Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,806
- 7,379
Yesu ameletwa juzi tu Afrika,kabla ya hapo watu hawakuwa matajiri?Acheni kupotosha.Wachina,Warusi hawana yesu wala Muhammad lakini wanaishi konki konk fire,wanatukopa mpaka Afrika.Umasikini wa familia unatokana na unamasikn wa nchi.Watanzania 90% hali ni tete na waliopo maofisini ni kuiba na kufoji na wafanyabiashara ni wezi,wadhurumati,kafara nk.Na ndio maana mmilki wa biashara akifa na biashara zinakufa.Kuna koo zenye baraka na koo za nuksi ....unapozaliwa unarithi laana au baraka za mababu... sasa inategemea hawa mababu zako waliishije wakati wa uhai wao...Je walimtumikia nani Shetani ama Mungu.
Laana hutambaa hadi kizazi cha nne yaani takribani miaka 400 hivi.
Kuvunja laana za uko ni kazi ngumu sana; kwa kukusaidia tu jaribu kutafuta chimbuko la ukoo wenu ili ufanye misa ya mizimu ya kwenu yaani Tambiko.
Njia nyingine unahitaji roho mtakatifu kwa kutumia damu ya Yesu!! Hapa napo si kazi rahisi maana mizimu nayo inapenda kuabudiwa kwa hiyo itakuwekea vikwazo... sasa kuishia kwenda kanisani bila IMANI thabiti ndani yako ni kupoteza muda..
Kifupi mna kazi kubwa mno mbele yenu ya kujitakasa nyie wana ukoo.
In Tanzania kama huna silka ya wizi njia yako ni ngumu.
Kuna watu magu alipoziba mianya ya wizi wamerudi 0 kwa kuwa walitegemea wizi.
JF limekua jukwaa la hovyo,watu wanadhihak watu badala ya kuwasaidia watu mawazo na ushauri.Ukienda jukwaa kama QUORA huwezi kuta dhihaka kama za JF na hili pengine ni sababu ya wtz kuendelea kuwa masikini kwa kuwa wanakosa sehemu za ushauri mzuri.JF haikuanzishwa kudhihaki watu na kuwatukana watu bali kutuunganisha wtz kuondokana na sintofahamu nyingi,tubadirike.