Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Ukoo wetu, sijui tunakwama wapi?

Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Daah! Aiseee kwa sasa wacha nicheke kisha baadae ntarudi kuchangia
 
upo trapped because you want it mkuu. It's not all about the history, its about YOU..

angalia tu assocciations zako and make sure unakuza game yako ili upate watu ambao unatamani kuwa kama wao katika cycle yako. Mbona inawezekana, ukikaa na watu wenye background nzuri au mbovu kama yako lakini bado wanasaka life na wanafanikisha in real life lazma na wewe lazma utajua ABC's zao na utabadili mindset yako (which is your greatest problem). TRUST ME ukiwa willing kubadili cycle yako na ukakubali kuacha tabia zozote toxic ili ujifunze kutoka kwao. you will be different

You are not your past, you are your future mkuu so, use your present well mkuu its possible
Noted with thanks
I consider this sincerely advice as a gift from you
Thanks
 
Hongera kwa kuanza kuhoji na kuwa na mawazo ya aina hiyo. Kama wengine walivyoeleza, anza wewe kuvunja jedwari mliomo. Fanya yote chanya, kuwa mentor, somesha kila anaeibuka mwenye akili, bila kujali, wa nani wala nani, familia kama hizo vijicho Ving, lakini pia kufunikwa tu na Giza shetani kazini,mizimu nk. Hivyo, kuwa MTU wa sala sana, piga kazi, upendo kwa wote jizuie uchoyo na ubinafsi nakwambia ndani ya 10 years utaona nuru kuu! Ingawa si lazima uyaone yote kama unavyoyatamani ulaya nk, Wewe somesha tu MTT wa shangazi, mjomba, kaka, Dada, baba mdogo, just do it. Iwapo Mungu, kakupa enlightenment hiyo, na 'Ukakubali', hakuna atakaye kuzuru! IPO mada ya mshana, humu,kila familia uinuliwa mtu kuinasua japo atakutana na vikwazo, but vishinde na utashinda. We were in same cage, but almost the task is a half done! Thank you Jusus!
Thanks brother
Sincerely, I'm in this cycle. Trying to help everyone as possible but my life determination seems to fail. For couple of years I don't see any progress and those promised blessings. As days goes.... things become more complicated
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
.
 
Hii ni changamoto kwa watanzania wengi, watu humu wanachangia kirahisi rahisi utafikiri mambo ni rahisi hivyo..

Binafsi ninachoona ni kumuomba Mungu sana, binafsi uwe mpambanaji na kujaribu kutoa elimu kwa member wa familia ambao bado ni vijana na wananguvu bado ikiwezekana uwashauri nao kufanya ibada na kufanya kazi kwa bidii ikiwa pamoja na kusomesha watoto na hili mnaweza kusaidiana kama vijana, iwe ni mpango wa muda mrefu kidogo ili kizazi chenu kijacho kisiishi kwenye historia na maisha mliyoyakuta nyie..
 
Give yourself courage! Take all Biblical characters for example , their life wasn't so easy to make a success! Look at Moses, Joshua &etail.Look at prophets like Elijah, Ebu msome MTU mmoja Gedion agano la kale, familia yao ilikuwa kama inavyodaiwa, hadi alivunja maangano ya kumwabudu shetani, familia ikapata enlightenment. Hivyo, ndugu, hakuna kinachoshishindikana kwa Mungu wa kweli. Familia ziwe za watu wa sala, masula ya kimwili tu bila ya kiroho bado ushindi haufiki. Never confess defeats! Pambana tu. Iwapo Mungu kakujalia, vyovyote vile tumia nyezo hizo kujiweka na kuwaweka wengine juu. Nakwambia, ukiamua 'kujirudisha' nyuma kwa kutokukubali 'wito' huo, wa Kiungu, then huenda hadi kizazi cha NNE toka wewe. Take Courage,you are almost winning the battle.
 
Nyumba tatu zote za nini?Mtu anaweza kuwa na nyumba moja au asiwe nayo kabisa amepanga tuu na ana uhakika wa maisha mpaka kufa kwake, siyo wote wanafikiria kama wewe, kuna watu wanapanga apartment dola 2000 kwa mwezi na hawana nyumba
Jifunze ku-digest maandiko.
 
Hakuna anaemiliki hata nyumba 3

Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura

Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili

Hakuna hata anayemiliki kampuni

Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini

Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida

Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani

@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?

Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
pongezi za dhati ziende kwa serikali ya awamu ya tano. jiwe hoyeeeeee.
 
Wana faida gani sasa duniani? Hawa lazima wametopea kwenye uchawi ndio Maana hata ishu ya msosi wanakuangalia kwa jicho baya
Waende kwa mzee wa upako watapata gari bure! Ups yupo?
 
We we una uchungu sana bila shaka atamiliki hivyo vyote.Ukishindwa utakuwa huna maana kuliko wao.
 
huo ukoo wenu utakuwa na mikosi nawakaribisha sumbawanga mje msafishiwe nyota
 
Hii ni changamoto kwa watanzania wengi, watu humu wanachangia kirahisi rahisi utafikiri mambo ni rahisi hivyo..

Binafsi ninachoona ni kumuomba Mungu sana, binafsi uwe mpambanaji na kujaribu kutoa elimu kwa member wa familia ambao bado ni vijana na wananguvu bado ikiwezekana uwashauri nao kufanya ibada na kufanya kazi kwa bidii ikiwa pamoja na kusomesha watoto na hili mnaweza kusaidiana kama vijana, iwe ni mpango wa muda mrefu kidogo ili kizazi chenu kijacho kisiishi kwenye historia na maisha mliyoyakuta nyie..
Note brother
 
Give yourself courage! Take all Biblical characters for example , their life wasn't so easy to make a success! Look at Moses, Joshua &etail.Look at prophets like Elijah, Ebu msome MTU mmoja Gedion agano la kale, familia yao ilikuwa kama inavyodaiwa, hadi alivunja maangano ya kumwabudu shetani, familia ikapata enlightenment. Hivyo, ndugu, hakuna kinachoshishindikana kwa Mungu wa kweli. Familia ziwe za watu wa sala, masula ya kimwili tu bila ya kiroho bado ushindi haufiki. Never confess defeats! Pambana tu. Iwapo Mungu kakujalia, vyovyote vile tumia nyezo hizo kujiweka na kuwaweka wengine juu. Nakwambia, ukiamua 'kujirudisha' nyuma kwa kutokukubali 'wito' huo, wa Kiungu, then huenda hadi kizazi cha NNE toka wewe. Take Courage,you are almost winning the battle.
Again thanks for clarifying
 
Back
Top Bottom