Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,104
Amesema kuwa anamshukuru Diamond kwa kumpa nafasi amabyo imefanya kipaji chake alichopewa na Mungu kuonekana na kukua hadi kufikia hatua ya mafanikio aliyofikia.
Amesema mtoto anapokua inabidi atke nyumba aende kujitegemea na kuanza maisha mapya na hiyo inakuwa fursa kwa vijana wengine pia kupata fursa na yeye kuweza kutengeneza fursa kwa wengine.
Amesema WCB, imemlea, imemkuza na imemuonesha upendo mkubwa sana amshukuru Diamond na kumuombea baraka tele kwa upendo wake kwake.
Pia soma:
Rayvanny; Nitaondoka WASAFI (WCB) kwa amani
Msanii Raymond Shaban Mwakyusa AKA Rayvanny aliyepo chini ya label ya Wasafi Classic Baby (WCB) amesema atahakikisha anatoka kwenye label hiyo kwa amani. Katika kipindi cha Salama Na Rayvanny kinachorushwa EATV aliulizwa na Salama kuwa wapo watu wanasema Rayvanny ndiye anayefuata kuondoka WCB...
www.jamiiforums.com