- Thread starter
- #81
Siunajua Jf ...wote uwa wamefanikiwa .Ulichokiandika, ndio maisha ya watanzania wengi, Karibia asilimia 95.
Siunajua Jf ...wote uwa wamefanikiwa .Ulichokiandika, ndio maisha ya watanzania wengi, Karibia asilimia 95.
AaaaaaahUkoo wenu ata watoto wakali hauna
Thanks brotherHii ni changamoto kwa watanzania wengi, watu humu wanachangia kirahisi rahisi utafikiri mambo ni rahisi hivyo..
Binafsi ninachoona ni kumuomba Mungu sana, binafsi uwe mpambanaji na kujaribu kutoa elimu kwa member wa familia ambao bado ni vijana na wananguvu bado ikiwezekana uwashauri nao kufanya ibada na kufanya kazi kwa bidii ikiwa pamoja na kusomesha watoto na hili mnaweza kusaidiana kama vijana, iwe ni mpango wa muda mrefu kidogo ili kizazi chenu kijacho kisiishi kwenye historia na maisha mliyoyakuta nyie..

Sasa tunatokaje hapa.
![]()
Kuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Nyumba tatu zote za nini?Mtu anaweza kuwa na nyumba moja au asiwe nayo kabisa amepanga tuu na ana uhakika wa maisha mpaka kufa kwake, siyo wote wanafikiria kama wewe, kuna watu wanapanga apartment dola 2000 kwa mwezi na hawana nyumba
ยย่ำืำนนยบำืำรหนนำิำิหนใทฟอไอเหนำบำืาไสไบบไไำ่ำาำยำ่ำิวบ"Kama wewe hutoki kwenye familia ya kitajiri, basi Familia ya kitajiri inabidi itoke kwako"
"Si kosa lako kuzaliwa maskini, ila ni kosa lako mwenyewe kufa masikini"
Hii misemo huwa inanitia Moyo sana!
Noma sana!Hakuna anaemiliki hata nyumba 3
Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura
Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili
Hakuna hata anayemiliki kampuni
Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini
Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida
Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani
@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?
Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Hatar sana!Give yourself courage! Take all Biblical characters for example , their life wasn't so easy to make a success! Look at Moses, Joshua &etail.Look at prophets like Elijah, Ebu msome MTU mmoja Gedion agano la kale, familia yao ilikuwa kama inavyodaiwa, hadi alivunja maangano ya kumwabudu shetani, familia ikapata enlightenment. Hivyo, ndugu, hakuna kinachoshishindikana kwa Mungu wa kweli. Familia ziwe za watu wa sala, masula ya kimwili tu bila ya kiroho bado ushindi haufiki. Never confess defeats! Pambana tu. Iwapo Mungu kakujalia, vyovyote vile tumia nyezo hizo kujiweka na kuwaweka wengine juu. Nakwambia, ukiamua 'kujirudisha' nyuma kwa kutokukubali 'wito' huo, wa Kiungu, then huenda hadi kizazi cha NNE toka wewe. Take Courage,you are almost winning the battle.
Kuna koo zenye baraka na koo za nuksi ....unapozaliwa unarithi laana au baraka za mababu... sasa inategemea hawa mababu zako waliishije wakati wa uhai wao...Je walimtumikia nani Shetani ama Mungu.Hakuna anaemiliki hata nyumba 3
Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura
Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili
Hakuna hata anayemiliki kampuni
Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini
Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida
Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani
@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?
Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Wote watadumaa na kufa...!!! Nuksi kitu hataree...Anzisha banda lakisasa la kuku, weka ukumbi wa kuonesha mipira ya ligi zote, piga pesa jenga
Hao ni wajinga mkuu
ndio wapi huko au kule kwa gwajimaNendeni kwa Yesu
Noted with thanks
I consider this sincerely advice as a gift from you
Thanks
kazi ya manabii sio kupata nyumbaUshapata habari za nabii mkuu Geor Davie??