Ukraine yalalamika Russia kutumia makombora hatari ya thermobaric rockets, wachambuzi wa silaha wa USA wasema huo ni 'ukatili'

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,920
15,609
Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk.

Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.

Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.

Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.

Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi

=====





SmartSelect_20220528-080030_Chrome.jpg
Screenshot_20220528-080355_Chrome.jpg
Screenshot_20220528-081021_Chrome.jpg
Screenshot_20220528-081311_Chrome.jpg
 
Zelensky kawaingiza waUkraine cha kike. Akubali kushindwa na aondoke madarakani maisha ya wananchi wa Ukraine yaendelee. Kukubali kupambana na russia kupitia vimisaada vya silaha toka Western ni kutaka kuifanya ukraine iharibike zaidi.
 
Zelensky kawaingiza waUkraine cha kike. Akubali kushindwa na aondoke madarakani maisha ya wananchi wa Ukraine yaendelee. Kukubali kupambana na russia kupitia vimisaada vya silaha toka Western ni kutaka kuifanya ukraine iharibike zaidi.
Kwa nini unakuwa mnafiki? Russia wamefuata nini kwenye nchi ya watu.
 
Ukraine inalalamika kuwa Russia inatumia silaha nzito mno, TOS-1A Thermostatic Rockets (vacuum bombs), ktk mapigano huko Donetsk.

Kwa mujibu wa Marekani, silaha hizo ni special kwa kuangamiza ngome za kijeshi zilizo kwenye mahandaki chini ya ardhi na maadui waliojificha kwenye bunkers. Silaha hizo zinapotumika huwa hakuna kitu kinachoweza kumkinga mtu na mlipuko wa silaha hizo.

Wachambuzi wa maswala ya silaha wa Marekani wanasema Russia kutumia silaha hizo dhidi ya majeshi ya Ukraine ni ukatili tu.

Wachambuzi hao wa Marekani wameendelea kukazia kuwa pamoja na kuwa kwa sasa hakuna sheria zinazozuia matumizi ya silaha hizo za Russia (TOS-1A thermobaric rockets), lakini maangamizi yanayosababishwa na silaha hizo hupelekea baadhi ya wachambuzi wa maswala ya silaha kuweka matumizi ya silaha hizo katika makosa ya uhalifu vitani.

Omusolopogasi na Glenn (waMarekani wetu wa Nanjilinji) njooni hapa mteseke tena zaidi

=====





View attachment 2241793View attachment 2241794View attachment 2241795View attachment 2241796
Weka link ya habar yako tukasome wenyewe
 
Back
Top Bottom