Tuliaminishwa kuwa ukosefu wa umeme unatokana na ukame wa muda mrefu hivyo mgao wa umeme utaendelea kuwepo.
Wiki chache zilizopita mvua zimeanza kunyesha mito, mabwawa yamejaa maji lakini cha kushangaza bado tatizo liko palepale.
Tumemchagua Mhe. Biteko (mchapa kazi) kusimamia Wizara ya Nishati na bado matatizo yako pale pale. Hapa Mwanza ni jambo la kawaida umeme kukatika hata masaa manane iwe machana au usiku.
Nawashauri utawala wa CCM mjitathmini suala la umeme litakuja kuwatoa madarakani.
Wiki chache zilizopita mvua zimeanza kunyesha mito, mabwawa yamejaa maji lakini cha kushangaza bado tatizo liko palepale.
Tumemchagua Mhe. Biteko (mchapa kazi) kusimamia Wizara ya Nishati na bado matatizo yako pale pale. Hapa Mwanza ni jambo la kawaida umeme kukatika hata masaa manane iwe machana au usiku.
Nawashauri utawala wa CCM mjitathmini suala la umeme litakuja kuwatoa madarakani.