Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Hii ni changamoto kwa watanzania wengi, watu humu wanachangia kirahisi rahisi utafikiri mambo ni rahisi hivyo..

Binafsi ninachoona ni kumuomba Mungu sana, binafsi uwe mpambanaji na kujaribu kutoa elimu kwa member wa familia ambao bado ni vijana na wananguvu bado ikiwezekana uwashauri nao kufanya ibada na kufanya kazi kwa bidii ikiwa pamoja na kusomesha watoto na hili mnaweza kusaidiana kama vijana, iwe ni mpango wa muda mrefu kidogo ili kizazi chenu kijacho kisiishi kwenye historia na maisha mliyoyakuta nyie..
Thanks brother
 
"Kama wewe hutoki kwenye familia ya kitajiri, basi Familia ya kitajiri inabidi itoke kwako"

"Si kosa lako kuzaliwa maskini, ila ni kosa lako mwenyewe kufa masikini"

Hii misemo huwa inanitia Moyo sana!
 
.
Sasa tunatokaje hapa
 
Hao ni wajinga mkuu
Nyumba tatu zote za nini?Mtu anaweza kuwa na nyumba moja au asiwe nayo kabisa amepanga tuu na ana uhakika wa maisha mpaka kufa kwake, siyo wote wanafikiria kama wewe, kuna watu wanapanga apartment dola 2000 kwa mwezi na hawana nyumba
 
"Kama wewe hutoki kwenye familia ya kitajiri, basi Familia ya kitajiri inabidi itoke kwako"

"Si kosa lako kuzaliwa maskini, ila ni kosa lako mwenyewe kufa masikini"

Hii misemo huwa inanitia Moyo sana!
ยย่ำืำนนยบำืำรหนนำิำิหนใทฟอไอเหนำบำืาไสไบบไไำ่ำาำยำ่ำิวบ

In swahili
Komaaa.
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Noma sana!
 
Give yourself courage! Take all Biblical characters for example , their life wasn't so easy to make a success! Look at Moses, Joshua &etail.Look at prophets like Elijah, Ebu msome MTU mmoja Gedion agano la kale, familia yao ilikuwa kama inavyodaiwa, hadi alivunja maangano ya kumwabudu shetani, familia ikapata enlightenment. Hivyo, ndugu, hakuna kinachoshishindikana kwa Mungu wa kweli. Familia ziwe za watu wa sala, masula ya kimwili tu bila ya kiroho bado ushindi haufiki. Never confess defeats! Pambana tu. Iwapo Mungu kakujalia, vyovyote vile tumia nyezo hizo kujiweka na kuwaweka wengine juu. Nakwambia, ukiamua 'kujirudisha' nyuma kwa kutokukubali 'wito' huo, wa Kiungu, then huenda hadi kizazi cha NNE toka wewe. Take Courage,you are almost winning the battle.
Hatar sana!
 
Nauona ukoo wetu

Ukimiliki IST ukoo wote utajua,kama una gari!!!Wataambiazana zna kuanza kukupigia simu za mikopo!!

Yani unakuta 98% ya ukoo,imekaa mkao wa kupigwa makonzi tuuu.

Inauma sanaaaaaaaaa
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Kuna koo zenye baraka na koo za nuksi ....unapozaliwa unarithi laana au baraka za mababu... sasa inategemea hawa mababu zako waliishije wakati wa uhai wao...Je walimtumikia nani Shetani ama Mungu.

Laana hutambaa hadi kizazi cha nne yaani takribani miaka 400 hivi.

Kuvunja laana za uko ni kazi ngumu sana; kwa kukusaidia tu jaribu kutafuta chimbuko la ukoo wenu ili ufanye misa ya mizimu ya kwenu yaani Tambiko.

Njia nyingine unahitaji roho mtakatifu kwa kutumia damu ya Yesu!! Hapa napo si kazi rahisi maana mizimu nayo inapenda kuabudiwa kwa hiyo itakuwekea vikwazo... sasa kuishia kwenda kanisani bila IMANI thabiti ndani yako ni kupoteza muda..

Kifupi mna kazi kubwa mno mbele yenu ya kujitakasa nyie wana ukoo.
 
nilijua ni mimi tu kumbe kuna mwenzangu ila tujitahidi tutayaweza tu kikubwa uhai mkuu hakuna kurudi nyuma
 
Anzisha banda lakisasa la kuku, weka ukumbi wa kuonesha mipira ya ligi zote, piga pesa jenga
Wote watadumaa na kufa...!!! Nuksi kitu hataree...

Graduate unasaka kazi hadi viatu vinaisha - usilete mchezo na roho ya kukataliwa.
 
Back
Top Bottom