Hongera kwa kuanza kuhoji na kuwa na mawazo ya aina hiyo. Kama wengine walivyoeleza, anza wewe kuvunja jedwari mliomo. Fanya yote chanya, kuwa mentor, somesha kila anaeibuka mwenye akili, bila kujali, wa nani wala nani, familia kama hizo vijicho Ving, lakini pia kufunikwa tu na Giza shetani kazini,mizimu nk. Hivyo, kuwa MTU wa sala sana, piga kazi, upendo kwa wote jizuie uchoyo na ubinafsi nakwambia ndani ya 10 years utaona nuru kuu! Ingawa si lazima uyaone yote kama unavyoyatamani ulaya nk, Wewe somesha tu MTT wa shangazi, mjomba, kaka, Dada, baba mdogo, just do it. Iwapo Mungu, kakupa enlightenment hiyo, na 'Ukakubali', hakuna atakaye kuzuru! IPO mada ya mshana, humu,kila familia uinuliwa mtu kuinasua japo atakutana na vikwazo, but vishinde na utashinda. We were in same cage, but almost the task is a half done! Thank you Jusus!