hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,038
- 72,659
๐๐๐๐๐๐๐Nimejua Kuishi na mke ni jaribu gumu mno bora uchunge ng`ombe 10000
๐๐๐๐๐๐๐Nimejua Kuishi na mke ni jaribu gumu mno bora uchunge ng`ombe 10000
68Duuuh ๐ค umejibebea wangapi mpaka hapo ulipofikia?
Dalili ya mvua ni mawingu ๐Unakubaliana yamekutokea ?!๐๐kuwa na girlfriend ushaona ndoa ni utapeli
Mnatuchanganya bana๐Mess up uone ๐
Kwan hisia zinaumia kwasababu ya mahusiano tu!? Punguza mihemko.Nimeumizwa na nani? Unafikiri hapa tunaongelea mahusiano tu sio? Una jazba la kijinga๐ฎ
Kumbe mindset yako ndio ipo hivi๐ณDahh
Yesu ni jibu
Kama una mtoto nadhani umeona utofauti jinsi ulivokua unawaona wazazi na vile wewe ndo umekua mzazi now, vile unavomuona mwanao.Kumbe laana za wazazi sjui kuzuia baraka ni vitisho tu๐ณ
Ukipunguza wewe inatosha๐ฎKwan hisia zinaumia kwasababu ya mahusiano tu!? Punguza mihemko.
Japo kuna watu wanasema mzazi ni mungu wa pili, sahizi mimi nina watoto na uungu wangu siuoni. ๐๐๐๐Ni kweli kabisa.
We lichokozi๐๐๐๐๐คธ๐คธ
Ndio hiki nimeandika Halafu kuna tahira anakuja kusema nipunguze mihemko๐ซขNmekuja kugundua watu kwenye maisha yetu, wanaletwa kwa sababu maalum na wanapita.
Nina mimba niache!๐๐ฝโโ๏ธAcha uchoyo ๐๐
Mtumishi una tukana balaa
Bado najifunzaKama una mtoto nadhani umeona utofauti jinsi ulivokua unawaona wazazi na vile wewe ndo umekua mzazi now, vile unavomuona mwanao.
Unazuiaje baraka?? Auukisema unamlaani utaanzia wapi??
Ukifanikiwa naomba unielekeze na mimi.. Kuna katoto kangu kasumbufu sana, natakiwa nijiandae ili kakinizingua nikapige na kitu kizitoo๐๐Bado najifunza
Hmm kamefanya nini na unataka ukafanye nini? Watoto wadogo hawajitambui bana labda usubiri wawe watu wazima ndio urushe kombolaUkifanikiwa naomba unielekeze na mimi.. Kuna katoto kangu kasumbufu sana, natakiwa nijiandae ili kakinizingua nikapige na kitu kizitoo๐๐
Just like A leafs when they dropped from the ๐ฒNmekuja kugundua watu kwenye maisha yetu, wanaletwa kwa sababu maalum na wanapita.
Wakubwa wanafaidi ๐๐๐Nina mimba niache!๐๐ฝโโ๏ธ