kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
Awali ya yote naomba kuweka katika kumbukumbu za jukwaa hili kuwa, mosi, uchambuzi huu haujalenga kubeza, kukejeli ama kudhalilisha imani za watu. Pili uchambuzi huu hauwahusu mabinti wote wa kilokole bali na baadhi ya wengi wao na si wote wapo hivi.
Pia nikiri kuwa, madhehebu ya dini zote yakiwemo ya walokole yana misingi na mafundisho mazuri hoja nitakazotoa zimetokana na mimi kuwa na mahusiano na binti wa dhehebu mojawapo kati ya haya madhehebu ya wanaojiita walokole na kupitia kuwa na huyu binti nilipata interaction ya kufahamiana nao wengi kwani ilibidi niingie kwenye makundi yao ya WhatsApp, nihudhurie events zao, nipate mialiko ya binafsi kuwa nawatembelea mmoja mmoja na pia nilipata wasaa wa kujenga nao urafiki wa karibu ambapo kuna vitu ambavyo wanavipenda na wanavifanya kwa siri watu wa nje hamtavijua kwa kuogopa kuchafua makanisa yao ila wao kwa wao wanafnya na wanajuana.
Findings;
1. Asilimia kubwa ya mabinti walioingia kwa utashi wao huku familia zao zipo madhehebu mengine ni wahanga wa matatizo kama kutokuolewa, ugumu wa maisha na u-single mother
2. Kwaya na mikesha ni kichaka cha maovu kwani mle kwenye kwaya kuna couple kila mtu na wake ila kama wewe mpenzi wako yupo huko na wewe husali huko hutajua.
3. Wana umoja katika kutunziana siri sana.
4. Wengi wao wanawinda kuolewa kwani katika jamii imezoeleka kuwa mabinti wacha Mungu wanafaa kwa kuoa. Wengi hujivisha ulokole ili wapate kuolewa. Ndio maana kule kuna ndoa nyingi sana; haupiti mwezi bila ndoa.
5. Wana uasili wa ubishi na kulazimisha anachotaka yeye ndo kiwe ukimpinga mtaishia kugombana au kuachana.
6. Kauli ya mchungaji ni sheria hata akipigiwa simu usiku na mchungaji ataenda na ukimzuia mmeachana.
7. Kutokana na mfumo wao wa kuabudu sauti zao ni kavu na wanaongea kama cherehani mkiwa mnajadili kitu anaongea kama anakukemea.
8. Wengi wao hawadumu katika mahusiano hasa pale anapokuwa na mtu ambaye sio mlokole.
9. Si wasikivu na wenye heshima na mara zote hujiona wako sahihi katika kila wanachokiwaza.
10. Waalimu wa kwaya hutafuna sana wanakwaya kipindi wakiwa wageni.
11. Wana mafundisho yao ambayo wanakaa na mama mchungaji. Huko kuna sumu nilizisikia kutoka kwa binti mmoja alipoamua kuniibia hizo siri. Kwakweli yana ukakasi kuyataja hapa.
Mwisho kabisa napenda tu kuweka sawa hili suala. Dini zote zina misingi na mafundisho mazuri inapotokea waamini wake wanaitumia misingi hiyo vibaya wanatengeneza vitabia ambavyo lazima jamii itavi-associate na dini/dhehebu husika.
Pia nikiri kuwa, madhehebu ya dini zote yakiwemo ya walokole yana misingi na mafundisho mazuri hoja nitakazotoa zimetokana na mimi kuwa na mahusiano na binti wa dhehebu mojawapo kati ya haya madhehebu ya wanaojiita walokole na kupitia kuwa na huyu binti nilipata interaction ya kufahamiana nao wengi kwani ilibidi niingie kwenye makundi yao ya WhatsApp, nihudhurie events zao, nipate mialiko ya binafsi kuwa nawatembelea mmoja mmoja na pia nilipata wasaa wa kujenga nao urafiki wa karibu ambapo kuna vitu ambavyo wanavipenda na wanavifanya kwa siri watu wa nje hamtavijua kwa kuogopa kuchafua makanisa yao ila wao kwa wao wanafnya na wanajuana.
Findings;
1. Asilimia kubwa ya mabinti walioingia kwa utashi wao huku familia zao zipo madhehebu mengine ni wahanga wa matatizo kama kutokuolewa, ugumu wa maisha na u-single mother
2. Kwaya na mikesha ni kichaka cha maovu kwani mle kwenye kwaya kuna couple kila mtu na wake ila kama wewe mpenzi wako yupo huko na wewe husali huko hutajua.
3. Wana umoja katika kutunziana siri sana.
4. Wengi wao wanawinda kuolewa kwani katika jamii imezoeleka kuwa mabinti wacha Mungu wanafaa kwa kuoa. Wengi hujivisha ulokole ili wapate kuolewa. Ndio maana kule kuna ndoa nyingi sana; haupiti mwezi bila ndoa.
5. Wana uasili wa ubishi na kulazimisha anachotaka yeye ndo kiwe ukimpinga mtaishia kugombana au kuachana.
6. Kauli ya mchungaji ni sheria hata akipigiwa simu usiku na mchungaji ataenda na ukimzuia mmeachana.
7. Kutokana na mfumo wao wa kuabudu sauti zao ni kavu na wanaongea kama cherehani mkiwa mnajadili kitu anaongea kama anakukemea.
8. Wengi wao hawadumu katika mahusiano hasa pale anapokuwa na mtu ambaye sio mlokole.
9. Si wasikivu na wenye heshima na mara zote hujiona wako sahihi katika kila wanachokiwaza.
10. Waalimu wa kwaya hutafuna sana wanakwaya kipindi wakiwa wageni.
11. Wana mafundisho yao ambayo wanakaa na mama mchungaji. Huko kuna sumu nilizisikia kutoka kwa binti mmoja alipoamua kuniibia hizo siri. Kwakweli yana ukakasi kuyataja hapa.
Mwisho kabisa napenda tu kuweka sawa hili suala. Dini zote zina misingi na mafundisho mazuri inapotokea waamini wake wanaitumia misingi hiyo vibaya wanatengeneza vitabia ambavyo lazima jamii itavi-associate na dini/dhehebu husika.