Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,920
- 15,609
Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk.
Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.
Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.
Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.
Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi
=====
Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.
Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.
Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.
Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi
=====