kikwakwa
Senior Member
- Dec 20, 2011
- 105
- 12
Habari wana jf,kuna jambo natatizwa nalo khs mahari,wengine wanasema mahari huwezi kulipa yote unapolipa lazima ubakishe na wengine husema mahari unaweza kulipa yote uliyopangiwa na hakuna tatizo,nipo njia panda katika hili naombeni ukweli kutoka kwenu wana jf.