Ukubwa wa Rayvanny ni funzo kwa Harmonize

Habari Tena Wana JF:

Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.

Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.

Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.

Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.

Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Dalili Kuwa Jobless Ndo Hii
 
Habari Tena Wana JF:

Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.

Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.

Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.

Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.

Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Rayvan barozi wa brand gani!?
Nitajie. Maana sijawahi kumsikia hata akitangaza chupi za Nandy.
 
👉Hamonizer ni msanii pekee Afrika Mashariki na kati aliyeweza kumleta Awilo Longomba nchini kwake na kumgharamia kwa kila kitu

👉unaambiwa Hamonizer alikuwa akimlipa Awilo dola za kimarekani 250,000 kwa siku sawa na zaidi ya milioni mia tano.🤣🐒
 
Sijui ni mimi tu au kuna mwingine, mtu ambaye ajitapa ana maisha mazuri halafu bado anaishi kwao, anagombea ugali na wadogo zake hua namuona kama amechanganyikiwa,

Mwambie huyo mfuga tambi kama yeye ameshakua mkubwa atoke hapo kwa baba ake wa kambo akajitegemee, wenzie sote tuliacha kula ugali wa shikamoo tunapambana na maisha ya mtaani.
 
rayvanny na ukinga wapi na wapi?


Kumbe ni Mnyakyusa? Mimi nilikaa Jacaranda pale Mbeya kwa mwaka mzima. Kipindi hicho Mbeya kulikuwa kutamu we acha tu, sijui nikienda pele tena kama watu watanikumbuka.
 
Habari Tena Wana JF:

Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.

Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.

Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.

Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.

Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Umenena vyema
 
Sijui ni mimi tu au kuna mwingine, mtu ambaye ajitapa ana maisha mazuri halafu bado anaishi kwao, anagombea ugali na wadogo zake hua namuona kama amechanganyikiwa,

Mwambie huyo mfuga tambi kama yeye ameshakua mkubwa atoke hapo kwa baba ake wa kambo akajitegemee, wenzie sote tuliacha kula ugali wa shikamoo tunapambana na maisha ya mtaani.
Mo Dewji mpaka leo anaishi kwao.
 
👉Hamonizer ni msanii pekee Afrika Mashariki na kati aliyeweza kumleta Awilo Longomba nchini kwake na kumgharamia kwa kila kitu

👉unaambiwa Hamonizer alikuwa akimlipa Awilo dola za kimarekani 250,000 kwa siku sawa na zaidi ya milioni mia tano.🤣🐒
Usenge huu sijawai sikia, Paris Awilo anacheza bar kwa dola 200 mpaka sasa.
Kanda bongo Man tulimnunulia nyama choma tu akakata mauno usiku kucha.
Mzee wa inde Monie anasafisha vioo huko Manchester kwa mabeberu Shell
 
Back
Top Bottom