Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
- Thread starter
- #21
Acha kukaza fuvuUsimfananishe mkinga na mambo ya kijinga. Boy is a singer, hata Huyo Diamond wenu anatambua hilo. Inabidi tu aachane na na hizi Kiki za kishamba.
Acha kukaza fuvuUsimfananishe mkinga na mambo ya kijinga. Boy is a singer, hata Huyo Diamond wenu anatambua hilo. Inabidi tu aachane na na hizi Kiki za kishamba.
Mcheza porno huyo RAYVANNY kamtoa KO
Mambo ya baby washa taa.
Dalili Kuwa Jobless Ndo HiiHabari Tena Wana JF:
Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.
Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.
Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.
Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.
Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Dogo Inno ni wa kumunea huruma.We jamaa mbona unaanzisha sana nyuzi?
Tatizo nini?
😂😂😂😂😂Nimekuelewa mamaa
Rayvan barozi wa brand gani!?Habari Tena Wana JF:
Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.
Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.
Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.
Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.
Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
rayvanny na ukinga wapi na wapi?Usimfananishe mkinga na mambo ya kijinga. Boy is a singer, hata Huyo Diamond wenu anatambua hilo. Inabidi tu aachane na na hizi Kiki za kishamba.
rayvanny na ukinga wapi na wapi?
Umenena vyemaHabari Tena Wana JF:
Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.
Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.
Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.
Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.
Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Mo Dewji mpaka leo anaishi kwao.Sijui ni mimi tu au kuna mwingine, mtu ambaye ajitapa ana maisha mazuri halafu bado anaishi kwao, anagombea ugali na wadogo zake hua namuona kama amechanganyikiwa,
Mwambie huyo mfuga tambi kama yeye ameshakua mkubwa atoke hapo kwa baba ake wa kambo akajitegemee, wenzie sote tuliacha kula ugali wa shikamoo tunapambana na maisha ya mtaani.
Endelea kukaza fuvuWCB wana misukule humu wameajiri
Usenge huu sijawai sikia, Paris Awilo anacheza bar kwa dola 200 mpaka sasa.👉Hamonizer ni msanii pekee Afrika Mashariki na kati aliyeweza kumleta Awilo Longomba nchini kwake na kumgharamia kwa kila kitu
👉unaambiwa Hamonizer alikuwa akimlipa Awilo dola za kimarekani 250,000 kwa siku sawa na zaidi ya milioni mia tano.🤣🐒