arch 82
Member
- Mar 8, 2016
- 77
- 32
Kweli mkuu kuna watu hawajitambuiHiyo heading na story ni tofauti, nilijua umeshusha nondo za ukweli wa kesi nje ndani.
Kweli mkuu kuna watu hawajitambuiHiyo heading na story ni tofauti, nilijua umeshusha nondo za ukweli wa kesi nje ndani.
Kama ulijua mkuu.Wapi kule migombani?
mimi nafikiri kuwa wanatakiwa kunyongwa haraka maana walizidi wizi hawaMawakili waliweka application ya kureject the money laundering charge..so mawakili wasomi wameweka nondo zao..hakimu atayafanyia kazi yote yaliyosemwa na kutoa maamuzi tar 22..so wataendelea kuwa rumande mpaka uamuzi utakapotolewa.
We acha tu adhabu ziko hapa hapa chini ya jua kaumiza watu kibao TRA kwa sababu za majungu na ukabila.Dah siamini huyu mzee Kitilya na nyodo zake leo ananyea ndoo,mzee jirani yangu huyu.
Mkuu, hizo ni customs / tamaduni fani ya sheria. Na haimaanishi kua kuna wengine ni bora zaidi kuliko wenzaoHivi mawakili wote si ni wasomi mbona unawaita mawakili wasomi una maana gani?
Nashukuru kwa kunielimishaMkuu, hizo ni customs / tamaduni fani ya sheria. Na haimaanishi kua kuna wengine ni bora zaidi kuliko wenzao
DarisalamaWewe lazima wa ule mkoa
Usihofu, tuko pamojaNashukuru kwa kunielimisha
Acha uongo hili likesi sio la Bongo
wenyewe UK walishalianzisha wanatuangalia tu
Beni yao ya STD Chartted imeshalimwa mifaini juu kwa majuu
eti Sinare wana vihela
Huyu Bint kwa nini aligeuza riba ya 1% akawa 2% na cha juu $6,000 wakavuta?
Umeona eeh! Yaani hii nchi ilifika pabaya!Anashangilia ufisadi na huku babu yake analala kwenye tembe na kuishi maisha duni anaona waliofanya akina Kitilya na wenzake ni mambo ya kawaida au wameonewa,Watanzania siku hizi sijui tumerogwa uzalendo tumeutupa choo cha shimo,huu ni uzao wa nyoka kwa kweli
Mwaka wa pili na kitu sasa....bado una lolote la kuongeza?Mpaka tare 22, loohhh!!! Former miss Tz namuonea huruma. Kama vipi case yake niibebe mimi.
Halafu una huruma na wapiga dili...as if wangekukumbuka na wizi wao....acha ujinga.Mpaka tare 22, loohhh!!! Former miss Tz namuonea huruma. Kama vipi case yake niibebe mimi.