- Thread starter
- #21
OkayNendeni kwa Yesu
Namuita Kila siku
OkayNendeni kwa Yesu
Sharing is caringFormula ya maisha ni rahisi sana ukiilewa
The reality we are facing right now and feeling chockinganza wewe mkuu
inawezekana mnategemeana sana.. poverty cycle inawazunguka wote
Nimeandika kwa lugha ya pichaNyumba tatu zote za nini?Mtu anaweza kuwa na nyumba moja au asiwe nayo kabisa amepanga tuu na ana uhakika wa maisha mpaka kufa kwake, siyo wote wanafikiria kama wewe, kuna watu wanapanga apartment dola 2000 kwa mwezi na hawana nyumba
AaaaaaahYeye ndo kwanza bado yupo kwa shemeji
Hujawaumba mkuuWana faida gani sasa duniani? Hawa lazima wametopea kwenye uchawi ndio Maana hata ishu ya msosi wanakuangalia kwa jicho baya
kwanini usianze wewe kuonyesha tofauti au kufungua njia.Hakuna anaemiliki hata nyumba 3
Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura
Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili
Hakuna hata anayemiliki kampuni
Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini
Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida
Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani
@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?
Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Yes , this situation is bothering me sincerelyumeongea kwa uchungu daaah pole sana
ThanksKua mfano wao.
Thanks for encouragementMkuu ni kawaida tu hiyo haswa Kama umezaliwa katika sehemu ambazo kwao elimu na biashara vilikuwa ni vitu extra.
Mimi moja ya wazazi, kwao walikuwa wanakaa nyumba ya tope na maezekeo ya kizamani. Mvua ikinyesha ni kisanga ila Ni mtu mmoja tu ndiye aliyevunja hiyo laana ya umaskini hadi kizazi chetu tuna unafuu. Kuliona Hilo suala Kama Ni laana bhasi jua ndio jukumu lako kulibadilisha.. Historia hubadilishwa tu
TakenAnza wewe kuwa na yote hayo. Kinakushinda nini?
Hapo pagumuYeye ndo kwanza bado yupo kwa shemeji
Change ianzie kwako mkuuHakuna anaemiliki hata nyumba 3
Hakuna ambae ukifika kwake ukitaka chakula chochote unaandaliwa hata bila kuona shemeji amekunja sura
Hakuna mwenye hata magari binafsi mawili
Hakuna hata anayemiliki kampuni
Hakuna hata anayemiliki lodge za kisasa mjini
Hakuna hata ambae safari za ulaya, America na Asia ni vitu vya kawaida
Hakuna ambae ukienda kwake unahisi uko likizo flani
@Hivi wakuu hawa watu wanaoexperince haya maisha walimpa Nini Mungu na wengine tunakwama wapi?
Life is too disgusting
When you feel you are just surviving while others are living
Bado mkuuUshapata habari za nabii mkuu Geor Davie??
Amekosa fursa kuonana nae mpaka karudi kwa babaNendeni kwa Yesu