Mlokole lazima ujue utaingia kw agia gani.
 
Back
Top Bottom