Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Habari Tena Wana JF:
Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.
Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.
Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.
Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.
Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA
Naona harmonize anajitapa sana na kutaka kuuaminisha umankuwa yeye ninmkubwa kwa Rayvanny.
Wayback wote walikuwa WCB na Rayvanny alivhukua BET harmonize akiwa WCB he , harmonize alikuwa sio mkubwa...?, Na Kama ndio means Rayvanny alikuwa tayari mkubwa than harmonize.
Hela Rayvanny Yuko juu na hii unatokana na expense ya Rayvanny kuwa juu baada ya Diamond platinumz maana kanunua Lamborghini south Africa na hii inaleta taswira kuwa humbleness is the best answer.
Harmonize asione haya kuomba msaada kwa RayVanny maana hata bedroom katungiwa na Rayvanny ko Rayvanny tumpe heshima Kama msanii namba mbili East Africa.
Mwisho kabisa.: NUMBERS DON'T LIE DIGITAL PLATFORMS ZINAONGEA