Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Nashukuru Pohamba ,naomba turudi kwenye sakata kama lile la ESCOROW, kuna watu inasemekana walichukua pesa kwa sandarusi , na kuna wengine pesa zilikua wired kwenye accounts zao , hawa waliowekewa kwenye Accounts zao kosa lao ni Tax invasion kama Prof Tibaijuka ,
Kwanini wote wasishitakiwe kwa kosa la money iligeal ing wakati walitumia illegal source of funds ??
Wewe mwenyewe umesema inasemekana sasa kwa nini unataka watu wachukuliwe hatua kwa kusemekana?